-
Watu 23 wapoteza maisha wakigombania chakula Niger
Feb 18, 2020 04:27Kwa akali watu 23 wameuawa katika mkanyagano wa kugombania chakula cha msaada nchini Niger.
-
Rais wa Niger amfuta kazi Mkuu wa Majeshi baada ya kuuawa askari 174
Jan 14, 2020 08:30Rais Issoufou Mahamadou wa Niger amempiga kalamu nyekundu Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo, Luteni Jenerali Ahmed Mohamed kufuatia mashambulio ya magenge ya kigaidi na waasi yaliyoua askari 174 wa nchi hiyo tokea mwezi Disemba mwaka uliomalizika wa 2019 hadi sasa.
-
Mapigano mapya yaua watu 14 magharibi mwa Niger
Dec 27, 2019 21:01Watu wenye silaha wameshambulia msafara wa magari ya kijeshi katika eneo la Tillabéri la magharibi mwa Niger na kuua watu wasiopungua 14.
-
17 wauawa katika mapigano na magaidi magharibi mwa Niger
Dec 11, 2019 08:51Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa wanajeshi watatu wa nchi hiyo na magaidi 14 wameuawa katika shambulizo la kundi moja la kigaidi kwenye kambi ya jeshi magharibi mwa nchi.
-
Wanajeshi 12 wa Niger wauawa katika shambulio la Boko Haram
Oct 31, 2019 04:27Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa, wanajeshi 12 wa nchi hiyo wameuawa baada ya kambi yao kushambuliwa na kundi la kigaidi la Boko Haram kusini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Maelfu ya watu wamekuwa wakimbizi nchini Niger kutokana na mafuriko
Oct 21, 2019 23:51Mafuriko yaliyoyaathiri maeneo ya kusini mashariki mwa Niger tangu mwanzoni mwa mwezi Oktoba hadi sasa yamesaabisha watu elfu 23 kukosa makazi.
-
UN: Mapigano yamefanya watu 40,000 wakimbie Nigeria
Sep 28, 2019 07:44Umoja wa Mataifa umesema mapigano na ghasia huko kaskazini magharibi mwa Nigeria zimefanya makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wakimbilie usalama wao katika nchi jirani ya Niger.
-
Juhudi za Niger na Nigeria za kukabiliana na makundi ya wabeba silaha
Sep 09, 2019 02:57Viongozi wa majimbo ya mpakani ya Niger na Nigeria wamefanya vikao vya pamoja kwa madhumuni ya kukabiliana na vitendo vya mabavu vinavyotekelezwa na makundi ya wabeba silaha.
-
Madaktari wasio na mipaka (MSF) wakabiliana na ukosefu wa usalama huko Niger
Aug 10, 2019 23:22Wafanyakazi wa Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) nchini Niger wamelazimika kuondoka kusini mashariki mwa nchi hiyo kutokana na ukosefu wa usalama.
-
Niger yawatahadharisha raia wake na uharamia wa utekaji nyara wa Boko Haram
Aug 04, 2019 09:15Viongozi wa serikali ya Niger wametoa indhari kwa raia wa nchi hiyo kujihadhari na uharamia unaofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram wa kuteka watu nyara na kudai kikomboleo cha fedha.