Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Watu 7 wauawa katika hujuma ya Boko Haram nchini Niger

    Watu 7 wauawa katika hujuma ya Boko Haram nchini Niger

    Nov 22, 2018 11:13

    Watu waliojizatiti kwa silaha wanaoaminika kuwa na mfungamano na genge la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wameshambulia kampuni ya kuchimba visima vya maji ya Ufaransa ya Foraco kusini mashariki mwa Niger na kuua watu wasiopungua saba.

  • Watu zaidi ya 20 wa kabila la Tuareg wauawa katika mpaka wa Mali na Niger

    Watu zaidi ya 20 wa kabila la Tuareg wauawa katika mpaka wa Mali na Niger

    Oct 01, 2018 10:36

    Raia zaidi ya 20 wa kabila la Tuareg nchini Mali wameuawa katika mpaka wa nchi hiyo na Niger, kufuatia mashambulio yaliyotekelezwa katika eneo moja kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Mripuko wa kipindupindu waua watu 67 nchini Niger

    Mripuko wa kipindupindu waua watu 67 nchini Niger

    Sep 27, 2018 12:16

    Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa, watu wasiopungua 67 wamepoteza maisha kutokana na mripuko wa kipindupindu nchini Niger tokea mwezi Julai mwaka huu hadi sasa.

  • Maelfu wakimbia makazi yao magharibi mwa Niger

    Maelfu wakimbia makazi yao magharibi mwa Niger

    Aug 17, 2018 03:20

    Ofisi ya kuratibu masuala ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa, zaidi ya watu elfu 17 wamekimbia makazi yao huko magharibi mwa Niger tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2018.

  • Kipindupindu chaua watu 22 nchini Niger

    Kipindupindu chaua watu 22 nchini Niger

    Aug 15, 2018 22:03

    Wizara ya Afya ya Niger imesema kuwa, watu wasiopungua 22 wamepoteza maisha kutokana na mripuko mpya wa kipindupindu nchini humo.

  • Wahajiri haramu zaidi ya 100 waokolewa katika eneo la mpaka wa pamoja wa Niger na Algeria

    Wahajiri haramu zaidi ya 100 waokolewa katika eneo la mpaka wa pamoja wa Niger na Algeria

    Aug 12, 2018 03:01

    Shirika la Kimataifa la Uhajiri limetangaza kuwa wahajiri zaidi ya 100 kutoka nchi za Afrika wameokolewa katika eneo la mpaka wa pamoja wa Niger na Algeria.

  • Watu 22 wapoteza maisha na maelfu wakosa makazi kutokana na mafuriko Niger

    Watu 22 wapoteza maisha na maelfu wakosa makazi kutokana na mafuriko Niger

    Aug 09, 2018 23:25

    Waziri mmoja wa Niger amesema kuwa, watu wasiopungua 22 wamefariki dunia na maelfu ya wengine wamepoteza makazi yao kutokana na mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Boko Haram yaua watu 18 na kuteka nyara 10 Chad

    Boko Haram yaua watu 18 na kuteka nyara 10 Chad

    Jul 22, 2018 09:23

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeshambulia kijiji kimoja kilichoko karibu na mpaka wa Chad na Niger, ambapo watu 18 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.

  • Boko Haram yaendeleza ukatili, yaua askari wengine 10 Niger

    Boko Haram yaendeleza ukatili, yaua askari wengine 10 Niger

    Jul 02, 2018 03:08

    Askari kumi wa Niger wameuawa katika hujuma mpya ya Boko Haram kusini mashariki mwa nchi, karibu na mpaka na Nigeria.

  • UNHCR: Misaada itolewe kwa ajili ya kuimarisha amani Libya, Mali na Niger

    UNHCR: Misaada itolewe kwa ajili ya kuimarisha amani Libya, Mali na Niger

    Jun 26, 2018 10:11

    Mkuu wa Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kutolewa misaada ya kifedha kwa ajili ya kuimarisha amani katika nchi za Mali, Niger na Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS