Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

msaada wa kifedha

  • Indhari ya WHO kuhusu kushtadi migogoro ya kibinadamu kufuatia kusimamishwa misaada ya Marekani

    Indhari ya WHO kuhusu kushtadi migogoro ya kibinadamu kufuatia kusimamishwa misaada ya Marekani

    Apr 22, 2025 02:33

    Afisa mmoja wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Jumapili Aprili 20 alitahadharisha kuwa kupungua misaada ya nje ya Marekani kunaweza kuzidisha ugumu na kutatiza pakubwa migogoro ya kibinadamu kote ulimwenguni.

  • Umoja wa Mataifa walaani njama za kuichafua UNRWA

    Umoja wa Mataifa walaani njama za kuichafua UNRWA

    Feb 07, 2024 02:22

    Maripota wa Umoja wa Mataifa wametangaza kuwa, wanalaani vikali jaribio lolote la kuharamisha na kulichafua Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).

  • Maripota wa Umoja wa Mataifa walaani njama za kuichafua UNRWA

    Maripota wa Umoja wa Mataifa walaani njama za kuichafua UNRWA

    Feb 05, 2024 15:43

    Maripota wa Umoja wa Mataifa wametangaza kwamba wanalaani vikali jaribio lolote la kuharamisha na kuchafua Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).

  • Marekani yaikatisha tamaa Ukraine, onyo la Zelensky

    Marekani yaikatisha tamaa Ukraine, onyo la Zelensky

    Dec 23, 2023 06:20

    Kuendelea mvutano kati ya Warepublican na Ikulu ya White House juu ya kupasishwa msaada mpya kwa Ukraine, pamoja na kutoa kipaumbele Washington kwa vita vya Gaza na natija yake kusahaulika vita vya Ukraine, kumepelekea serikali ya Biden kuitahadharisha Kyiv kuhusu uwezekano wa kukatiwa au kupunguziwa kiasi kikubwa cha misaada yake.

  • Hatua mpya za Marekani katika fremu ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel

    Hatua mpya za Marekani katika fremu ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 30, 2023 11:35

    Tangu kuanza duru mpya ya vita kati ya utawala wa Kizayuni na makundi ya muqawama ya Palestina na operesheni ya Kimbunga ya Al-Aqsa na radiamali kali ya Wazayuni dhidi ya hatua hiyo, Marekani ikiwa mshirika wa kistratijia wa Israel imetoa himaya kubwa ya kisiasa, kidiplomasia na kijeshi kwa utawala huo ghasibu. Filihali Washington imechukua hatua mpya katika mwelekeo huu.

  • Visingizio vinavyotumiwa na Marekani kuzuia misaada kwa nchi maskini duniani

    Visingizio vinavyotumiwa na Marekani kuzuia misaada kwa nchi maskini duniani

    Jun 13, 2021 03:20

    Wakati maambukizi ya virusi vya corona na ugonjwa wa COVID-19 vikiendelea kusababisha mgogoro wa kiuchumi na umaskini katika nchi mbalimbali duniani na kuzifanya nchi hizo zihitajie misaada zaidi ya nchi tajiri, maafisa wa serikali ya Marekani wanafanya mikakati ya kuzuia misaada kwa nchi hizo kwa kutumia visingizio vya aina mbalimbali.

  • Umoja wa Afrika walaani kitendo cha Marekani cha kuikatia misaada WHO

    Umoja wa Afrika walaani kitendo cha Marekani cha kuikatia misaada WHO

    Apr 16, 2020 00:45

    Moussa Faki Mahamat, Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) amelaani kitendo cha Marekani cha kulikatia misaada ya kifedha Shirika la Afya Duniani (WHO) la Umoja wa Mataifa tena wakati huu wa vita vya dunia nzima dhidi ya corona.

  • Kufichuliwa msaada wa kifedha wa Marekani kwa al Qaida nchini Sudan

    Kufichuliwa msaada wa kifedha wa Marekani kwa al Qaida nchini Sudan

    Jul 27, 2018 04:43

    Kituo kimoja cha utafiti nchini Marekani kimefichua kuwa serikali ya zamani ya nchi hiyo ilikuwa ikilifadhili kifedha tawi la kundi la kigaidi la al Qaida huko Sudan.

  • EU: Tutaipatia Gambia msaada wa Euro milioni 75 ili kujidhaminia chakula

    EU: Tutaipatia Gambia msaada wa Euro milioni 75 ili kujidhaminia chakula

    Feb 10, 2017 04:26

    Neven Mimica, Kamishna wa Ushirikiano na Ustawi wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, umoja huo utaisaidia serikali ya Gambia msaada wa kiasi cha Euro milioni 75.

  • Wanavijiji nchini Mali washambuliana na kuuana

    Wanavijiji nchini Mali washambuliana na kuuana

    Jun 26, 2016 07:35

    Serikali ya Mali imetangaza kuwa, wakazi wa vijiji viwili katikati ya nchi hiyo wameshambuliana vikali na kusababisha watu wengi kuuawa na kujeruhiwa.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS