-
HRW yaikosoa serikali ya Misri kwa ukandamizaji
Feb 26, 2018 23:21Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeikosoa serikali ya Misri kwa hatua yake ya kuwatia mbaroni kiholela wanasiasa wa upinzani nchini humo.
-
Misri yazidi kukandamiza wapinzani, mali za mkuu wa chama cha Misri Imara zazuiwa
Feb 26, 2018 03:59Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa serikali ya Misri imetoa amri ya kuzuiliwa mali zote za mkuu wa chama cha Misri Imara ambaye alitiwa mbaroni hivi karibuni baada ya kumkosoa Rais Abdel Fattah el Sisi wa nchi hiyo.
-
Kampeni za uchaguzi wa rais Misri zaanza
Feb 25, 2018 03:58Kamepeni za uchaguzi wa Rais Misri zilianza Jumamosi huku Rais Abdel Fattah el-Sisi akitazamiwa kupata ushindi kwa urahisi baada ya wapinzani wake asili kukamatwa, kufungwa jela au kutishwa na hivyo kujiondoa katika mchuano huo.
-
Serikali ya Misri yamuweka mpinzani wa al Sisi katika orodha ya magaidi!
Feb 20, 2018 23:42Serikali ya Misri imemuweka kiongozi wa chama cha upinzani cha "Misri Imara" na wanachama wengine 15 wa chama hicho katika orodha ya magaidi.
-
Ethiopia yaakhirisha mkutano wake na Misri kuhusu bwawa la al-Nahdha
Feb 18, 2018 23:33Misri imekubali ombi la Ethiopia la kuakhirisha mkutano wa pande mbili wa kujadili suala tata la bwawa la al-Nahdha linalojengwa na Uhabeshi, baada ya Adiss Ababa kutangaza sheria ya hali ya hatari.
-
Jeshi la Misri laua magaidi 7 wakufurishaji na kukamata wengine 408
Feb 17, 2018 23:44Jeshi la Misri limetangaza kuwaaangamiza magaidi saba wakufurishaji katika oparesheni maalumu ya kijeshi inayoendelea katika eneo la Sinai nchini humo.
-
Misri yaonya kuhusu hatari ya magaidi wa Daesh kuvamia kaskazini mwa Afrika
Feb 17, 2018 00:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ameonya kuwa magaidi wa Daesh (ISIS) waliosafishwa huko Syria na Iraq wanafanya kila wawezalo kuzivamia nchi za kaskazini mwa Afrika hususan Libya.
-
Amnesty International yakosoa oparesheni za jeshi la Misri huko Sinai
Feb 15, 2018 12:25Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limesema kuwa Misri ni lazima iache kutumia mabomu ya vishada haraka iwezekanavyo baada ya jeshi la nchi hiyo kutoa mkanda rasmi wa video unaoonyesha silaha waliozotumia katika oparesheni za hivi karibuni huko Sinai ya Kaskazini.
-
Kuendelea radiamali ya mashirika ya haki za binadamu kuhusiana na udikteta wa uchaguzi nchini Misri
Feb 14, 2018 09:06Katika radiamali ya hivi karibuni kabisa ya mashirika ya kimataifa kuhusiana na mchakato wa uchaguzi wa Rais nchini Misri, asasi na juumuiya kadhaa za haki za binadamu likiwemo Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch na waandishi wa habari wasio na mipaka zimetangaza kuwa, uchaguzi huo hauna hata vigezo vya chini kabisa vya kufanyika zoezi la upigaji kura katika mazingira ya wazi na huru.
-
Mashirika ya kutetea haki yautaja uchaguzi ujao wa Misri kama kichekesho
Feb 13, 2018 23:51Mashirika 14 ya kieneo na kimataifa ya kutetea haki za binadamu yameutaja uchaguzi ujao wa rais nchini Misri kama mchezo wa kuigiza.