Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Wabeba silaha waua wanakijiji 15 katika jimbo la Benue, Nigeria

    Wabeba silaha waua wanakijiji 15 katika jimbo la Benue, Nigeria

    Nov 01, 2024 06:09

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulizi la 'majambazi' waliojizatiti kwa silaha katika jimbo la Benue katikati mwa Nigeria.

  • Wahanga wa mlipuko wa lori la mafuta Nigeria wazikwa kwa umati

    Wahanga wa mlipuko wa lori la mafuta Nigeria wazikwa kwa umati

    Oct 17, 2024 04:28

    Maafisa wa serikali za mitaa kaskazini mwa Nigeria jana waliungana na mamia ya waombolezaji katika mazishi ya maziko ya umati ya zaidi ya wahanga 140 waliopoteza maisha katika mlipuko mkubwa wa lori la mafuta usiku wa kuamkia jana.

  • Watu 21 wafariki dunia baada ya boti kugongana nchini Nigeria

    Watu 21 wafariki dunia baada ya boti kugongana nchini Nigeria

    Oct 09, 2024 03:33

    Polisi ya Nigeria jana ilithibitisha kupoteza maisha takriban watu 21 baada ya boti mbili za abiria ambazo hazikuwa zimesajiliwa kupinduka. Boti hizo zilipinduka baada ya kugongana katika jimbo la Lagos nchini Nigeria.

  • Mwanaharakati Nigeria: Kimbunga cha al-Aqsa kilianika udhaifu wa Israel

    Mwanaharakati Nigeria: Kimbunga cha al-Aqsa kilianika udhaifu wa Israel

    Oct 07, 2024 02:47

    Mwanaharakati mashuhuri wa haki za binadamu nchini Nigeria amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ya Oktoba 7, 2023 iliyofanywa na wanamapambano wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ilifichua namna utawala haramu wa Israel ulivyo dhaifu sanjari na kuugutusha ulimwengu juu ya kadhia ya Palestina.

  • Nigeria kuandamana leo kupinga ongezeko la gharama za maisha

    Nigeria kuandamana leo kupinga ongezeko la gharama za maisha

    Sep 30, 2024 22:48

    Wananchi wa Nigeria leo Jumanne wamepanga kufanya maandamano mapya kulalamikia ongezeko la gharama za maisha. Maandamano hayo yaliyopewa jina la "Oktoba Mosi Bila Hofu" yamepangwa kwenda sambamba na kumbukumbu ya maadhimisho ya miaka 64 ya uhuru wa Nigeria.

  • Seneta wa Nigeria: Jinai za Israel Gaza, Lebanon zinaonyesha UN haina maana

    Seneta wa Nigeria: Jinai za Israel Gaza, Lebanon zinaonyesha UN haina maana

    Sep 26, 2024 23:35

    Mwanasiasa wa ngazi ya juu wa Nigeria amesema kuwa, mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza na huko Beirut, mji mkuu wa Lebanon yameonyesha kushindwa kwa dunia kushughulikia suala la Palestina, na pia imeonyesha namna Umoja wa Mataifa ulivyo butu kwa kushindwa kukomesha ukatili na unyama wa Israel.

  • Mafuriko makubwa yaziathiri Nigeria na Niger; mamia ya maelfu ya watu wahama makazi yao

    Mafuriko makubwa yaziathiri Nigeria na Niger; mamia ya maelfu ya watu wahama makazi yao

    Sep 24, 2024 22:55

    Mafuriko makubwa yamesababisha maafa katika nchi za kati na magharibi mwa Afrika, zikiwemo Nigeria na Niger na kuathiri mamia ya maelfu ya watu na kusababisha uharibifu mkubwa.

  • Wakulima 64 wafa maji katika ajali ya boti kaskazini ya Nigeria

    Wakulima 64 wafa maji katika ajali ya boti kaskazini ya Nigeria

    Sep 15, 2024 04:01

    Watu wasiopungua 64 wanahofiwa kufa maji katika ajali ya boti iliyotokea mtoni katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Makumi waaga dunia katika mripuko wa lori la mafuta nchini Nigeria

    Makumi waaga dunia katika mripuko wa lori la mafuta nchini Nigeria

    Sep 09, 2024 06:26

    Makumi ya watu wamepoteza maisha baada ya lori la kubeba mafuta kuripuka baada ya kugongana na gari jingine kaskazini mwa Nigeria.

  • Nigeria: BRICS inayahamasisha mataifa ya Afrika

    Nigeria: BRICS inayahamasisha mataifa ya Afrika

    Aug 29, 2024 23:09

    Balozi wa Manispaa ya Kimataifa ya BRICS (IMBRICS) nchini Nigeria amesema jumuiya ya kiuchumi ya BRICS imekuwa chanzo kikubwa cha motisha na hamasa kwa nchi nyingi za Afrika, kwa kuwa inazihimiza kupigania uhuru wao na kupinga ushawishi na ubeberu wa Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS