-
Walowezi wa Kizayuni wafanya uvamizi tena katika msikiti wa al-Aqswa
Jul 21, 2016 23:48Walowezi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wamefanya uvamizi dhidi ya msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa huko Quds Tukufu Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Walowezi wa Kizayuni wauvamia tena Msikiti wa al-Aqswa
Jul 18, 2016 23:11Walowezi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wameuvamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa huko Quds Tukufu Palestina.
-
Wazayuni waendeleza jinai Siku ya Kimataifa ya Quds
Jul 01, 2016 10:48Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewauwa shahidi Wapalestina wawili kwa kuwapiga risasi.
-
Wazayuni wamevamia zaidi ya mara 100 katika mwezi mmoja maeneo matakatifu ya Palestina
Jun 05, 2016 10:56Waziri wa masuala ya kidini na waqfu wa Palestina amesema, Wazayuni wameuvamia mara chungu nzima msikiti mtukufu wa al-Aqsa na Haram ya Nabii Ibrahim (as) huko Alkhalil katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.
-
Kiongozi wa kidini wa Kizayuni atishia Waislamu kupoteza kikamilifu fursa ya kutumia Masjidul-Aqsa
Jun 02, 2016 03:19Kiongozi wa kidini wa Wazayuni Rabi Yehuda Glick amesema kukataa kugawanywa msikiti wa Al- Aqsa baina ya Waislamu na Mayahudi kutakuwa sawa na kufutwa kikamilifu haki ya Waislamu ya kutumia msikiti huo.
-
Watoto zaidi ya elfu mbili Kipalestina wauliwa shahidi na Wazayuni
Jun 01, 2016 10:58Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewauwa shahidi kwa kuwapiga risasi watoto wa Kipalestina zaidi ya elfu mbili tangu kuanza Intifadha ya Masjidul Aqsa mwaka 2000.
-
Mkuu wa Kamati Kuu ya Kiislamu ya Palestina atahadharisha kuhusiana na uvamizi wa Israel dhidi ya msikiti wa al-Aqswa
May 11, 2016 23:39Mkuu wa Kamati Kuu ya Kiislamu ya Palestina ametahadharisha kuhusiana na kukithiri hujuma na uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya msikiti mtakatifu wa al-Aqswa.
-
Wapalestina walaani Israel kumkamata Imam wa Masjid Al Aqsa
Apr 09, 2016 22:35Wapalestina wameendelea kulaani vikali hatua ya wanajeshi wa Israel kumkamata Imam na Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.
-
Wazayuni waendelea kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa
Feb 17, 2016 05:08Walowezi wa Kizayuni na askari wa utawala ghasibu wa Israel wameendelea kuushambulia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.