-
Mufti wa Misri asisitiza kuweko ushirikiano wa kimataifa kwa ajili ya kupambana na ugaidi
Mar 23, 2016 10:29Mufti Mkuu wa Misri amesisitiza kuweko udharura wa ushirikiano wa kimataifa kwa ajili ya kupambana na ugaidi.
-
Harakati za kigaidi zashika kasi Sinai Kaskazini, Misri
Mar 21, 2016 04:31Magaidi wenye mfungamano na kundi la kitakfiri la Daesh wamezisisha harakati zao katika eneo la Sinai Kaskazini nchini Misri licha ya askari usalama wa nchi hiyo kunzisha operesheni ya kuliandamana kundi hilo tangu miezi sita iliyopita.
-
Harakati za kigaidi zashika kasi Sinai Kaskazini, Misri
Mar 21, 2016 03:39Magaidi wenye mfungamano na kundi la kitakfiri la Daesh wamezisisha harakati zao katika eneo la Sinai Kaskazini nchini Misri licha ya askari usalama wa nchi hiyo kunzisha operesheni ya kuliandamana kundi hilo tangu miezi sita iliyopita.
-
Mapigano yashuhudiwa kaskazini mwa Misri, Daesh watangaza kuhusika
Mar 19, 2016 23:38Mapigano makali yalishuhudiwa hapo jana kati ya watu wenye silaha na askari wa serikali nchini Misri katika eneo la karibu na mji wa El Arish, kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Waziri wa Sheria wa Misri alazimishwa kujiuzulu kufuatia matamshi yake ya kufuru
Mar 15, 2016 03:58Hatimaye Waziri wa Sheria wa Misri, Ahmed al-Zand ambaye siku chache zilizopita pia aliibua matamshi ya utata, amelazimika kujiuzulu mara hii ikiwa ni baada ya kutoa matamshi ya kufuru na ya kumvunjia heshima Mtume wa Uislamu (saw). Al-Zand amejiuzulu baada ya Waziri Mkuu wa Misri Sherif Ismail kumtaka afanye hivyo.
-
Waziri wa Sheria wa Misri atimuliwa kwa kumvunjia heshima Mtume (saw)
Mar 13, 2016 22:34Waziri wa Sheria wa Misri, Ahmed al-Zand ametimuliwa kazi siku mbili baada ya kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw) katika mahojiano ya televisheni.
-
Aboul Gheit wa Misri ndiye Katibu Mkuu mpya wa Arab League
Mar 11, 2016 04:46Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Misri, Ahmed Aboul Gheit ndiye Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).
-
Huwaidi: Wamisri wanaziona tuhuma za serikali dhidi ya Ikhwan na Hamas ni kichekesho
Mar 08, 2016 22:19Msomi na mwandishi maarufu wa nchini Misri, Fahmi Huwaidi amesema kuwa, tuhuma za hivi karibuni za Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo, dhidi ya Harakati ya Ikhwanul Muslimin na Harakati ya Kiislamu ya palestina Hammas, ni kichekesho.
-
Huwaidi: Tuhuma za serikali dhidi ya Ikhwan na Hamas ni kichekesho
Mar 08, 2016 11:05Msomi na mwandishi maarufu wa Misri, Fahmi Huwaidi amesema kuwa, tuhuma zilizotolewa hivi karibuni za Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo dhidi ya harakati ya Ikhwanul Muslimin na harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas, ni kichekesho.
-
Misri: Inawezekana Ikhwan na Hamas ndio waliopanga shambulio dhidi ya mwanasheria mkuu
Mar 07, 2016 03:05Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Misri, ameitaja Harakati iliyopigwa marufuku ya Ikhwanul Muslimin na harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas kuwa ndio waliohusika katika shambulio la kigaidi dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali ya nchi hiyo.