Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Netanyahu

  • Netanyahu na Lieberman wafutiwa kibali cha kuanzisha vita bila ya idhini ya baraza la mawaziri

    Netanyahu na Lieberman wafutiwa kibali cha kuanzisha vita bila ya idhini ya baraza la mawaziri

    May 24, 2018 22:49

    Baraza la Usalama la utawala wa Kizayuni wa Israel limebatilisha kibali alichokuwa amepewa waziri mkuu na waziri wa vita wa utawala huo cha kuanzisha vita dhidi ya nchi yoyote ile bila ya kupata idhini ya baraza la mawaziri.

  • Associated Press lafichua: Nentayahu alionana na mabalozi wa UAE na Bahrain, Washington

    Associated Press lafichua: Nentayahu alionana na mabalozi wa UAE na Bahrain, Washington

    May 13, 2018 11:12

    Shirika la habari la Associated Press limefichua kuwa Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na mabalozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Bahrain nchini Marekani mnamo mwezi Machi mwaka huu, hatua inayozidi kuweka wazi uhusiano mzuri uliopo kati ya Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu.

  • Malengo mawili ya makelele mapya ya Netanyahu dhidi ya Iran

    Malengo mawili ya makelele mapya ya Netanyahu dhidi ya Iran

    May 04, 2018 02:20

    Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Jumatatu usiku aliendeleza vitendo vyake vya chuki na ghilba za kisiasa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuonesha mbele ya kamera za vyombo vya habari vitu alivyodai kuwa eti ni ushahidi kwamba Iran inafanya juhudi za siri za kumiliki silaha za nyuklia.

  • Iran yaitaka Israel na waungaji mkono wake waache chokochoko zao la sivyo watajuta

    Iran yaitaka Israel na waungaji mkono wake waache chokochoko zao la sivyo watajuta

    May 01, 2018 23:17

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameuonya utawala haramu wa Israel na waungaji mkono wake na kuwataka waache njama na miamala yao hatari kwani jibu la Iran litakuwa la kushtukiza na la kuwafanya wajute.

  • Kuendelea madai ya kichekesho ya Netanyahu kuhusu Iran

    Kuendelea madai ya kichekesho ya Netanyahu kuhusu Iran

    May 01, 2018 02:48

    Waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Jumatatu usiku, katika maonyesho yake mapya ya kipropaganda dhidi ya Iran, ameonyesha picha, CD na karatasi na kudai ni nyaraka zisizopingika kuhusu kile alichodai kuwa eti ni mpango wa siri wa Iran wa kuunda bomu la atomiki.

  • Mogherini ajibu mchezo wa kitoto wa Netanyahu kuhusu mapatano ya JCPOA

    Mogherini ajibu mchezo wa kitoto wa Netanyahu kuhusu mapatano ya JCPOA

    May 01, 2018 00:06

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, usiku wa kuamkia leo amejibu mchezo wa kitoto wa Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel aliyedai kuwa eti Iran haijaheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Haaretz: Iran; ajenda kuu ya mazungumzo ya Waziri mpya wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani na Netanyahu

    Haaretz: Iran; ajenda kuu ya mazungumzo ya Waziri mpya wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani na Netanyahu

    Apr 29, 2018 03:19

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeripoti kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni ajenda kuu itakayojadiliwa katika mazungumzo kati ya Mike Pompeo Waziri mpya wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani na Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni.

  • Maelfu ya Waisraeli waandamana kupinga udikteta wa Netanyahu

    Maelfu ya Waisraeli waandamana kupinga udikteta wa Netanyahu

    Apr 22, 2018 09:13

    Maelfu ya Waisraeli wamemiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kupinga kile waliochokitaja kama udikteta wa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu sambamba na kushinikiza afungwe jela kutokana na kashfa za ufisadi wa kifedha zinazomuandama.

  • Netanyahu afuta makubaliano na UN kuhusu wahajiri wa Kiafrika

    Netanyahu afuta makubaliano na UN kuhusu wahajiri wa Kiafrika

    Apr 03, 2018 21:59

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amebatilisha makubaliano kati ya Tel Aviv na Umoja wa Mataifa, kuhusu kupelekwa katika nchi za Magharibi wahajiri wa Kiafrika wanaoishi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.

  • Erdoğan amwita Netanyahu 'gaidi' na aitaja Israel 'dola la kigaidi'

    Erdoğan amwita Netanyahu 'gaidi' na aitaja Israel 'dola la kigaidi'

    Apr 02, 2018 00:06

    Matamshi makali ya ukosoaji yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina yamepelekea kuibuka vita vya maneno kati yake na Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel Benjamin Netanyahu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS