Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • 17 wapoteza maisha wakigombania chakula cha msaada Nigeria

    17 wapoteza maisha wakigombania chakula cha msaada Nigeria

    Mar 25, 2024 11:22

    Kwa akali watu 17 wameaga dunia katika mkanyagano wa kugombania chakula cha msaada nchini Nigeria.

  • Zaidi ya wanafunzi 200 waliokuwa wametekwa nyara Nigeria wameachiwa huru

    Zaidi ya wanafunzi 200 waliokuwa wametekwa nyara Nigeria wameachiwa huru

    Mar 24, 2024 07:03

    Zaidi ya wanafunzi 200 pamoja na wafanyakazi waliokuwa wametekwa nyara na watu wenye silaha katika skuli moja kaskazini mwa Nigeria mapema mwezi huu wameachiliwa. Hayo ni kwa mujibu wa ofisi ya gavana wa jimbo la Kaduna lililoko kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Wahalifu wenye silaha wawateka nyara watu zaidi ya 100 huko Nigeria

    Wahalifu wenye silaha wawateka nyara watu zaidi ya 100 huko Nigeria

    Mar 19, 2024 11:49

    Wahalifu wenye silaha wamewateka nyara zaidi ya watu 100 katika mashambulizi mawili mapya kaskazini magharibi mwa Nigeria, ikiwa zimepita wiki kadhaa baada ya wanafunzi 250 wa shule kutekwa nyara nchini humo.

  • Rais wa Nigeria aliagiza jeshi liwasake walioua askari 16 Delta

    Rais wa Nigeria aliagiza jeshi liwasake walioua askari 16 Delta

    Mar 19, 2024 02:38

    Rais wa Nigeria Bola Ahmed Tinubu ameliamrisha jeshi la nchi hiyo kuwasaka na kuwafikisha katika vyombo vya dola wahusika wa mauaji ya wanajeshi 16 wa nchi hiyo katika jimbo la kusini la Delta.

  • Visa zaidi vya utekaji nyara vyahofiwa Nigeria

    Visa zaidi vya utekaji nyara vyahofiwa Nigeria

    Mar 12, 2024 02:15

    Serikali ya Shirikisho ya Nigeria imeorodhesha shule kadhaa katika majimbo 14 nchini humo kuwa ni maeneo yaliyoko hatarini kushambuliwa na majambazi na wahalifu wenye silaha.

  • Rais wa Nigeria alituma jeshi kwenda kuokoa wanafunzi zaidi ya 250 waliotekwa nyara

    Rais wa Nigeria alituma jeshi kwenda kuokoa wanafunzi zaidi ya 250 waliotekwa nyara

    Mar 09, 2024 07:42

    Rais Bola Ahmed Tinubu wa Nigeria ametuma wanajeshi kwenda kuwaokoa zaidi ya wanafunzi 250 waliotekwa nyara na watu wenye silaha kutoka shule moja kaskazini magharibi mwa nchi hiyo katika mojawapo ya matukio makubwa zaidi ya utekaji nyara kushuhudiwa katika kipindi cha miaka mitatu.

  • Nigeria yasema itaomba kujiunga na jumuiya ya kiuchumi ya BRICS

    Nigeria yasema itaomba kujiunga na jumuiya ya kiuchumi ya BRICS

    Mar 08, 2024 10:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria Yusuf Tuggar amesema nchi yake inajipanga kuomba uanachama katika jumuiya ya kiuchumi ya BRICS baada ya mipango muhimu ya uratibu wa ndani ya nchi hiyo kukamilika.

  • Wabeba silaha wavamia shule na kuteka nyara watoto 225 Nigeria

    Wabeba silaha wavamia shule na kuteka nyara watoto 225 Nigeria

    Mar 08, 2024 07:23

    Watu wenye silaha wameshambulia shule na kuwateka nyara watoto zaidi ya 200 huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Waziri wa Nigeria: Mauaji ya Wapalestina Gaza hayahalalishiki

    Waziri wa Nigeria: Mauaji ya Wapalestina Gaza hayahalalishiki

    Mar 06, 2024 11:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria amesema vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza haviwezi kuhalalalishika kwa njia yoyote ile.

  • Nigeria: Mwezi huu tutatoa ripoti kuhusu mashambulizi ya anga yaliyouwa raia

    Nigeria: Mwezi huu tutatoa ripoti kuhusu mashambulizi ya anga yaliyouwa raia

    Feb 21, 2024 11:27

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jeshi la Nigeria, Jenerali Christopher Musa, amesema kuwa ripoti kuhusu mashambulizi ya anga ya ndege zisizo na rubani (droni) yaliyouwa raia karibu 85 katika jimbo la Kaduna kaskazini mwa nchi Disemba mwaka jana zitatolewa mwishoni mwa mwezi huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS