-
Mahakama ya Misri yapitisha adhabu ya kifungo cha maisha jela aliyopewa kiongozi wa Ikhwanul Muslimin
Nov 16, 2017 00:48Mahakama ya Rufaa ya Misri imepitisha adhabu ya kifungo cha maisha jela aliyohukumiwa Muhammad Badie, kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo ya Ikhwanul Muslimin pamoja na wanachama wengine kadhaa wa harakati hiyo kwa kuhusishwa na matukio ya Julai 5 mwaka 2013 katika mji wa Ismailiyyah.
-
Magaidi 10 waangamizwa katika Rasi ya Sinai nchini Misri
Nov 11, 2017 04:07Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuangamizwa magaidi 10 katika mkoa wa Sinai Kaskazini wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Watu 10 wauawa katika shambulizi la ISIS eneo la Sinai, Misri
Nov 10, 2017 11:15Kwa akali watu 10 wameuawa katika shambulizi la kundi la kigaidi lenye mafungamano la genge la kitakfiri la Daesh (ISIS) katika eneo la Sinai nchini Misri.
-
El-Sisi: Magaidi wa Daesh walioshindwa Iraq na Syria ni hatari kwa Libya na Misri
Nov 09, 2017 11:35Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ametoa tahadhari juu ya hatari ya wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh walioshindwa nchini Iraq na Syria kuingia Libya na kuchafua zaidi usalama wa nchi hiyo na majirani wake.
-
Kutofuata Misri siasa za Saudia dhidi ya Hizbullah ya Lebanon
Nov 09, 2017 10:07Rais wa Misri amesema kuwa licha ya Saudi Arabia kuzitaka nchi nyingine za Kiarabu kuiwekea vikwazo Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, serikali ya Cairo haina mpango wowote wa kutekeleza vikwazo hivyo dhidi ya harakati hiyo.
-
Misri yakataa kuburuzwa na Saudia; yapinga vikwazo dhidi ya Hizbullah ya Lebanon
Nov 08, 2017 04:22Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri amesisitiza kuwa, licha ya Saudi Arabia kuzitaka nchi za Kiarabu ziiwekee vikwazo Hizbullah ya Lebanon lakini Cairo haina nia kabisa ya kufanya hivyo.
-
Rais Al-Sisi wa Misri: Ninaheshimu katiba, sitagombea uchaguzi wa mwakani
Nov 07, 2017 23:25Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri amesema kuwa, hatojiandikisha kwa jili ya kugombea tena ushaguzi wa rais ujao kwa muhula wa tatu.
-
Watu wanne wauawa katika shambulizi la roketi Sinai, Misri
Oct 31, 2017 10:17Raia wanne wamepoteza maisha katika shambulizi la roketi lililotokea leo Jumanne katika mji wa Arish, katika Peninsula ya Sinai nchini Misri.
-
Polisi 12 wauawa na kujeruhiwa nchini Misri
Oct 30, 2017 00:29Duru za usalama za Misri zimetangaza habari ya kushambuliwa gari la polisi wa nchi hiyo na watu wenye silaha katika mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
Wafungwa zaidi ya elfu moja wa jela ya Tora Misri waanza mgomo wa kula
Oct 28, 2017 11:59Wafungwa wa jela yenye ulinzi mkali ya Tora mjini Cairo Misri wameanza mgomo wa kula chakula wakipinga mazingira mabaya yanatotawala jela hiyo.