-
Rais wa Misri kotini kwa kuipa Saudia visiwa vya Sanafir na Tiran
Apr 20, 2016 03:13Chama kimoja cha upinzani nchini Misri kimempelekea mahakamani Rais Abdul Fattah al-Sisi wa nchi hiyo kufuatia uamuzi wake wa kukabidhi umiliki wa visiwa viwili vya kiistratejia kwa utawala wa Saudi Arabia.
-
Marais wa Ufaransa na Misri wasisitiza kuimarisha ushirikiano wa kimataifa dhidi ya ugaidi
Apr 18, 2016 02:45Marais wa Ufaransa na Misri wamesisitiza kuwa upo udharura wa kuimarisha ushirikiano wa kimataifa dhidi ya ugaidi.
-
Kuakisiwa kusalimu amri viongozi wa Misri mbele ya Saudi Arabia
Apr 16, 2016 08:15Wananchi wa Misri wametaka kung'olewa madarakani serikali ya al Sisi katika kulalamikia hatua ya serikali hiyo ya kuipatia Saudia visiwa visiwa vya Tiran na Sanafir vilivyoko katika bahari Nyekundu.
-
Hali yaendelea kuwa tete Misri katika kupinga uamzi wa serikali na Saudia
Apr 15, 2016 23:43Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Misri imetaka polisi kuchukua hatua za dharura kwa ajili ya kuzima kwa njia yoyote ile, maandamano ya wananchi wanaopinga hatua ya Rais Abdel Fattah el-Sisi kumpa visiwa viwili vya nchi hiyo Mfalme Salman wa Saudi Arabia.
-
Misri yawaonya wanaopinga Saudia kupewa visiwa
Apr 15, 2016 03:38Serikali ya Misri imesema itawachukulia hatua wanaopanga kushiriki katika maandamano ya leo Ijumaa kupinga hatua ya rais wa nchi hiyo kuipa Saudia visiwa viwili muhimu katika Bahari ya Sham.
-
Daesh: Ikhwanul Muslimin ya Misri ni makafiri na mamurtadi
Apr 14, 2016 09:54Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeitaja harakati kuu ya Waislamu wa Kisunni nchini Misri ya Ikhwanul Muslimin kuwa ni kundi la makafiri walioritadi na kuuasi Uislamu.
-
Al Sisi atetea hatua ya kuipatia Saudia visiwa viwili
Apr 13, 2016 10:03Rais wa Misri ametetea uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kuikabidhi Saudi Arabia visiwa viwili.
-
Wamisri kufanyika maandamano ya kupinga makubaliano ya Cairo na Riyadh
Apr 12, 2016 11:51Muungano wa kitaifa unaounga mkono serikali ya kidemokrasia na kupinga mapinduzi ya jeshi nchini Misri umetaka kufanyika maandamano kote nchini humo kulalamikia hatua ya Rais wa nchi hiyo ya kuipatia Saudi Arabia visiwa viwili vya nchi hiyo.
-
Hamas yakana kuzungumza na Misri kuhusu askari mateka wa Israel
Apr 04, 2016 12:00Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amekanusha madai ya kuwepo aina yoyote ya mazungumzo baina ya harakati hiyo na Misri kuhusu askari wa Israel wanaoshikiliwa mateka na Hamas.
-
Ikhwanul Muslimin yasisitiza kuendeleza mapambano kwa njia ya amani
Apr 03, 2016 23:00Kaimu Kiongozi wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri amesema kuwa harakati hiyo itaendelea kufanya maandamano na kuwasilisha malalamiko yake kwa njia ya amani.