Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Watu 23 wapoteza maisha wakigombania chakula Niger

    Watu 23 wapoteza maisha wakigombania chakula Niger

    Feb 18, 2020 04:27

    Kwa akali watu 23 wameuawa katika mkanyagano wa kugombania chakula cha msaada nchini Niger.

  • Rais wa Niger amfuta kazi Mkuu wa Majeshi baada ya kuuawa askari 174

    Rais wa Niger amfuta kazi Mkuu wa Majeshi baada ya kuuawa askari 174

    Jan 14, 2020 08:30

    Rais Issoufou Mahamadou wa Niger amempiga kalamu nyekundu Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo, Luteni Jenerali Ahmed Mohamed kufuatia mashambulio ya magenge ya kigaidi na waasi yaliyoua askari 174 wa nchi hiyo tokea mwezi Disemba mwaka uliomalizika wa 2019 hadi sasa.

  • Mapigano mapya yaua watu 14 magharibi mwa Niger

    Mapigano mapya yaua watu 14 magharibi mwa Niger

    Dec 27, 2019 21:01

    Watu wenye silaha wameshambulia msafara wa magari ya kijeshi katika eneo la Tillabéri la magharibi mwa Niger na kuua watu wasiopungua 14.

  • 17 wauawa katika mapigano na magaidi magharibi mwa Niger

    17 wauawa katika mapigano na magaidi magharibi mwa Niger

    Dec 11, 2019 08:51

    Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa wanajeshi watatu wa nchi hiyo na magaidi 14 wameuawa katika shambulizo la kundi moja la kigaidi kwenye kambi ya jeshi magharibi mwa nchi.

  • Wanajeshi 12 wa Niger wauawa katika shambulio la Boko Haram

    Wanajeshi 12 wa Niger wauawa katika shambulio la Boko Haram

    Oct 31, 2019 04:27

    Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa, wanajeshi 12 wa nchi hiyo wameuawa baada ya kambi yao kushambuliwa na kundi la kigaidi la Boko Haram kusini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Maelfu ya watu wamekuwa wakimbizi nchini Niger kutokana na mafuriko

    Maelfu ya watu wamekuwa wakimbizi nchini Niger kutokana na mafuriko

    Oct 21, 2019 23:51

    Mafuriko yaliyoyaathiri maeneo ya kusini mashariki mwa Niger tangu mwanzoni mwa mwezi Oktoba hadi sasa yamesaabisha watu elfu 23 kukosa makazi.

  • UN: Mapigano yamefanya watu 40,000 wakimbie Nigeria

    UN: Mapigano yamefanya watu 40,000 wakimbie Nigeria

    Sep 28, 2019 07:44

    Umoja wa Mataifa umesema mapigano na ghasia huko kaskazini magharibi mwa Nigeria zimefanya makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wakimbilie usalama wao katika nchi jirani ya Niger.

  • Juhudi za Niger na Nigeria za kukabiliana na makundi ya wabeba silaha

    Juhudi za Niger na Nigeria za kukabiliana na makundi ya wabeba silaha

    Sep 09, 2019 02:57

    Viongozi wa majimbo ya mpakani ya Niger na Nigeria wamefanya vikao vya pamoja kwa madhumuni ya kukabiliana na vitendo vya mabavu vinavyotekelezwa na makundi ya wabeba silaha.

  • Madaktari wasio na mipaka (MSF) wakabiliana na ukosefu wa usalama huko Niger

    Madaktari wasio na mipaka (MSF) wakabiliana na ukosefu wa usalama huko Niger

    Aug 10, 2019 23:22

    Wafanyakazi wa Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) nchini Niger wamelazimika kuondoka kusini mashariki mwa nchi hiyo kutokana na ukosefu wa usalama.

  • Niger yawatahadharisha raia wake na uharamia wa utekaji nyara wa Boko Haram

    Niger yawatahadharisha raia wake na uharamia wa utekaji nyara wa Boko Haram

    Aug 04, 2019 09:15

    Viongozi wa serikali ya Niger wametoa indhari kwa raia wa nchi hiyo kujihadhari na uharamia unaofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram wa kuteka watu nyara na kudai kikomboleo cha fedha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS