Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Watu wanne wauawa katika shambulizi la roketi Sinai, Misri

    Watu wanne wauawa katika shambulizi la roketi Sinai, Misri

    Oct 31, 2017 10:17

    Raia wanne wamepoteza maisha katika shambulizi la roketi lililotokea leo Jumanne katika mji wa Arish, katika Peninsula ya Sinai nchini Misri.

  • Polisi 12 wauawa na kujeruhiwa nchini Misri

    Polisi 12 wauawa na kujeruhiwa nchini Misri

    Oct 30, 2017 00:29

    Duru za usalama za Misri zimetangaza habari ya kushambuliwa gari la polisi wa nchi hiyo na watu wenye silaha katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Wafungwa zaidi ya elfu moja wa jela ya Tora Misri waanza mgomo wa kula

    Wafungwa zaidi ya elfu moja wa jela ya Tora Misri waanza mgomo wa kula

    Oct 28, 2017 11:59

    Wafungwa wa jela yenye ulinzi mkali ya Tora mjini Cairo Misri wameanza mgomo wa kula chakula wakipinga mazingira mabaya yanatotawala jela hiyo.

  • Wanamgambo wa Hasm waua maafisa wasiopungua 30 wa polisi nchini Misri

    Wanamgambo wa Hasm waua maafisa wasiopungua 30 wa polisi nchini Misri

    Oct 21, 2017 00:50

    Mapigano yaliyotokea jana Ijumaa kati ya maafisa wa polisi na wanamgambo wa kundi la Hasm huko kusini mwa mji mkuu Cairo yamepelekea maafisa wasiopungua 30 wa polisi kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Magaidi wavunja benki na kushambulia kanisa Misri, 7 wauawa

    Magaidi wavunja benki na kushambulia kanisa Misri, 7 wauawa

    Oct 16, 2017 10:28

    Kwa akali watu saba wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya genge moja la kigaidi kuvamia benki na kuiba, sambamba na kushambulia kanisa katika eneo la Sinai, kaskazini mwa nchi.

  • Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai

    Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai

    Oct 16, 2017 04:32

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuwaua wanachama 24 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa nchi.

  • Wanajeshi sita wa Misri wauawa katika shambulio la kigaidi Sinai

    Wanajeshi sita wa Misri wauawa katika shambulio la kigaidi Sinai

    Oct 13, 2017 11:20

    Watu wanaoaminika kuwa magaidi wakufurishaji wamewapiga risasi na kuwaua wanajeshi sita wa Misri katika eneo lililokumbwa na misukosuko la Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Misri yarefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi 3

    Misri yarefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi 3

    Oct 12, 2017 10:36

    Kwa mara nyingine tena serikali ya Misri imeongeza muda wa sheria ya hali ya hatari nchini humo kwa miezi mitatu mingine.

  • Kiongozi wa zamani wa Ikhwanul Muslimin afariki dunia

    Kiongozi wa zamani wa Ikhwanul Muslimin afariki dunia

    Sep 23, 2017 04:16

    Kiongozi mkuu wa zamani wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin Mohammad Mahdi Akef, ameaga dunia Ijumaa mjini Cairo akiwa na umri wa miaka 89.

  • Misri: Kuna ulazima wa kutekeleza matakwa yaliyowasilishwa kwa Qatar

    Misri: Kuna ulazima wa kutekeleza matakwa yaliyowasilishwa kwa Qatar

    Sep 19, 2017 03:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa nchi nne zilizoiwekea vikwazo Qatar ziko tayari kutatua mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS