Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Wanamgambo wa Hasm waua maafisa wasiopungua 30 wa polisi nchini Misri

    Wanamgambo wa Hasm waua maafisa wasiopungua 30 wa polisi nchini Misri

    Oct 21, 2017 00:50

    Mapigano yaliyotokea jana Ijumaa kati ya maafisa wa polisi na wanamgambo wa kundi la Hasm huko kusini mwa mji mkuu Cairo yamepelekea maafisa wasiopungua 30 wa polisi kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Magaidi wavunja benki na kushambulia kanisa Misri, 7 wauawa

    Magaidi wavunja benki na kushambulia kanisa Misri, 7 wauawa

    Oct 16, 2017 10:28

    Kwa akali watu saba wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya genge moja la kigaidi kuvamia benki na kuiba, sambamba na kushambulia kanisa katika eneo la Sinai, kaskazini mwa nchi.

  • Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai

    Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai

    Oct 16, 2017 04:32

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuwaua wanachama 24 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa nchi.

  • Wanajeshi sita wa Misri wauawa katika shambulio la kigaidi Sinai

    Wanajeshi sita wa Misri wauawa katika shambulio la kigaidi Sinai

    Oct 13, 2017 11:20

    Watu wanaoaminika kuwa magaidi wakufurishaji wamewapiga risasi na kuwaua wanajeshi sita wa Misri katika eneo lililokumbwa na misukosuko la Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Misri yarefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi 3

    Misri yarefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi 3

    Oct 12, 2017 10:36

    Kwa mara nyingine tena serikali ya Misri imeongeza muda wa sheria ya hali ya hatari nchini humo kwa miezi mitatu mingine.

  • Kiongozi wa zamani wa Ikhwanul Muslimin afariki dunia

    Kiongozi wa zamani wa Ikhwanul Muslimin afariki dunia

    Sep 23, 2017 04:16

    Kiongozi mkuu wa zamani wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin Mohammad Mahdi Akef, ameaga dunia Ijumaa mjini Cairo akiwa na umri wa miaka 89.

  • Misri: Kuna ulazima wa kutekeleza matakwa yaliyowasilishwa kwa Qatar

    Misri: Kuna ulazima wa kutekeleza matakwa yaliyowasilishwa kwa Qatar

    Sep 19, 2017 03:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa nchi nne zilizoiwekea vikwazo Qatar ziko tayari kutatua mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Muhammad Mursi ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kushirikiana na Qatar

    Muhammad Mursi ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kushirikiana na Qatar

    Sep 16, 2017 23:40

    Mahakama moja nchini Misri imemuhukumu rais wa zamani wa Misri, Muhammad Mursi kifungo cha maisha jela.

  • Wamisri wataka wapinzani wa serikali ya Syria wafukuzwe nchini kwao

    Wamisri wataka wapinzani wa serikali ya Syria wafukuzwe nchini kwao

    Sep 12, 2017 10:29

    Wananchi wa Misri wameitaka serikali ya nchi hiyo kuwatimua wapinzani wa serikali ya Syria walioko nchini humo.

  • Askari polisi 18 wa Misri wauawa Sinai; IS yatangaza kuhusika

    Askari polisi 18 wa Misri wauawa Sinai; IS yatangaza kuhusika

    Sep 11, 2017 11:16

    Askari polisi wasiopungua 18 wa Misri wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa wakati bomu liliporipuka karibu na msafara wa kikosi cha usalama katika Rasi ya Sinai kaskazini mwa nchi hiyo leo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS