Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • UN: Mateso yaliyoratibiwa yanafanyika katika jela za Misri

    UN: Mateso yaliyoratibiwa yanafanyika katika jela za Misri

    Sep 08, 2017 12:26

    Kamati ya Kimataifa ya Kupambana na Mateso ya Umoja wa Mataifa imeripoti habari kuhusu mateso yaliyoratibiwa yanayofanyika nchini Misri.

  • Human Rights Watch yaikosoa serikali ya Misri kwa kufanya jinai dhidi ya binadamu

    Human Rights Watch yaikosoa serikali ya Misri kwa kufanya jinai dhidi ya binadamu

    Sep 06, 2017 07:42

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetangaza kuwa mateso yanayofanyika katika jela za Misri ni jinia dhidi ya binadamu.

  • Misri na Marekani kuanza tena maneva baada ya kusimamishwa kwa miaka 8

    Misri na Marekani kuanza tena maneva baada ya kusimamishwa kwa miaka 8

    Sep 06, 2017 02:37

    Misri imetangaza kuwa itaanza tena kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi na Marekani baada ya kusimamishwa kwa takriban miaka minane.

  • Misri yawaweka mamia ya wanachama wa Ikhwani katika orodha ya magaidi

    Misri yawaweka mamia ya wanachama wa Ikhwani katika orodha ya magaidi

    Aug 30, 2017 10:57

    Serikali ya Misri imeweka watu 350 akthari yao wakiwa wanachama wa harakati ya Ikhwanul Muslimin katika orodha yake ya magaidi.

  • Mahakama ya Misri yawahukumu kifungo cha maisha watu 25

    Mahakama ya Misri yawahukumu kifungo cha maisha watu 25

    Aug 29, 2017 10:24

    Mahakama nchini Misri imewahukumu watu 25 kifungo cha maisha jela kwa tuhuma za kuhusika na matukio ya utumiaji mabavu ya mwaka 2015 nchini humo.

  • Misri yalalamikia hatua ya Marekani ya kuikatia misaada

    Misri yalalamikia hatua ya Marekani ya kuikatia misaada

    Aug 24, 2017 09:22

    Serikali ya Misri imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuikatia misaada nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika na kutahadharisha juu ya taathira hasi inayoikodolea macho Washington kutokana na kitendo chake hicho.

  • Raia 12 watiwa mbaroni Misri kwa kujihusisha na biashara ya viungo vya binadamu

    Raia 12 watiwa mbaroni Misri kwa kujihusisha na biashara ya viungo vya binadamu

    Aug 24, 2017 03:09

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza kuwa, imewatia mbaroni watu 12 wakiwemo madaktari na wauguzi kadhaa kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya magendo ya viungo vya binadamu.

  • Misri yakasirishwa na ripoti ya mwandishi wa Kijerumani kuhusu biashara ya viungo vya binadamu

    Misri yakasirishwa na ripoti ya mwandishi wa Kijerumani kuhusu biashara ya viungo vya binadamu

    Aug 22, 2017 23:13

    Duru za habari zimearifu kuwa picha iliyoonyeshwa na mwandishi habari wa Kijerumani kuhusu namna biashara ya viungo vya binadamu inavyofanywa nchini Misri imeikasirisha sana serikali ya nchi hiyo.

  • Misri yazuia misaada ya kibinadamu ya Algeria kuingia Gaza

    Misri yazuia misaada ya kibinadamu ya Algeria kuingia Gaza

    Aug 19, 2017 10:53

    Serikali ya Misri imezuia misafara ya misaada ya kibinadamu ya Algeria kuingizwa katika Ukanda wa Gaza.

  • Ripoti: Balozi wa Israel kurejea mjini Cairo, Misri

    Ripoti: Balozi wa Israel kurejea mjini Cairo, Misri

    Aug 17, 2017 02:28

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umesema utafungua tena ubalozi nchini Misri na kumrejesha balozi wake mjini Cairo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS