-
Mahakama Misri yaidhinisha Saudia kupewa visiwa vya nchi hiyo
Mar 04, 2018 04:25Mahakama ya Juu nchini Misri imefutilia mbali maamuzi yaliyotolewa na mahakama za chini za nchi hiyo kuhusu mpango wa kukabidhi visiwa viwili vya kistratajia vya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kwa Saudi Arabia.
-
Magaidi 13 wengine waangamizwa Sinai Misri
Mar 01, 2018 12:01Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuangamizwa magaidi 13 katika muendelezo wa operesheni za wanajeshi wa nchi hiyo katika Rasi ya Sinai.
-
Mwendesha mashtaka wa Misri ataka kufuatiliwa vyombo vya habari nchini humo
Feb 28, 2018 13:01Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Misri ametaka kufuatiliwa kwa kina na kwa karibu shughuli za vyombo vya habari na kuchukuliwa hatua za kisheria dhidi ya chombo chochote cha habari ambacho kinavuruga usalama na kuhatarisha maslahi ya taifa.
-
HRW yaikosoa serikali ya Misri kwa ukandamizaji
Feb 26, 2018 23:21Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeikosoa serikali ya Misri kwa hatua yake ya kuwatia mbaroni kiholela wanasiasa wa upinzani nchini humo.
-
Misri yazidi kukandamiza wapinzani, mali za mkuu wa chama cha Misri Imara zazuiwa
Feb 26, 2018 03:59Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa serikali ya Misri imetoa amri ya kuzuiliwa mali zote za mkuu wa chama cha Misri Imara ambaye alitiwa mbaroni hivi karibuni baada ya kumkosoa Rais Abdel Fattah el Sisi wa nchi hiyo.
-
Kampeni za uchaguzi wa rais Misri zaanza
Feb 25, 2018 03:58Kamepeni za uchaguzi wa Rais Misri zilianza Jumamosi huku Rais Abdel Fattah el-Sisi akitazamiwa kupata ushindi kwa urahisi baada ya wapinzani wake asili kukamatwa, kufungwa jela au kutishwa na hivyo kujiondoa katika mchuano huo.
-
Serikali ya Misri yamuweka mpinzani wa al Sisi katika orodha ya magaidi!
Feb 20, 2018 23:42Serikali ya Misri imemuweka kiongozi wa chama cha upinzani cha "Misri Imara" na wanachama wengine 15 wa chama hicho katika orodha ya magaidi.
-
Ethiopia yaakhirisha mkutano wake na Misri kuhusu bwawa la al-Nahdha
Feb 18, 2018 23:33Misri imekubali ombi la Ethiopia la kuakhirisha mkutano wa pande mbili wa kujadili suala tata la bwawa la al-Nahdha linalojengwa na Uhabeshi, baada ya Adiss Ababa kutangaza sheria ya hali ya hatari.
-
Jeshi la Misri laua magaidi 7 wakufurishaji na kukamata wengine 408
Feb 17, 2018 23:44Jeshi la Misri limetangaza kuwaaangamiza magaidi saba wakufurishaji katika oparesheni maalumu ya kijeshi inayoendelea katika eneo la Sinai nchini humo.
-
Misri yaonya kuhusu hatari ya magaidi wa Daesh kuvamia kaskazini mwa Afrika
Feb 17, 2018 00:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ameonya kuwa magaidi wa Daesh (ISIS) waliosafishwa huko Syria na Iraq wanafanya kila wawezalo kuzivamia nchi za kaskazini mwa Afrika hususan Libya.