-
Mripuko wa bomu watikisa viungani mwa mji mkuu wa Misri, Cairo
May 26, 2016 03:36Idadi kubwa ya watu wanahofiwa kupoteza maisha katika mripuko wa bomu ulioutikisa mji wa Giza, ambao uko karibu na mji mkuu wa Misri, Cairo.
-
Mripuko wa bomu wauawa watu 3 garini DRC
Apr 16, 2016 02:50Watu watatu wameuawa katika mripuko wa kile kinachoaminika kuwa bomu la kutegwa garini mashariki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu watatu wauawa katika mripuko Somalia
Apr 13, 2016 23:18Watu watatu wameuawa na wengine wasiopungua sita kujeruhiwa katika mlipuko ulitokea jana Jumatano katika soko lililokuwa na watu wengi huko Somalia.
-
Mripuko ndani ya msikiti waua watu wawili na kujeruhi 15 nchini Somalia
Mar 31, 2016 23:52Watu wawili wameuawa na wengine 15 wamejeruhiwa wakati ulipotokea mripuko ndani ya msikiti katika mji wa Beledweyne mkoani Hiiraan katikati mwa Somalia hapo jana.
-
Mlipuko wa Bomu waua watu Bujumbura, Burundi
Feb 22, 2016 13:06Mlipuko uliotokea mapema leo mjini Bujumbura umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.
-
Msafara wa polisi wa Misri washambuliwa kwa bomu
Feb 22, 2016 04:21Polisi mmoja ameuawa na watu wengine 11 wamejeruhiwa baada ya kutokea mripuko katika msafara wa polisi hao kwenye mji wa al Arish nchini Misri.