Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Waziri: Wanajeshi 12 wa Niger wameuawa katika shambulizi

    Waziri: Wanajeshi 12 wa Niger wameuawa katika shambulizi

    Oct 22, 2017 04:06

    Waziri wa mambo ya Ndani wa Niger ametangaza habari ya kuuawa wanajeshi 12 wa nchi hiyo katika shambulio jipya lililotokea kwenye mpaka wa nchi hiyo na Mali, kaskazini magharibi mwa Niger.

  • Kupanuka wigo wa uwepo wa wanajeshi wa Marekani barani Afrika na athari zake

    Kupanuka wigo wa uwepo wa wanajeshi wa Marekani barani Afrika na athari zake

    Oct 21, 2017 10:13

    Kuuliwa wanajeshi wanne wa Marekani nchini Niger kumezidi kutoa mguso juu ya suala la kuhalalishwa kuongezwa idadi ya wanajeshi wa Marekani barani humo.

  • Komando wa nne wa Marekani auawa katika hujuma Niger

    Komando wa nne wa Marekani auawa katika hujuma Niger

    Oct 07, 2017 10:59

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imethibitisha kuuawa Komando wa nne wa jeshi la nchi hiyo katika hujuma ya kuvizia nchini Niger ambapo awali ilikuwa imetangazwa ni makomnando watatu waliouawa.

  • Makomando 3 Wamarekani wauawa nchini Niger

    Makomando 3 Wamarekani wauawa nchini Niger

    Oct 05, 2017 04:18

    Makomando watatu wa kikosi maalumu cha jeshi la Marekani wameuawa katika shambulizi la kuvizia nchini Niger wakiwa katika oparesheni ya kutoa mafunzo kwa jeshi la nchi hiyo.

  • Indhari ya serikali ya Niger kwa wafanyabiashara wanaoshirikiana na kundi la kigaidi la Boko Haram

    Indhari ya serikali ya Niger kwa wafanyabiashara wanaoshirikiana na kundi la kigaidi la Boko Haram

    Oct 01, 2017 10:55

    Kutokana na kuendelea mashambulio ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika eneo la magharibi mwa Afrika viongozi wa serikali ya Niger wametoa onyo kwa wafanyabiashara wanaoshirikiana kibiashara au kwa namna yoyote ile na kundi hilo.

  • Serikali ya Niger yawaonya wafanyabiashara wanaoshirikiana na Boko Haram

    Serikali ya Niger yawaonya wafanyabiashara wanaoshirikiana na Boko Haram

    Oct 01, 2017 00:26

    Viongozi wa Niger wamewaonya vikali wafanyabiashara ambao wanafanya biashara kwa siri na kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Mafuriko yameua watu 50 nchini Niger na kuacha maelfu bila makazi

    Mafuriko yameua watu 50 nchini Niger na kuacha maelfu bila makazi

    Sep 14, 2017 23:42

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kwa akali watu 50 wamefariki dunia nchini Niger kufuatia maafa ya mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Jeshi la Niger lashambulia maficho ya Boko Haram; magaidi 40 wauawa

    Jeshi la Niger lashambulia maficho ya Boko Haram; magaidi 40 wauawa

    Aug 24, 2017 09:16

    Jeshi la Niger limeshambulia moja ya maficho ya kundi la kigaidi la Boko Haram kusini mashariki mwa nchi hiyo katika fremu ya oparesheni ya kuwaangamiza magaidi katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo.

  • Niger yatoa mwito kwa jamii ya kimataifa kusaidia mapambano dhidi ya ugaidi

    Niger yatoa mwito kwa jamii ya kimataifa kusaidia mapambano dhidi ya ugaidi

    Aug 05, 2017 22:41

    Rais wa Niger ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa akitaka kuungwa mkono haraka iwezekanavyo mapambano dhidi ya ugaidi katika eneo la Sahel barani Afrika. Rais wa Niger ametoa ombi hilo katika maadhimisho ya mwaka 57 wa uhuru wa nchi hiyo.

  • Machafuko yaendelea katika mpaka wa Niger na Mali

    Machafuko yaendelea katika mpaka wa Niger na Mali

    Jul 22, 2017 12:05

    Machafuko na mapigano makali yameendelea kushuhudiwa katika eneo la mpaka wa Niger na Mali licha ya kutangazwa ripoti ya mafanikio makubwa ya Operesheni ya Barkhane katika eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS