-
Misri yatoa hukumu dhidi ya 152 waliopinga Saudia kupewa visiwa vya nchi hiyo
May 15, 2016 09:11Mahakama moja nchini Misri imewahukumu watu 152 kifungo cha kati ya miaka miwili hadi mitano jela kwa kushiriki maandamano ya Aprili 25 ya kupinga hatua ya serikali ya nchi hiyo kuipa Saudi Arabia visiwa viwili, vinavyomilikiwa na nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Al Azhar kuasisi asasi ya kukurubisha madhehebu ya Kiislamu Misri
May 12, 2016 23:41Mhadhiri mmoja wa fikihi katika Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri ametangaza habari ya kuasisiwa taasisi maalumu ya kukurubisha madhehebu ya Kiislamu.
-
Watu 8 wauawa Misri, el Sisi ataka vikwazo dhidi ya Libya viondolewe
May 08, 2016 03:06Watu wenye silaha wamelishambulia basi moja lililokuwa na maafisa wa polisi katika eneo la Halwan, kusini mwa mji mkuu wa Misri, Cairo, na kuua watu wanane akiwemo afisa mmoja wa polisi.
-
Kurejea Misri katika Bunge la Afrika
May 06, 2016 03:15Baada ya miaka kadhaa ya kuwa nje ya Bunge la Afrika, kwa mara nyingine tena Misri imerejea kwenye bunge hilo. Kuhusu suala hilo Ali Abdel Aal, spika wa bunge la Misri ameongoza ujumbe wa nchi yake katika kikao cha Bunge la Afrika huko Johannesburg Afrika Kusini.
-
Misri yarejea kwenye bunge la Afrika baada ya kutengwa kwa muda mrefu
May 04, 2016 10:06Hatimaye Misri imerudi kwenye bunge la Afrika baada ya kutengwa kwa kipindi cha miaka mitatu.
-
Polisi ya Misri wahujumu chama cha waandishi habari
May 02, 2016 12:23Polisi nchini Misri wamevamia idara ya waandishi habari mjini Cairo na kuwatia mbaroni waandishi habari wawili wanaotuhumiwa kuchochea maandamano dhidi ya serikali.
-
Misri yapongeza hatua ya Machar kurejea Juba kuunda serikali
Apr 28, 2016 23:39Serikali ya Misri imepongeza hatua ya Riek Machar, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini kurejea mjini Juba kwa ajili ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa na hasimu wake wa kisiasa Rais Salva Kiir.
-
Mtawala wa Misri El Sisi aendelea kukiuka haki za binadamu
Apr 28, 2016 03:19Rais Abdel Fatah el Sisi nchini Misri ameendelea kukiuka haki za binaadamu huku akikosolewa kitaifa na kimataifa kutokana na kuendelea kuzorota hali ya mambo nchini humo.
-
Waandishi habari waandamana Cairo kupinga hatua ya al Sisi na kuipa saudia visiwa vya Misri
Apr 25, 2016 22:06Wanachama wa Jumuiya ya Waandishi Habari wamefanya maandamano mjini Cairo wakipinga hatua ya Rais wa Misri, Abdul Fattah al Sisi ya kuipatia Saudi Arabia visiwa viwili vya Tiran na Sanafir na kupasisha makubaliano ya kuchora mipaka ya baharini kati ya nchi hizo mbili.
-
Wamisri waanzisha kampeni ya kupinga kutolewa visiwa viwili kwa Saudia
Apr 23, 2016 01:48Wanasiasa na wanaharakati wa Misri wameanzisha kampeni ya kupinga hatua ya Rais wa nchi hiyo, Adul Fattah al Sisi ya kuipatia Saudi Arabia visiwa viwili vya Tiran na Sanafir.