Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Watu 6 wauliwa na genge lenye silaha kusini mwa Niger

    Watu 6 wauliwa na genge lenye silaha kusini mwa Niger

    Jul 20, 2019 04:48

    Viongozi wa Niger wamethibitisha habari ya kuuawa watu sita katika shambulio la genge moja lenye silaha kusini mwa nchi hiyo katika mpaka wake na Nigeria.

  • Niger yarefusha hali ya hatari katika maeneo ya kaskazini na magharibi mwa nchi

    Niger yarefusha hali ya hatari katika maeneo ya kaskazini na magharibi mwa nchi

    Jun 15, 2019 21:57

    Serikali ya Niger imetangaza kurefusha muda wa hali ya hatari katika maeneo ya mashariki na magharibi mwa nchi hiyo kwa miezi mingine mitatu.

  • Daesh yatangaza kuhusika na mauaji ya askari 28 wa Niger

    Daesh yatangaza kuhusika na mauaji ya askari 28 wa Niger

    May 17, 2019 03:04

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) limetangaza kuhusika na shambulio dhidi ya msafara wa magari ya jeshi la Niger na kuua askari 28 wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Watu 10 wauawa katika hujuma ya Boko Haram nchini Niger

    Watu 10 wauawa katika hujuma ya Boko Haram nchini Niger

    Mar 27, 2019 11:35

    Watu 10 wameuawa katika shambulizi la bomu la kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram mashariki mwa Niger.

  • Waniger waandamana kupinga uwepo wa askari wa kigeni nchini kwao

    Waniger waandamana kupinga uwepo wa askari wa kigeni nchini kwao

    Mar 17, 2019 03:33

    Mamia ya raia wa Niger jana Jumamosi walifanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Niamey wakipinga uwepo wa askari wa kigeni katika nchi yao.

  • Magaidi 33 wa Boko Haram waangamizwa mashariki mwa Niger

    Magaidi 33 wa Boko Haram waangamizwa mashariki mwa Niger

    Mar 13, 2019 09:40

    Jeshi la Niger limetangaza kuwa, limewaangamiza wanachama 33 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni kabambe ya jeshi hilo kusini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Askari 7 wa Niger wauawa katika mapigano na Boko Haram

    Askari 7 wa Niger wauawa katika mapigano na Boko Haram

    Feb 17, 2019 04:39

    Wanajeshi saba wa Niger wameuawa baada ya kambi yao kushambuliwa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kusini mashariki mwa nchi karibu na mpaka wa Nigeria.

  • Wanajeshi 10 wauawa katika mpaka wa Niger na Nigeria

    Wanajeshi 10 wauawa katika mpaka wa Niger na Nigeria

    Jan 01, 2019 04:37

    Siku moja baada ya raia 10 kuuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia shambulio la kigaidi, askari kumi waliokuwa katika operesheni ya pamoja wameuawa na watu waliokuwa wamebeba silaha katika mpaka wa nchi hiyo na Niger.

  • Machafuko Niger yapelekea watu 52,000 kuwa wakimbizi

    Machafuko Niger yapelekea watu 52,000 kuwa wakimbizi

    Dec 14, 2018 03:13

    Machafuko katika maeneo ya mpaka wa Niger na nchi za Mali na Burkina Faso yamepelekea raia 52,000 wa Niger kuwa wakimbizi mwaka huu wa 2018.

  • Wasichana 18 watekwa nyara na watu waliojizatiti kwa silaha Niger

    Wasichana 18 watekwa nyara na watu waliojizatiti kwa silaha Niger

    Nov 25, 2018 04:40

    Wasichana wasiopungua 18 wameripotiwa kutekwa nyara na watu waliokuwa wamejizatiti kwa silaha kusini mashariki mwa Niger.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS