-
Rais Ebarahim Raisi: Iran ni tumaini la wanyonge na majuto kwa mabeberu
Aug 23, 2022 01:25Rais Ebrahim Raisi amesema kuwa, licha ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa chini ya mashinikizo makubwa ya kila upande kwa makumi ya miaka sasa, lakini vijana wa nchi hii wakiwemo wa sekta ya ulinzi wamepiga hatua kubwa ya kujivunia.
-
EABC yazitaka nchi zote za Afrika Mashariki kufungua anga zao, kuruhusu utalii na biashara
Jul 14, 2020 13:08Baraza la Biashara la Nchi za Afrika Mashariki (EABC), limezisihi nchi zote za kanda hiyo kufuata mfano wa Tanzania kwa kufungua anga zao ili kuruhusu safari za kimataifa kuingia na kutoka katika nchi zote za kanda hiyo.
-
Iran na Ukraine zasisitizia kutoingizwa siasa katika suala la kuanguka ndege ya Ukraine
Feb 11, 2020 07:59Katibu Mkuu wa Baraza la Uslama wa Taifa la Iran na Katibu Mkuu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Ukraine, kwa pamoja wamesisitiza kutoingizwa siasa katika faili la kuanguka ndege ya abiria ya Ukraine nchini hapa.
-
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatoa mkono wa pole kwa serikali na raia wa Russia kutokana na ajali ya ndege
May 07, 2019 04:12Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Abbas Mousavi amesema kuwa Iran inatoa mkono wa pole kwa serikali na raia wa Russia kufuatia ajali ya ndege ya abiria ya nchi hiyo.
-
Qassemi: Jinai ya Marekani ya kutungua ndege ya abiria ya Iran haitasahaulika
Jul 03, 2018 15:22Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa Wairani kamwe hawatasahau jinai ya shambulizi la meli ya kivita ya Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran katika anga ya maji ya Ghuba ya Uajemi.
-
Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mabaki ya ndege ya ATR yameonekana
Feb 20, 2018 08:18Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH (IRGC) amesema mabaki ya ndege ya ATR ya shirika la ndege la Aseman yamepatikana.
-
Malaysia yathibitisha mabaki ya ndege yaliyopatikana Tanzania ni ya ndege yake iliyotoweka
Sep 15, 2016 15:56Waziri wa Usafirishaji wa Malaysia amesema kuwa kipande kikubwa cha sehemu ya ndege kilichopatikana katika kisiwa cha Pemba nchini Tanzania mwezi Juni mwaka huu ni cha ndege yake ya Boeing 777 iliyotoweka zaidi ya miaka miwili iliopita.
-
Miili mingine ya walioaga dunia katika ajali ya EgyptAir yapatikana
Jul 04, 2016 07:22Mabaki mengine ya viwiliwili vya watu waliofariki dunia kwenye ajali ya ndege ya abiria ya shirika la ndege la EgyptAir la Misri yamepatikana katika Bahari ya Mediterania.
-
66 wahofiwa kupoteza maisha baada ya ndege ya abiria ya Misri kutoweka kwenye rada
May 19, 2016 07:10Ndege ya abiria ya shirika la EgyptAir iliyokuwa imebea abiria 56 na wahudumu 10 wakiwemo marubani imetoweka kwenye rada, ikitokea mji mkuu wa Ufaransa Paris kuelekea Cairo, mji mkuu wa Misri.
-
Mabaki ya ndege ya EgyptAir yapatikana Baharini
May 20, 2016 16:26Jeshi Wanamaji la Misri limesema kuwa limepata baadhi ya mabaki ya ndege ya abiria ya EgyptAir katika Bahari ya Mediterranean yapata kilomita 290 kaskazini mwa mji wa pwani wa Alexandria.