-
Nchi za Kiislamu zatakiwa kushirikiana kimataifa
Jul 10, 2017 09:23Mwenyekiti wa Kundi la Urafiki la Mabunge ya Iran na Niger katika Bunge la Iran amesema kuna haja kwa nchi za Kiislamu kushirikiana katika uga wa kimataifa ili kuwa na taathira katika maamuzi muhimu kwa maslahi ya nchi za Kiislamu.
-
Boko Haram wafanya shambulizi jingine kusini mashariki mwa Niger
Jul 03, 2017 23:15Watu 9 wameuawa katika shambulio jipya lililofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram, kusini mashariki mwa Niger.
-
Niger yawaokoa wahajiri 92 waliotelekezwa kwenye jangwa la Sahara
Jun 14, 2017 11:03Mamlaka za Niger zimewaokoa wahajiri 92 kutoka Afrika Magharibi waliokuwa wametelekezwa na wafanya magendo ya binadamu kwenye jangwa la Sahara wakijaribu kuvuka mpaka na kuingia nchi jirani ya Libya.
-
Kiongozi wa upinzani Niger ahukumiwa kifungo jela
Jun 06, 2017 09:18Mahakama moja nchini Niger hii leo imetoa hukumu ya kifungo cha miezi mitatu jela dhidi ya kiongozi wa upinzani nchini humo, aliyekuwa akikabiliwa na mashitaka ya kuchochea mapinduzi dhidi ya serikali.
-
Askari sita wa Niger wauawa na magaidi katika mpaka wa nchi hiyo na Mali
Jun 01, 2017 23:31Viongozi wa Niger wametangaza kuwa askari sita wameuawa katika shambulizi la kigaidi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Mali.
-
Wahajiri 44 wafariki dunia kwa kiu kaskazini mwa Niger baada ya gari lao kuharibika
Jun 01, 2017 02:17Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limetangaza kuwa, wahajiri wapatao 44 ambao wengi wao ni kutoka nchi za magharibi mwa Afrika wamefariki dunia kwa kiu kaskazini mwa Niger baada ya lori walilokuwa wakisafiria kuharibika katikati ya jangwa.
-
Umoja wa Mataifa: Raia 1,300,000 nchini Niger hawana chakula
May 18, 2017 02:44Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, raia milioni moja na laki tatu katika nchi ya Niger iliyoko magharibi mwa Afrika wamakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula.
-
Rais wa Niger: Zichukuliwe hatua za kukabiliana na ukosefu wa usalama Afrika
May 10, 2017 09:51Rais Mahamadou Issoufou wa Niger ametoa wito wa kuchukuliwa hatua madhubuti kwa ajili ya kukabiliana na ukosefu wa usalama na wakati huo huo kuungwa mkono suala la haki za binadamu barani Afrika.
-
Mlipuko wa homa ya manjano kambini yaua watu 25 nchini Niger
Apr 28, 2017 03:19Mlipuko wa homa ya manjano (Hepatitis E) umesababisha vifo vya makumi ya watu nchini Niger.
-
Taasisi za kiraia Niger zatahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakimbizi
Apr 24, 2017 22:53Jumuiya ya Wasomaji Bingwa wa Qur'ani na taasisi nyingine kadhaa zisizo za serikali nchini Niger zimetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakimbizi walioko katika maeneo ya kusini mashariki mwa nchi hiyo.