-
Mamia ya misikiti imebomolewa na Israel katika Ukanda wa Gaza
Oct 06, 2024 02:50Wizara ya Wakfu ya Gaza imetangaza kuwa misikiti zaidi ya 800 imebomolewa kikamilifu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina kufuatia vita na mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mvua na mafuriko yabomoa Msikiti mkongwe zaidi Niger
Sep 05, 2024 06:03Maafa ya mvua na mafuriko yanaendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali za magharibi mwa Afrika na kusababisha maafa makubwa ikiwa ni pamoja na kubomoa Msikiti mkongwe zaidi nchini Niger.
-
84% ya Misikiti ya Gaza imeharibiwa na mabomu ya Wazayuni
Aug 22, 2024 03:06Asilimia 84 ya Misikiti katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu imeharibiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Misikiti zaidi ya 600 yabomolewa Ukanda wa Gaza kufuatia mashambulizi ya Wazayuni
May 18, 2024 07:24Wizara ya Wakfu ya Gaza imetangaza kuwa misikiti 604 imebomolewa kikamilifu katika UKanda wa Gaza kufuatia vita na mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni.
-
Shambulio dhidi ya msikiti la sababu za kifamilia lajeruhi watu 24 wakiwemo watoto kaskazini ya Nigeria
May 16, 2024 06:23Polisi ya Nigeria imesema, watu wasiopungua 24 wakiwemo watoto wanne wamejeruhiwa katika jimbo la kaskazini la Kano baada ya mwanamume mmoja kushambulia msikiti waliokuwamo ndani yake watu hao waliokuwa wakisali na kusababisha mripuko.
-
Mapinduzi ya Kiislamu; chimbuko la mageuzi ya kiroho na kimaanawi ya wananchi wa Iran
Feb 05, 2024 06:24Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu nyingine ya mfululizo wa vipindi hivi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa Alfajiri Kumi kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 45 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya Iran yaliyotokea 1979
-
Hujuma za Israel zimebomoa misikiti 1,000 Gaza tokea Oktoba 7
Jan 22, 2024 12:02Wizara ya Wakfu na Masuala ya Dini katika Ukanda wa Gaza imesema mashambulizi ya vikosi vya utawala katili wa Israel dhidi ya eneo hilo lililozingirwa yamebomoa na kuharibu misikiti 1,000 tokea Oktoba 7 mwaka uliopita hadi sasa.
-
Serikali ya India yabomoa msikiti mwingine kwa kisingizio cha ujenzi wa barabara
Jan 17, 2023 07:28Serikali ya India imebomoa msikiti mwingine katika jimbo la Uttar Pradesh kwa kisingizio cha ujenzi wa barabara.
-
Mahakama ya India yakataa ombi la Waislamu, ubaguzi unaendelea
Sep 15, 2022 02:29Mahakama ya India imekataa ombi la Waislamu la kutupilia mbali shauuri la wanawake wa Kihindu la kutwaa msikiti wao katika mji wa Banaras.
-
Msikiti washambuliwa New York katika hujuma ya chuki dhidi ya Uislamu
Jul 13, 2022 03:46Msikiti mmoja umevunjiwa heshima mjini New York, huo ukiwa ni muendelezo wa vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Marekani.