-
UN: Mateso yaliyoratibiwa yanafanyika katika jela za Misri
Sep 08, 2017 12:26Kamati ya Kimataifa ya Kupambana na Mateso ya Umoja wa Mataifa imeripoti habari kuhusu mateso yaliyoratibiwa yanayofanyika nchini Misri.
-
Human Rights Watch yaikosoa serikali ya Misri kwa kufanya jinai dhidi ya binadamu
Sep 06, 2017 07:42Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetangaza kuwa mateso yanayofanyika katika jela za Misri ni jinia dhidi ya binadamu.
-
Misri na Marekani kuanza tena maneva baada ya kusimamishwa kwa miaka 8
Sep 06, 2017 02:37Misri imetangaza kuwa itaanza tena kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi na Marekani baada ya kusimamishwa kwa takriban miaka minane.
-
Misri yawaweka mamia ya wanachama wa Ikhwani katika orodha ya magaidi
Aug 30, 2017 10:57Serikali ya Misri imeweka watu 350 akthari yao wakiwa wanachama wa harakati ya Ikhwanul Muslimin katika orodha yake ya magaidi.
-
Mahakama ya Misri yawahukumu kifungo cha maisha watu 25
Aug 29, 2017 10:24Mahakama nchini Misri imewahukumu watu 25 kifungo cha maisha jela kwa tuhuma za kuhusika na matukio ya utumiaji mabavu ya mwaka 2015 nchini humo.
-
Misri yalalamikia hatua ya Marekani ya kuikatia misaada
Aug 24, 2017 09:22Serikali ya Misri imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuikatia misaada nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika na kutahadharisha juu ya taathira hasi inayoikodolea macho Washington kutokana na kitendo chake hicho.
-
Raia 12 watiwa mbaroni Misri kwa kujihusisha na biashara ya viungo vya binadamu
Aug 24, 2017 03:09Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza kuwa, imewatia mbaroni watu 12 wakiwemo madaktari na wauguzi kadhaa kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya magendo ya viungo vya binadamu.
-
Misri yakasirishwa na ripoti ya mwandishi wa Kijerumani kuhusu biashara ya viungo vya binadamu
Aug 22, 2017 23:13Duru za habari zimearifu kuwa picha iliyoonyeshwa na mwandishi habari wa Kijerumani kuhusu namna biashara ya viungo vya binadamu inavyofanywa nchini Misri imeikasirisha sana serikali ya nchi hiyo.
-
Misri yazuia misaada ya kibinadamu ya Algeria kuingia Gaza
Aug 19, 2017 10:53Serikali ya Misri imezuia misafara ya misaada ya kibinadamu ya Algeria kuingizwa katika Ukanda wa Gaza.
-
Ripoti: Balozi wa Israel kurejea mjini Cairo, Misri
Aug 17, 2017 02:28Utawala wa Kizayuni wa Israel umesema utafungua tena ubalozi nchini Misri na kumrejesha balozi wake mjini Cairo.