Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Amnesty: Watoto wanaoshukiwa kuwa Boko Haram wanakufia kizuizini Nigeria

    Amnesty: Watoto wanaoshukiwa kuwa Boko Haram wanakufia kizuizini Nigeria

    May 11, 2016 02:27

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema makumi ya watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la Boko Haram wakiwemo watoto wadogo wameaga dunia wakiwa kizuizini katika korokoro ya kijeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria mwaka huu pekee.

  • Uzalishaji mafuta Nigeria washuka kutokana machafuko  Niger Delta

    Uzalishaji mafuta Nigeria washuka kutokana machafuko Niger Delta

    May 10, 2016 10:32

    Uzalishaji mafuta ghafi ya petroli Nigeria unatarajiwa kufika kiwango cha chini zaidi katika kipindi cha miaka 22 iliyopita kutokana na hujuma za waasi katika eneo lenye utajiri wa mafuta la Niger Delta.

  • Serikali iliyoondoka madarakani ya Nigeria yatuhumiwa kuhusika na wizi wa fedha za umma

    Serikali iliyoondoka madarakani ya Nigeria yatuhumiwa kuhusika na wizi wa fedha za umma

    May 05, 2016 03:32

    Yemi Osinbajo, Makamu wa Rais wa Nigeria ameituhumu serikali iliyoondoka madarakani ya Goodluck Jonathan kuwa iliiba mabilioni ya fedha za umma.

  • Makamu wa Rais Nigeria: Serikali iliyopita ya Rais Jonathan iliiba dola bilioni 15

    Makamu wa Rais Nigeria: Serikali iliyopita ya Rais Jonathan iliiba dola bilioni 15

    May 04, 2016 09:59

    Makamu wa Rais wa Nigeria amesema takriban dola bilioni 15 za Marekani ziliibwa katika biashara haramu za silaha chini ya serikali iliyopita ya Rais Goodluck Jonathan.

  • Jeshi la Nigeria laanzisha operesheni kabambe dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram katika msitu wa Sambisa

    Jeshi la Nigeria laanzisha operesheni kabambe dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram katika msitu wa Sambisa

    May 02, 2016 03:24

    Jeshi la Nigeria limeanzisha operesheni kubwa dhidi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika msitu wa Sambisa.

  • Nchi zinazoshiriki katika operesheni ya kijeshi dhidi ya kundi la Boko Haram zatakiwa kutekeleza ahadi zao

    Nchi zinazoshiriki katika operesheni ya kijeshi dhidi ya kundi la Boko Haram zatakiwa kutekeleza ahadi zao

    Apr 27, 2016 09:53

    Mkuu wa vikosi vya Kiafrika vya kupambana na kundi la kigaidi la Boko Haram amezitaka nchi zinazoshiriki katika operesheni ya kijeshi dhidi ya wanamgambo hao kufungamana na ahadi zao.

  • Jeshi la Nigeria lawaua wapiganaji 10 wa kundi la Boko Haram  katika jimbo la Borno

    Jeshi la Nigeria lawaua wapiganaji 10 wa kundi la Boko Haram katika jimbo la Borno

    Apr 25, 2016 02:33

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, limewauwa wanachama wasiopungua 10 wa kundi la kigaidi la Boko Haram mashariki mwa jimbo la Borno lililoko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Wanachama 10 wa Boko Haram wauawa Nigeria

    Wanachama 10 wa Boko Haram wauawa Nigeria

    Apr 23, 2016 03:40

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limeua wanachama 10 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni iliyofanyika kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wasichana waliotekwa na Boko Haram, kisingizio cha propaganda za Marekani

    Wasichana waliotekwa na Boko Haram, kisingizio cha propaganda za Marekani

    Apr 22, 2016 23:49

    Mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kufuatiliwa hatima ya wasichana waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram nchini Nigeria.

  • Jeshi la Nigeria liliwazika Waislamu kwa umati wakiwa hai

    Jeshi la Nigeria liliwazika Waislamu kwa umati wakiwa hai

    Apr 22, 2016 11:00

    Jeshi la Nigeria liliwaua mamia ya Waislamu nchini Nigeria na kuwazika katika kaburi la umati wakiwemo baadhi waliokuwa hai mwezi Desemba mwaka jana, imefichua Amnesty International.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS