Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Uzayuni wa kimataifa ndio uliofanya shambulizi la kigaidi Sinai Misri

    Uzayuni wa kimataifa ndio uliofanya shambulizi la kigaidi Sinai Misri

    Nov 29, 2017 12:53

    Mchambuzi mkuu wa gazeti kubwa zaidi binafsi la nchini Misri amesema kuwa, Uzayuni wa kimataifa ndio uliohusika katika mauaji ya umati yaliyofanyika Ijumaa iliyopita katika msikiti mmoja mkubwa kwenye Rasi ya Sinai, kaskazini mwa Misri.

  • Shakhsia 270 wa kisiasa wa Misri waanzisha kampeni ya kususia uchaguzi ujao wa rais

    Shakhsia 270 wa kisiasa wa Misri waanzisha kampeni ya kususia uchaguzi ujao wa rais

    Nov 29, 2017 01:35

    Mamia ya shakhsia wa kisiasa nchini Misri wameanzisha kampeni maalumu ya kuwahamasisha wananchi wasusie kushiriki uchaguzi ujao wa rais wa nchi hiyo.

  • Frankfurter Allgemeine: Utendaji mbaya wa serikali ya al Sisi unachochea ugaidi

    Frankfurter Allgemeine: Utendaji mbaya wa serikali ya al Sisi unachochea ugaidi

    Nov 27, 2017 11:35

    Gazeti la Frankfurter Allgemeine Zeitung linalochapishwa nchini Ujerumani limeshambulia vikali utendaji mbaya wa serikali ya Rais Abdul Fattah al Sisi nchini Misri na kusema inahusika kwa njia moja au nyingine katika kuchochea ugaidi.

  • Sheikh wa al Azhar aalikwa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu, Tehran

    Sheikh wa al Azhar aalikwa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu, Tehran

    Nov 27, 2017 04:41

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amemwalika rasmi Sheikh wa al Azhar nchini Misri kushiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utakaoanza tarehe 4 mwezi ujao wa Disemba hapa mjini Tehran.

  • Vyama vya siasa Misri vyalaani shambulizi la kigaidi dhidi ya Msikiti wa al Rawdhah

    Vyama vya siasa Misri vyalaani shambulizi la kigaidi dhidi ya Msikiti wa al Rawdhah

    Nov 26, 2017 04:51

    Vyama mbalimbali vya kisiasa nchini Misri vimelaani shambulizi la kigaidi dhidi ya Msikiti wa al Rawdhah katika mji wa al Arish makao makuu ya mkoa wa Sinai Kaskazini na kutangaza kuwa kuna njama zinatekelezwa kutoka nje ili kuzusha hali ya mchafukoge nchini humo.

  • Viongozi wa Iran waendelea kulaani shambulizi la kigaidi dhidi ya Waislamu msikitini Misri

    Viongozi wa Iran waendelea kulaani shambulizi la kigaidi dhidi ya Waislamu msikitini Misri

    Nov 25, 2017 12:50

    Viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameendelea kulaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga Waislamu waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala ya Ijumaa msikitini katika eneo la Sinai nchini Misri na kuua mamia ya watu wasio na hatia yoyote.

  • Iran yalaani vikali  hujuma ya kigaidi msikitini Misri

    Iran yalaani vikali hujuma ya kigaidi msikitini Misri

    Nov 25, 2017 04:19

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hujuma ya kigaidi wakati wa Sala ya Ijumaa msikitini katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini Misri.

  • Watu 235 wauawa katika shambulizi dhidi ya msikiti huko Sinai, Misri

    Watu 235 wauawa katika shambulizi dhidi ya msikiti huko Sinai, Misri

    Nov 24, 2017 10:45

    Kwa akali watu 185 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulizi la kigaidi dhidi ya msikiti mmoja katika Peninsula ya Sinai nchini Misri.

  • Wapinzani Misri: Mbinu ya serikali ya Cairo ya kuwakandamiza wapinzani imetoka Saudia

    Wapinzani Misri: Mbinu ya serikali ya Cairo ya kuwakandamiza wapinzani imetoka Saudia

    Nov 19, 2017 00:33

    Mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa zamani na mwanaharakati wa kisiasa nchini Misri, amesema kuwa, serikali ya Cairo imeanzisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani kwa kutumia mbinu ya utawala wa Aal Saud nchini Saudi Arabia.

  • Algeria: Magaidi wa Daesh wanakusudia kuweka kambi katika nchi za kaskazini mwa Afrika

    Algeria: Magaidi wa Daesh wanakusudia kuweka kambi katika nchi za kaskazini mwa Afrika

    Nov 16, 2017 04:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ametahadharisha kwamba, wanachama wa kundi hatari la kigaidi na kitakfiri la Daesh, wanakusudia kuweka kambi na kujizatiti katika nchi za kaskazini mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS