Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ndege

  • Iran yalaani hatua ya Marekani ya kuiba ndege ya Rais wa Venezuela

    Iran yalaani hatua ya Marekani ya kuiba ndege ya Rais wa Venezuela

    Sep 06, 2024 03:02

    Msemaji Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hatua ya serikali ya Marekani kukamata ndege inayotumiwa na rais wa Venezuela.

  • Ndege ya abiria iliyoundwa Iran yafanyiwa majaribio kwa mafanikio  + Video

    Ndege ya abiria iliyoundwa Iran yafanyiwa majaribio kwa mafanikio  + Video

    May 31, 2023 03:47

    Ndege ya abiria na mizigo ya iliyopewa jina la Simorgh imeundwa kikamilifu na wataalamu wa Shirika la Viwanda vya Anga la Wizara ya Ulinzi ya Iran na imefanyiwa majaribio ya kuruka kwa mafanikio makubwa.

  • Kupuuza Misri takwa la Marekani dhidi ya Russia; ishara ya kufifia ushawishi wa Marekani

    Kupuuza Misri takwa la Marekani dhidi ya Russia; ishara ya kufifia ushawishi wa Marekani

    May 14, 2023 13:58

    Gazeti la Wall Street Journal limetangaza kuwa, Misri imepuuzilia mbali takwa la Marekani kwa nchi hiyo la kutoruhusu ndege za kijeshi za Russia kupita katika anga yake.

  • Marubani wa Kenya Airways wasitisha mgomo, waanza kazi

    Marubani wa Kenya Airways wasitisha mgomo, waanza kazi

    Nov 09, 2022 11:04

    Marubani wa Kampuni ya ndege ya Kenya, Kenya Airways mapema leo wamerejea kazini baada ya muungano wao (Kalpa), kusitisha mgomo uliovuruga safari za ndege kwa siku kadhaa.

  • Iran kuunda ndege ya abiria ya viti 50 karibuni

    Iran kuunda ndege ya abiria ya viti 50 karibuni

    Aug 25, 2022 03:41

    Mkuu wa Shirika la Uchukuzi wa Anga la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu imeandaa mikakati ya kuzalisha ndege yake ya abiria karibuni hivi.

  • Ndege maalumu ya shirika la ujasusi la Israel, Mossad yatua Riyadh, Saudi Arabia

    Ndege maalumu ya shirika la ujasusi la Israel, Mossad yatua Riyadh, Saudi Arabia

    Jul 12, 2022 03:20

    Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel vimeripoti kuwa, ndege maalumu ya shirika la ujasusi la utawala huo Mossad imetua katika mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.

  • Indonesia yathibitisha kuanguka baharini ndege iliyokuwa imebeba abiria 62

    Indonesia yathibitisha kuanguka baharini ndege iliyokuwa imebeba abiria 62

    Jan 10, 2021 08:18

    Wizara ya Uchukuzi ya Indonesia imethibitisha kuwa, ndege ya abiria ya nchi hiyo ambayo iliripotiwa kupoteza mawasiliano muda mfupi baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Jakarta, imeanguka baharini ikiwa na abiria 62 wakiwemo watoto 10.

  • Tanzania yazuia safari za Kenya Airways nchini humo

    Tanzania yazuia safari za Kenya Airways nchini humo

    Aug 01, 2020 04:03

    Tanzania imesimamisha shirika la ndege la Kenya (KQ) kufanya safari za kwenda Tanzania kuanzia leo tarehe Mosi Agosti, siku moja baada ya Kenya kutangaza kuwa itafungua anga zake kwa usafiri wa kimataifa isipokuwa kutoka baadhi ya nchi ikiwemo Tanzania.

  • Jeshi la Iran lapokea ndege 8 za kijeshi zilizofanyiwa ukarabati kamili nchini

    Jeshi la Iran lapokea ndege 8 za kijeshi zilizofanyiwa ukarabati kamili nchini

    Feb 20, 2020 12:29

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limepokea ndege 8 za kijeshi ambazo zimefanyiwa ukarabati kamili yaani overhaul ndani ya nchi.

  • Rais Rouhani: Jopo la uchunguzi wa ajali ya ndege ya Ukraine libuniwe

    Rais Rouhani: Jopo la uchunguzi wa ajali ya ndege ya Ukraine libuniwe

    Jan 14, 2020 12:04

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kuundwa jopo maalumu la mahakama la kuchunguza ajali ya ndege ya Ukraine iliyoua watu 176 siku chache zilizopita hapa jijini Tehran, sanjari na kuwafikisha mbele ya sheria wahusika wa ajali hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS