Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mpaka

  • Iran yatuma vikosi na zana za kijeshi katika mpaka wa kaskazini

    Iran yatuma vikosi na zana za kijeshi katika mpaka wa kaskazini

    Dec 18, 2023 11:11

    Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Iran ametangaza habari ya kutumwa wanajeshi na zana za kivita katika mpaka wa kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kiislamu ili kupiga jeki operesheni za kukabiliana na makundi ya kigaidi yalioazimia kuvuruga usalama wa taifa hili.

  • Burundi yafungua mipaka yake na Rwanda baada ya miaka 5

    Burundi yafungua mipaka yake na Rwanda baada ya miaka 5

    Oct 24, 2022 04:02

    Serikali ya Burundi imetangaza kufungua mipaka ya ardhini ya nchi hiyo na jirani yake Rwanda, baada ya kufungwa kwa kipindi cha miaka mitano.

  • Jenerali Baqeri: Iran inafuatilia nyendo zote za maadui mipakani

    Jenerali Baqeri: Iran inafuatilia nyendo zote za maadui mipakani

    Jul 03, 2022 07:59

    Kamanda Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza usalama imara na thabiti katika mipaka ya magharibi ya nchi hii na kusisitiza kuwa, Iran inafuatilia kwa jicho la karibu nyendo na harakati za kutilia shaka za maadui muda wote.

  • ICJ kuangalia upya ombi la Kenya juu ya mzozo wa mpaka wa bahari na Somalia

    ICJ kuangalia upya ombi la Kenya juu ya mzozo wa mpaka wa bahari na Somalia

    Oct 06, 2019 02:51

    Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) inatazamiwa wiki ijayo kuangalia upya ombi la Kenya la kutaka kuakhirishwa kwa muda wa mwaka mmoja kesi ya mzozo wa mpaka wa baharini baina ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki na Somalia.

  • Magaidi wawaua shahidi askari 2 wa Iran katika mpaka wa Pakistan

    Magaidi wawaua shahidi askari 2 wa Iran katika mpaka wa Pakistan

    Jul 21, 2019 12:31

    Wanachama wawili wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wameuawa shahidi katika makabiliiano na magaidi kusini mashariki mwa nchi, karibu na mpaka wa Pakistan.

  • Ethiopia yaondoa wanajeshi wake katika mpaka na Eritrea

    Ethiopia yaondoa wanajeshi wake katika mpaka na Eritrea

    Dec 15, 2018 02:41

    Katika kile kinachoonekana ni ishara ya kuendelea kuimarika uhusiano wa Asmara na Addis Ababa, jana Ijumaa serikali ya Ethiopia ilitangaza habari ya kuviondoa vikosi vyake vya jeshi katika mpaka na Eritrea.

  • Eritrea na Ethiopia zafungua mpaka wa pamoja baada ya miaka 20

    Eritrea na Ethiopia zafungua mpaka wa pamoja baada ya miaka 20

    Sep 11, 2018 13:48

    Viongozi wa Ethiopia na Eritrea wamefungua mpaka wao wa pamoja kwa mara ya kwanza baada ya kupita miongo miwili; hatua ambayo inatazamiwa kufungua mlango wa kuimarika uhusiano wa kibiashara wa majirani hao wa Pemba ya Afrika.

  • Djibouti yaitaka UN itatue mgogoro wa mpaka wake na Eritrea

    Djibouti yaitaka UN itatue mgogoro wa mpaka wake na Eritrea

    Jul 20, 2018 13:57

    Serikali ya Djibouti imeutaka Umoja wa Mataifa uingilie kati na kusuluhisha mgogoro wa mpaka wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na jirani yake Eritrea.

  • Eritrea yaondoa wanajeshi wake katika mpaka na Ethiopia

    Eritrea yaondoa wanajeshi wake katika mpaka na Ethiopia

    Jul 19, 2018 15:32

    Serikali ya Eritrea imewaondoa wanajeshi wake katika mpaka wake na Ethiopia uliokuwa ukilindwa vikali.

  • Mutharika: Mazungumzo mapya kuhusu mzozo wa mpaka wa Tanzania/Malawi kuanza

    Mutharika: Mazungumzo mapya kuhusu mzozo wa mpaka wa Tanzania/Malawi kuanza

    Feb 07, 2017 15:05

    Rais Peter Mutharika wa Malawi amesema duru mpya ya mazungumzo ya kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa mpaka wa nchi hiyo na jirani yake, Tanzania itaanza karibuni hivi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS