Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

NATO

  • Vikosi vya jeshi la Marekani vyakiri kuua raia 33 wa Afghanistan

    Vikosi vya jeshi la Marekani vyakiri kuua raia 33 wa Afghanistan

    Jan 12, 2017 15:28

    Vikosi vya jeshi la Marekani vilivyoko chini ya mwavuli wa shirika la kijeshi la NATO vimekiri kuwa viliua raia 33 wa Afghanistan wakiwemo watoto wadogo katika shambulio la mwezi Novemba jana lililofanywa kwa kisingizio cha kupambana na wanamgambo wa kundi la Taliban.

  • Russia yaikosoa vikali Nato kwa kuanzisha mgogoro

    Russia yaikosoa vikali Nato kwa kuanzisha mgogoro

    Jul 13, 2016 07:22

    Maria Zakharova Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia jana Jumanne aliwasilisha taarifa na kueleza kuwa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) una nafasi kubwa katika kuzua migogoro na kuendeleza hali ya mivutano katika maeneo mbalimbali duniani.

  • NATO yaanza mazoezi ya kijeshi baharini karibu na Russia

    NATO yaanza mazoezi ya kijeshi baharini karibu na Russia

    Jul 12, 2016 03:45

    Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) umeanza mazoezi ya kijeshi karibu kabisa na Russia.

  • Radiamali ya Iran kwa matamshi ya Nato kuhusu mpango wake wa makombora

    Radiamali ya Iran kwa matamshi ya Nato kuhusu mpango wake wa makombora

    Jul 11, 2016 07:46

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameitaja taarifa ya mwisho ya kikao cha wakuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) kuhusu mpango wa makombora wa Iran kuwa ni madai ya kukaririwa na yasiyo na msingi.

  • Russia yalaani NATO kujipania kuelekea Mashariki

    Russia yalaani NATO kujipania kuelekea Mashariki

    Jul 10, 2016 14:37

    Russia imelaani vikali hatua ya muungano wa kijeshi wa NATO kujipanua na kuelekeza nguvu zake Moscow wakati ambapo hakuna tishio lolote kutoka mashariki.

  • Tetesi za kuingia kwa mara nyingine NATO nchini Libya

    Tetesi za kuingia kwa mara nyingine NATO nchini Libya

    May 26, 2016 06:57

    Sambamba na kuongezeka matatizo ya kiusalama Libya, kuna taarifa kuwa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO linapanga kuingilia tena kijeshi katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Ombi la NATO la kustawisha ushirikiano na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na (P)GCC

    Ombi la NATO la kustawisha ushirikiano na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na (P)GCC

    Apr 10, 2016 07:10

    Naibu Katibu Mkuu wa Shirika la Kijeshi la NATO, Alexander Vershbow ametaka kustawishwa ushrikiano kati ya shirika hilo la kijeshi na Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P)GCC pamoja na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.

  • Nato na Russia huenda zikaanzisha mazungumzo baada ya miaka miwili

    Nato na Russia huenda zikaanzisha mazungumzo baada ya miaka miwili

    Apr 08, 2016 14:06

    Russia imesema kuwa huenda ikafanya mazungumzo na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi Nato katika wiki chache zijazo.

  • NATO kupanua operesheni za kukabiliana na wakimbizi

    NATO kupanua operesheni za kukabiliana na wakimbizi

    Mar 07, 2016 16:16

    Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la NATO, Jens Stoltenberg amesema kuwa jumuiya hiyo itapanua zaidi operesheni zake katika maji ya karibu na nchi za Ugiriki na Uturuki ili kuzuia wimbi la wahamiaji haramu kuelekea katika nchi za Magharibi.

  • Wanachama wa NATO kutoingilia vita vya Uturuki,Russia

    Wanachama wa NATO kutoingilia vita vya Uturuki,Russia

    Feb 21, 2016 02:49

    Baadhi ya nchi wanachama wa Shirika la Kijeshi la NATO zimetahadharisha kuhusu kushtadi kwa mivutano baina ya Uturuki na Russia na kusisitiza kuwa hazitoingilia endapo vitazuka vita baina ya nchi hizo mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS