-
Watu 6 wauliwa na genge lenye silaha kusini mwa Niger
Jul 20, 2019 04:48Viongozi wa Niger wamethibitisha habari ya kuuawa watu sita katika shambulio la genge moja lenye silaha kusini mwa nchi hiyo katika mpaka wake na Nigeria.
-
Niger yarefusha hali ya hatari katika maeneo ya kaskazini na magharibi mwa nchi
Jun 15, 2019 21:57Serikali ya Niger imetangaza kurefusha muda wa hali ya hatari katika maeneo ya mashariki na magharibi mwa nchi hiyo kwa miezi mingine mitatu.
-
Daesh yatangaza kuhusika na mauaji ya askari 28 wa Niger
May 17, 2019 03:04Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) limetangaza kuhusika na shambulio dhidi ya msafara wa magari ya jeshi la Niger na kuua askari 28 wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Watu 10 wauawa katika hujuma ya Boko Haram nchini Niger
Mar 27, 2019 11:35Watu 10 wameuawa katika shambulizi la bomu la kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram mashariki mwa Niger.
-
Waniger waandamana kupinga uwepo wa askari wa kigeni nchini kwao
Mar 17, 2019 03:33Mamia ya raia wa Niger jana Jumamosi walifanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Niamey wakipinga uwepo wa askari wa kigeni katika nchi yao.
-
Magaidi 33 wa Boko Haram waangamizwa mashariki mwa Niger
Mar 13, 2019 09:40Jeshi la Niger limetangaza kuwa, limewaangamiza wanachama 33 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni kabambe ya jeshi hilo kusini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Askari 7 wa Niger wauawa katika mapigano na Boko Haram
Feb 17, 2019 04:39Wanajeshi saba wa Niger wameuawa baada ya kambi yao kushambuliwa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kusini mashariki mwa nchi karibu na mpaka wa Nigeria.
-
Wanajeshi 10 wauawa katika mpaka wa Niger na Nigeria
Jan 01, 2019 04:37Siku moja baada ya raia 10 kuuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia shambulio la kigaidi, askari kumi waliokuwa katika operesheni ya pamoja wameuawa na watu waliokuwa wamebeba silaha katika mpaka wa nchi hiyo na Niger.
-
Machafuko Niger yapelekea watu 52,000 kuwa wakimbizi
Dec 14, 2018 03:13Machafuko katika maeneo ya mpaka wa Niger na nchi za Mali na Burkina Faso yamepelekea raia 52,000 wa Niger kuwa wakimbizi mwaka huu wa 2018.
-
Wasichana 18 watekwa nyara na watu waliojizatiti kwa silaha Niger
Nov 25, 2018 04:40Wasichana wasiopungua 18 wameripotiwa kutekwa nyara na watu waliokuwa wamejizatiti kwa silaha kusini mashariki mwa Niger.