Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Ugonjwa wa dondakoo wauwa watu 600 Nigeria, wengi wakiwa ni watoto

    Ugonjwa wa dondakoo wauwa watu 600 Nigeria, wengi wakiwa ni watoto

    Oct 13, 2023 02:37

    Nigeria imekumbwa na mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa (Dondakoo) yaani Diphtheria ambao umepelekea vifo vya zaidi ya watu 600, haswa watoto, tangu mwezi Desemba mwaka 2022.

  • Mripuko kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta Nigeria waua 37

    Mripuko kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta Nigeria waua 37

    Oct 03, 2023 12:36

    Watu wasiopungua 37 wamefariki dunia katika mripuko uliotokea katika kiwanda kimoja cha kusafishia mafuta kilichokuwa kinafanya kazi kinyume cha sheria huko kusini mwa Nigeria.

  • Bazoum

    Bazoum "akimbilia" mahakama ya ECOWAS, ataka aachiwe huru

    Sep 21, 2023 07:35

    Rais aliyepinduliwa wa Niger, Mohamed Bazoum, amewasilisha kesi mbele ya Mahakama ya Haki ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi (ECOWAS) akitaka aachiliwe huru.

  • Waislamu Nigeria waadhimisha Arubaini ya Imam Hussein AS

    Waislamu Nigeria waadhimisha Arubaini ya Imam Hussein AS

    Sep 06, 2023 10:37

    Waislamu ya madhehebu ya Shia nchini Nigeria wamefanya marasimu, matembezi na vikao vya kuadhimisha Arubaini ya Imam Hussein (AS).

  • Rais Tinubu awarejesha nyumbani mabalozi wote wa Nigeria

    Rais Tinubu awarejesha nyumbani mabalozi wote wa Nigeria

    Sep 03, 2023 07:23

    Rais wa Nigeria, Bola Ahmed Tinubu amewaagiza mabalozi wote wa nchi hiyo ya Afrika Magharibi katika kona zote za dunia kurejea nyumbani.

  • Shambulizi la kigaidi msikitini laua Waislamu 7 Nigeria

    Shambulizi la kigaidi msikitini laua Waislamu 7 Nigeria

    Sep 03, 2023 03:27

    Genge moja la kigaidi limeshambulia Msikiti mmoja wa jimbo la Kaduna la kaskazini magharibi mwa Nigeria na kuua Waislamu wasiopungua saba.

  • Nigeria yaahidi kupunguza vikwazo vya ECOWAS dhidi ya Niger

    Nigeria yaahidi kupunguza vikwazo vya ECOWAS dhidi ya Niger

    Aug 30, 2023 13:24

    Msemaji wa ofisi ya rais wa Nigeria amesema nchi hiyo pamoja na Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi, ECOWAS zitapunguza baadhi ya vikwazo zilivyoiwekea Niger.

  • Kiongozi wa mapinduzi Niger: Niko tayari kumwachia huru Bazoum

    Kiongozi wa mapinduzi Niger: Niko tayari kumwachia huru Bazoum

    Aug 25, 2023 03:08

    Kiongozi wa mapinduzi nchini Niger, Jenerali Abdourahamane Tiani, amekutana na ujumbe wa wanazuoni wa Kiislamu wa Nigeria, huku mashinikizo za kikanda na kimataifa yakiongezeka dhidi ya utawala wa kijeshi wa Niamey kwa shabaha ya kurejesha utawala wa kikatiba.

  • Zakzaky: US, Ufaransa zinataka kuibua uhasama baina ya Nigeria na Niger

    Zakzaky: US, Ufaransa zinataka kuibua uhasama baina ya Nigeria na Niger

    Aug 19, 2023 10:30

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) ametahadharisha juu ya njama na majungu yanayopikwa na Marekani na Ufaransa ya kupanda mbegu za chuki, uhasama na mifarakano baina ya Nigeria na jirani yake Niger.

  • Maelfu ya Wanigeria waandamana kupinga mashambulizi ya ECOWAS dhidi ya Niger

    Maelfu ya Wanigeria waandamana kupinga mashambulizi ya ECOWAS dhidi ya Niger

    Aug 13, 2023 08:21

    Maelfu ya watu nchini Nigeria wamefanya maandamano wakipinga uwezekano wa mashambulizi ya kijeshi ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Kanda ya Afrika Magharibi, (ECOWAS) nchini Niger.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS