Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watu wasiopungua 22 wamefariki dunia baada ya jengo la shule kuporomoka Nigeria

    Watu wasiopungua 22 wamefariki dunia baada ya jengo la shule kuporomoka Nigeria

    Jul 13, 2024 11:43

    Watu wasiopungua 22 wakiwemo wanafunzi kadhaa wamethibitika kupoteza maisha baada ya jengo la shule ya ghorofa mbili kuporomoka katikati mwa Nigeria. Taarifa hii imebainishwa leo na maafisa husika wa Nigeria ambao wamesema zoezi la kuwatafuta watu wengine zaidi ya 100 waliosalia chini ya vifusi vya jengo hilo linaendelea.

  • Watu 18 wauawa katika mashambulizi ya kigaidi jimboni Borno, Nigeria

    Watu 18 wauawa katika mashambulizi ya kigaidi jimboni Borno, Nigeria

    Jun 30, 2024 11:25

    Kwa akali watu 18 wamepoteza maisha huku makumi ya wengine wakijeruhiwa kufuatia wimbi la mashambulizi ya kigaidi katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 2,245 ndani ya miezi 3

    Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 2,245 ndani ya miezi 3

    Jun 29, 2024 12:19

    Mkurugenzi wa shughuli za vyombo vya habari vya jeshi la Nigeria, Meja Jenerali Edward Buba amesema kuwa watu 1,993 waliokuwa wametekwa nyara wameokolewa baada ya wahalifu kupewa kikomboleo huku, silaha 2,783 za magaidi zikinaswa.

  • Watu 7 wauawa, 100 watekwa nyara kaskazini mwa Nigeria

    Watu 7 wauawa, 100 watekwa nyara kaskazini mwa Nigeria

    Jun 24, 2024 10:14

    Genge moja la wabeba silaha limevamia kijiji kimoja huko kaskazini magharibi mwa Nigeria na kuua watu wasiopungua saba, mbali na kuteka nyara makumi ya wengine.

  • Mripuko wa kipindupindu waua makumi ya watu nchini Nigeria

    Mripuko wa kipindupindu waua makumi ya watu nchini Nigeria

    Jun 21, 2024 02:45

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mripuko mpya wa ugonjwa wa kipindupindu katika jimbo la Lagos, kusini magharibi mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 21.

  • Genge laua watu 6 na kuteka nyara wengine 100 Nigeria

    Genge laua watu 6 na kuteka nyara wengine 100 Nigeria

    Jun 18, 2024 07:07

    Genge la wabeba silaha limevamia kijiji kimoja huko kaskazini magharibi mwa Nigeria na kuua watu sita, mbali na kuteka nyara wengine zaidi ya 100.

  • Kadhaa waaga dunia baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka Nigeria

    Kadhaa waaga dunia baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka Nigeria

    Jun 06, 2024 04:24

    Makumi ya watu wanahofiwa kufariki dunia baada ya kuporomokewa na udongo kwenye mgodi wa dhahabu uliotelekezwa katikati ya Nigeria.

  • Kiwanda cha Dangote chaanza kuuzia Ulaya mafuta ya ndege

    Kiwanda cha Dangote chaanza kuuzia Ulaya mafuta ya ndege

    Jun 02, 2024 06:37

    Kiwanda cha Kusafishia Mafuta cha Dangote cha Nigeria kimeanza kuziuzia nchi za Ulaya mafuta ya ndege.

  • Shambulio dhidi ya msikiti la sababu za kifamilia lajeruhi watu 24 wakiwemo watoto kaskazini ya Nigeria

    Shambulio dhidi ya msikiti la sababu za kifamilia lajeruhi watu 24 wakiwemo watoto kaskazini ya Nigeria

    May 16, 2024 06:23

    Polisi ya Nigeria imesema, watu wasiopungua 24 wakiwemo watoto wanne wamejeruhiwa katika jimbo la kaskazini la Kano baada ya mwanamume mmoja kushambulia msikiti waliokuwamo ndani yake watu hao waliokuwa wakisali na kusababisha mripuko.

  • Tahadhari kuhusu uwepo wa wanajeshi wa Marekani na Ufaransa nchini Nigeria

    Tahadhari kuhusu uwepo wa wanajeshi wa Marekani na Ufaransa nchini Nigeria

    May 12, 2024 02:35

    Msemaji wa kundi la viongozi wa kaskazini mwa Nigeria amemuonya rais wa nchi hiyo kuhusu madhara hatari ya kuwepo kwa wanajeshi wa Marekani na Ufaransa nchini Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS