Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Wizara ya Ulinzi ya Misri: Tumeua magaidi 65 Sinai Kaskazini

    Wizara ya Ulinzi ya Misri: Tumeua magaidi 65 Sinai Kaskazini

    Apr 02, 2016 11:58

    Wizara ya Ulinzi ya Misri imetangaza kuwa, vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo vimeua magaidi wasiopungua 65 katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Misri yamfunga kifungo cha nyumbani Hisham Ganinah

    Misri yamfunga kifungo cha nyumbani Hisham Ganinah

    Apr 01, 2016 12:26

    Duru za habari nchini Misri zimearifu kuwa, Mkuu wa Idara ya Mahesabu ya Taifa aliyeuzuliwa siku chache zilizopita na Rais Abdel Fattah el-Sisi, amewekwa katika kizuzi cha nyumbani nchini humo.

  • Aliyeteka nyara ndege ya Misri ajisalimisha kwa polisi ya Cyprus

    Aliyeteka nyara ndege ya Misri ajisalimisha kwa polisi ya Cyprus

    Mar 29, 2016 10:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Cyprus imesema kuwa, Seifuddin Mustafa, raia wa Misri aliyeteka nyara ndege ya abiria ya EgyptAir hatimaye amejisalimisha kwa vyombo vya usalama katika uwanja wa ndege wa Larnaca nchini Cyprus, baada ya masaa sita ya utekaji nyara.

  • Masalafi wapigwa marufuku kutoa mihadhara misikitini Misri

    Masalafi wapigwa marufuku kutoa mihadhara misikitini Misri

    Mar 27, 2016 22:29

    Wizara ya Waqfu ya Misri imetangaza kuwa imewapiga marufuku masalafi na wakufurishaji kupanda kwenye mimbari za misikiti kadhaa ya nchi hiyo na kutoa mihadhara ya kidini.

  • Takwa la Wamisri la kuondolewa madarakani Rais wa Misri el-Sisi

    Takwa la Wamisri la kuondolewa madarakani Rais wa Misri el-Sisi

    Mar 27, 2016 22:27

    Kwa mara nyingine tena raia wa Misri wamefanya maandamano ya kutaka kuondolewa madarakani Rais Abdel Fattah el-Sisi wa nchi hiyo. Wamisri katika mji wa Minya na kufanya maandamano, walimtaka rais huyo kuondoka madarakani mara moja.

  • Misri yatoa sharti kwa Hamas la kufanikisha maridhiano ya Wapalestina

    Misri yatoa sharti kwa Hamas la kufanikisha maridhiano ya Wapalestina

    Mar 27, 2016 10:03

    Gazeti la Ra'yul-Yaum linalochapishwa London, Uingereza limeripoti kuwa serikali ya Misri imetoa masharti kwa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ili kutekeleza maombi ya harakati hiyo.

  • El-Helbawy: Wanaowafitinisha Masuni na Mashia wana akili za kigomvi

    El-Helbawy: Wanaowafitinisha Masuni na Mashia wana akili za kigomvi

    Mar 26, 2016 23:35

    Mjumbe wa Baraza la Taifa la Haki za Binaadamu nchini Misri, Kamal El-Helbawy amesema kuwa, wale wanaozusha fitna baina ya Waislamu wa Kisuni na Kishia, wana akili zilizojengeka juu ya ugomvi.

  • Makubaliano ya ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Makubaliano ya ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi barani Afrika

    Mar 26, 2016 08:45

    Mawaziri wa Ulinzi na viongozi wa ngazi ya juu wa nchi 27 za Kiarabu na Kiafrika jana Ijumaa walifikia makubaliano katika mkutano uliofanyika Sharam-Sheikh nchini Misri kuhusu kuimarisha ushirikiano baina yao katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Kikao cha pamoja cha nchi za Kiarabu na Afrika huko Sharam-Sheikh Misri

    Kikao cha pamoja cha nchi za Kiarabu na Afrika huko Sharam-Sheikh Misri

    Mar 24, 2016 10:35

    Mawaziri wa Ulinzi wa nchi 27 za Kiarabu na Kiafrika wameanza kikao cha siku mbili katika mji wa Sharam-Sheikh nchini Misri kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na kuendesha mapambano dhidi ya ugaidi.

  • Rais wa Misri alifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri

    Rais wa Misri alifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri

    Mar 23, 2016 21:25

    Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri amelifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri na kuwateua mawaziri kumi wapya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS