Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

NATO

  • Waziri wa Ujerumani: Uhusiano wa Ulaya na Marekani hautorudi tena katika zama za kabla ya Trump

    Waziri wa Ujerumani: Uhusiano wa Ulaya na Marekani hautorudi tena katika zama za kabla ya Trump

    Dec 05, 2017 15:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema, katika zama za urais wa Donald Trump nafasi ya nguvu za kisiasa za Marekani duniani si kama ilivyokuwa huko nyuma.

  • Katibu Mkuu wa Nato atahadharisha kuhusu vita na Korea ya Kaskazini

    Katibu Mkuu wa Nato atahadharisha kuhusu vita na Korea ya Kaskazini

    Oct 31, 2017 07:14

    Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) amezitahadharisha nchi zote husika kuhusu kupigana vita na Korea ya Kaskazini.

  • NATO yaunga mkono stratejia mpya ya Marekani kuhusu Afghanistan

    NATO yaunga mkono stratejia mpya ya Marekani kuhusu Afghanistan

    Aug 23, 2017 03:42

    Muungano wa Kijeshi wa NATO umeunga mkono uamuzi wa Rais wa Marekani wa kuongeza wanajeshi wengine nchini Afghanistan katika kalibu ya stratejia mpya ya Washington.

  • Russia: Marekani na NATO zinaruhusu magendo ya dawa za kulevya Afghanistan

    Russia: Marekani na NATO zinaruhusu magendo ya dawa za kulevya Afghanistan

    Aug 20, 2017 06:50

    Serikali ya Russia imetangaza kuwa, hatua ya Marekani na jumuiya ya kijeshi ya nchi za Magharibi NATO ya kutopambana na dawa za kulevya nchini Afghanistan licha ya kushadidi uzalishaji na magendo ya dawa hizo, inatia shaka na kustaajabisha.

  • Kikao cha Brussels cha mawaziri wa mambo ya nje wa NATO

    Kikao cha Brussels cha mawaziri wa mambo ya nje wa NATO

    Apr 02, 2017 04:47

    Kikao cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa shirika la kujihami la kijeshi la NATO kilifanyika siku ya Ijumaa iliyopita katika makao makuu ya shirika hilo mjini Brussels, Ubelgiji.

  • NATO yakiri, usalama wa Ulaya uko mashakamani

    NATO yakiri, usalama wa Ulaya uko mashakamani

    Mar 25, 2017 02:24

    Kamanda wa majeshi ya NATO barani Ulaya, Jenerali Curtis Scaparrotti amekiri kuwa bara hilo sasa limekuwa miongoni mwa maeneo hatari zaidi duniani.

  • Ayatullah Makarim: NATO ya Kiarabu ni njama ya Marekani na Uzayuni ya kuangamiza Ulimwengu wa Kiislamu

    Ayatullah Makarim: NATO ya Kiarabu ni njama ya Marekani na Uzayuni ya kuangamiza Ulimwengu wa Kiislamu

    Mar 02, 2017 14:32

    Ayatullah Naser Makarim Shirazi, Marjaa Taqlidi aliyeko katika mji wa Qum kusini mwa mji mkuu Tehran amesema NATO ya Kiarabu ni njama ya Kimarekani na Kizayuni yenye lengo la kuuangamiza Ulimwengu wa Kiislamu na kusisitiza kuwa viongozi wa Kiarabu wanaiona hatima ya Syria, Yemen na kaskazini mwa Iraq lakini wangali wamo kwenye usingizi wa mghafala.

  • Libya yaiomba Nato msaada wa kijeshi

    Libya yaiomba Nato msaada wa kijeshi

    Feb 16, 2017 15:44

    Serikali ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imeuomba Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) usaidie kuimarisha majeshi yake.

  • Ulaya: Trump weka wazi siasa zako za masuala ya kigeni

    Ulaya: Trump weka wazi siasa zako za masuala ya kigeni

    Jan 20, 2017 06:45

    Waziri wa Ulinzi wa Ujerumini, Ursula Gertrud von der Leyen amemtaka Donald Trump, rais mteule wa Marekani aweke wazi siasa zake za mambo ya kigeni hasa baada ya kujitokeza matamshi ya kugongana baina ya viongozi wa serikali ijayo ya Marekani kuhusu Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi, NATO.

  • Serikali ya Russia yaafikiana na Trump kuhusu NATO

    Serikali ya Russia yaafikiana na Trump kuhusu NATO

    Jan 17, 2017 03:03

    Ikulu ya Russia (Kremlin) imetangaza kuwa serikali ya nchi hiyo inaafiki mtazamo wa Rais Mteule wa Marekani Donald Trump kwamba Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) umepitwa na wakati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS