-
Watu 7 wauawa katika hujuma ya Boko Haram nchini Niger
Nov 22, 2018 11:13Watu waliojizatiti kwa silaha wanaoaminika kuwa na mfungamano na genge la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wameshambulia kampuni ya kuchimba visima vya maji ya Ufaransa ya Foraco kusini mashariki mwa Niger na kuua watu wasiopungua saba.
-
Watu zaidi ya 20 wa kabila la Tuareg wauawa katika mpaka wa Mali na Niger
Oct 01, 2018 10:36Raia zaidi ya 20 wa kabila la Tuareg nchini Mali wameuawa katika mpaka wa nchi hiyo na Niger, kufuatia mashambulio yaliyotekelezwa katika eneo moja kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Mripuko wa kipindupindu waua watu 67 nchini Niger
Sep 27, 2018 12:16Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa, watu wasiopungua 67 wamepoteza maisha kutokana na mripuko wa kipindupindu nchini Niger tokea mwezi Julai mwaka huu hadi sasa.
-
Maelfu wakimbia makazi yao magharibi mwa Niger
Aug 17, 2018 03:20Ofisi ya kuratibu masuala ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa, zaidi ya watu elfu 17 wamekimbia makazi yao huko magharibi mwa Niger tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2018.
-
Kipindupindu chaua watu 22 nchini Niger
Aug 15, 2018 22:03Wizara ya Afya ya Niger imesema kuwa, watu wasiopungua 22 wamepoteza maisha kutokana na mripuko mpya wa kipindupindu nchini humo.
-
Wahajiri haramu zaidi ya 100 waokolewa katika eneo la mpaka wa pamoja wa Niger na Algeria
Aug 12, 2018 03:01Shirika la Kimataifa la Uhajiri limetangaza kuwa wahajiri zaidi ya 100 kutoka nchi za Afrika wameokolewa katika eneo la mpaka wa pamoja wa Niger na Algeria.
-
Watu 22 wapoteza maisha na maelfu wakosa makazi kutokana na mafuriko Niger
Aug 09, 2018 23:25Waziri mmoja wa Niger amesema kuwa, watu wasiopungua 22 wamefariki dunia na maelfu ya wengine wamepoteza makazi yao kutokana na mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Boko Haram yaua watu 18 na kuteka nyara 10 Chad
Jul 22, 2018 09:23Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeshambulia kijiji kimoja kilichoko karibu na mpaka wa Chad na Niger, ambapo watu 18 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.
-
Boko Haram yaendeleza ukatili, yaua askari wengine 10 Niger
Jul 02, 2018 03:08Askari kumi wa Niger wameuawa katika hujuma mpya ya Boko Haram kusini mashariki mwa nchi, karibu na mpaka na Nigeria.
-
UNHCR: Misaada itolewe kwa ajili ya kuimarisha amani Libya, Mali na Niger
Jun 26, 2018 10:11Mkuu wa Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kutolewa misaada ya kifedha kwa ajili ya kuimarisha amani katika nchi za Mali, Niger na Libya.