Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

moto

  • Namibia yafanikiwa kuzuia kuenea moto uliounguza zaidi ya theluthi moja ya mbuga ya taifa

    Namibia yafanikiwa kuzuia kuenea moto uliounguza zaidi ya theluthi moja ya mbuga ya taifa

    Sep 30, 2025 11:58

    Indileni Daniel Waziri wa Mazingira, Misitu na Utalii wa Namibia amesema kuwa nchi yake imeathiriwa na moto mkubwa wa nyika ambao umeteketeza zaidi ya theluthi moja ya Mbuga ya Taifa ya Etosha, mojawapo ya hifadhi kubwa zaidi barani Afrika.

  • Moto waua 50 katika ukumbi wa starehe Macedonia Kaskazini

    Moto waua 50 katika ukumbi wa starehe Macedonia Kaskazini

    Mar 16, 2025 11:32

    Moto uliokumba klabu ya anasa katika mji wa Kocani, Macedonia Kaskazini usiku wa manane wa kuamkia leo umesababisha makumi ya watu kuaga dunia na kujeruhiwa, kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya ndani.

  • Vijana wa Iraq wachoma moto ofisi ya kituo cha MBC cha Saudi Arabia

    Vijana wa Iraq wachoma moto ofisi ya kituo cha MBC cha Saudi Arabia

    Oct 19, 2024 07:47

    Vijana wa Iraq waliokuwa na hasira wamechoma moto ofisi ya MBC ya Saudi Arabia mjini Baghdad baada ya kituo hicho cha televisheni kuwatusi makamanda wa muqawama waliouawa shahidi kuwa ni magaidi.

  • Moto wateketeza hifadhi ya silaha Chad, 55 wauawa na kujeruhiwa

    Moto wateketeza hifadhi ya silaha Chad, 55 wauawa na kujeruhiwa

    Jun 19, 2024 11:01

    Makumi ya watu wamefariki dunia huku wengine wengi wakijeruhiwa kutokana na ajali ya moto iliyoikumba hifadhi ya silaha na zana za kijeshi nchini Chad.

  • Ethiopia kuwachukulia hatua wahalifu waliowachoma raia wakiwa hai, baadhi walikuwa na sare za jeshi

    Ethiopia kuwachukulia hatua wahalifu waliowachoma raia wakiwa hai, baadhi walikuwa na sare za jeshi

    Mar 13, 2022 02:24

    Serikali ya Ethiopia ilisema jana Jumamosi kwamba itawachukulia hatua wahusika baada ya mkanda wa video kuonekana kwenye mitandao ya kijamii ukiwaonyesha watu wenye silaha, baadhi wakiwa wamevalia sare za kijeshi, wakiwachoma moto raia hadi kufa katika eneo la Magharibi mwa nchi hiyo.

  • Wazimamoto Afrika Kusini wadhibiti moto uliounguza majengo ya Bunge, Cape Town

    Wazimamoto Afrika Kusini wadhibiti moto uliounguza majengo ya Bunge, Cape Town

    Jan 02, 2022 10:51

    Ripoti kutoka Afrika Kusini zinasema kuwa kikosi cha zimamoto kimefanikiwa kudhibiti kwa kiasi fulani moto mkubwa uliokuwa ukiunguza jengo la Bunge la nchi hiyo jijini Cape Town.

  • Moto wauawa watu 7 katika misitu ya Algeria

    Moto wauawa watu 7 katika misitu ya Algeria

    Aug 11, 2021 03:46

    Kwa akali watu saba wamepoteza maisha baada ya moto mkubwa kuteketeza misitu katika mkoa wa Tizi Ouzou nchini Algeria.

  • Zaidi ya 40 wauawa katika mkasa wa moto hospitalini Korea Kusini

    Zaidi ya 40 wauawa katika mkasa wa moto hospitalini Korea Kusini

    Jan 26, 2018 07:23

    Kwa akali watu 41 wamepoteza maisha baada ya moto mkali kuteketeza sehemu ya jengo la hospitali moja nchini Korea Kusini mapema leo.

  • 17 wapoteza maisha baada ya moto kuteketeza misitu, makazi Marekani

    17 wapoteza maisha baada ya moto kuteketeza misitu, makazi Marekani

    Oct 11, 2017 08:17

    Watu wasiopungua 17 wamefariki dunia katika mkasa wa moto unaoendelea kuteketeza misitu katika jimbo la California nchini Marekani.

  • Mkasa wa moto msituni waua watu 58 nchini Ureno

    Mkasa wa moto msituni waua watu 58 nchini Ureno

    Jun 18, 2017 13:45

    Habari kutoka Ureno zinasema watu 58 wamethibitishwa kufariki dunia baada ya moto mkubwa ulioanzia katika msitu mmoja uliko karibu na mji wa Pedrogao Grande, katikati mwa nchi kuteketeza magari na makazi ya watu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS