-
Wanamgambo wa Hasm waua maafisa wasiopungua 30 wa polisi nchini Misri
Oct 21, 2017 00:50Mapigano yaliyotokea jana Ijumaa kati ya maafisa wa polisi na wanamgambo wa kundi la Hasm huko kusini mwa mji mkuu Cairo yamepelekea maafisa wasiopungua 30 wa polisi kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa.
-
Magaidi wavunja benki na kushambulia kanisa Misri, 7 wauawa
Oct 16, 2017 10:28Kwa akali watu saba wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya genge moja la kigaidi kuvamia benki na kuiba, sambamba na kushambulia kanisa katika eneo la Sinai, kaskazini mwa nchi.
-
Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai
Oct 16, 2017 04:32Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuwaua wanachama 24 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa nchi.
-
Wanajeshi sita wa Misri wauawa katika shambulio la kigaidi Sinai
Oct 13, 2017 11:20Watu wanaoaminika kuwa magaidi wakufurishaji wamewapiga risasi na kuwaua wanajeshi sita wa Misri katika eneo lililokumbwa na misukosuko la Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Misri yarefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi 3
Oct 12, 2017 10:36Kwa mara nyingine tena serikali ya Misri imeongeza muda wa sheria ya hali ya hatari nchini humo kwa miezi mitatu mingine.
-
Kiongozi wa zamani wa Ikhwanul Muslimin afariki dunia
Sep 23, 2017 04:16Kiongozi mkuu wa zamani wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin Mohammad Mahdi Akef, ameaga dunia Ijumaa mjini Cairo akiwa na umri wa miaka 89.
-
Misri: Kuna ulazima wa kutekeleza matakwa yaliyowasilishwa kwa Qatar
Sep 19, 2017 03:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa nchi nne zilizoiwekea vikwazo Qatar ziko tayari kutatua mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Muhammad Mursi ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kushirikiana na Qatar
Sep 16, 2017 23:40Mahakama moja nchini Misri imemuhukumu rais wa zamani wa Misri, Muhammad Mursi kifungo cha maisha jela.
-
Wamisri wataka wapinzani wa serikali ya Syria wafukuzwe nchini kwao
Sep 12, 2017 10:29Wananchi wa Misri wameitaka serikali ya nchi hiyo kuwatimua wapinzani wa serikali ya Syria walioko nchini humo.
-
Askari polisi 18 wa Misri wauawa Sinai; IS yatangaza kuhusika
Sep 11, 2017 11:16Askari polisi wasiopungua 18 wa Misri wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa wakati bomu liliporipuka karibu na msafara wa kikosi cha usalama katika Rasi ya Sinai kaskazini mwa nchi hiyo leo.