-
Shajareh: Kuachiwa huru Zakzaky ni kielelezo cha kufeli kampeni ya ukandamizaji ya serikali ya Nigeria
Jul 29, 2021 06:34Mwanaharakati mashuhuri wa haki za binadamu wa Kiislamu amesema kufutiwa tuhuma zote kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe baada ya mashaka makubwa ya miaka sita, ni kielelezo cha kufeli sera za Abuja za kuwanyanyasa na kuwakandamiza wanaharakati hao.
-
Hukumu ya kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky na mkewe; ushindi kwa mrengo wa subira na mapambano
Jul 29, 2021 05:38Mahakama Kuu ya Jimbo la Kaduna nchini Nigeria Jumatano ilifutilia mbali tuhuma zote alizobambikiziwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na mkewe, na kutoa amri ya kuachiliwa kwao mara moja.
-
Mripuko wa kipindupindu waua watu 479 nchini Nigeria
Jul 28, 2021 06:46Mamia ya watu wameripotiwa kuaga dunia kutokana na mripuko wa maradhi ya kipindupindu nchini Nigeria.
-
Waislamu wa Nigeria waadhimisha kumbukizi ya mauaji ya Siku ya Quds
Jul 26, 2021 07:58Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) wameadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya makumi ya wanachama wenzao waliouawa na wanajeshi wa Nigeria mwaka 2014, wakati wa maandamano ya kulaani ukatili wanaofanyiwa Wapalestina na utawala wa Kizayuni wa Israel, wakati wa Siku ya Kimataifa ya Quds.
-
Hujuma dhidi ya Harakati ya Kiislamu Nigeria zimewafanya mayatima watoto 1,800
Jul 25, 2021 06:56Jukwaa la Akademia la Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) limesema hatua ya vyombo vya usalama vya nchi hiyo kuhujumu na kushambulia shughuli za kidini za harakati hiyo imepelekea watoto karibu elfu mbili kuwa mayatima.
-
Wanakijiji 100 waliokuwa wametekwa nyara Nigeria waachiliwa huru
Jul 21, 2021 03:22Polisi ya Nigeria imesema, wanakijiji 100 wa eneo la kaskazini magharibi mwa nchi hiyo waliokuwa wametekwa nyara na magenge ya wabeba silaha wameachiwa huru baada ya mazungumzo iliyofanya na watekaji nyara hao waliokuwa wakiwashikilia watu hao kwa siku 42.
-
Rais Rouhani ataka kuimarishwa ushirikiano na Nigeria katika nyanja za kimataifa
Jul 20, 2021 03:40Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuimarishwa zaidi ushirikiano wa Tehran na Abuja.
-
Watu 45 wauawa na magaidi wenye silaha katika mji wa Faru, Nigeria
Jul 10, 2021 03:08Kundi la wanamgambo wenye silaha limeshambulia mji wa Faru wa kaskazini magharibi mwa Nigeria na kuua kwa akali watu 45 na kuwajeruhi makumi ya wengine.
-
Nigeria: Watu wenye silaha wameteka nyara wanafunzi 140 katika jimbo la Kaduna
Jul 05, 2021 22:04Kundi moja la wanamgambo wenye silaha limewateka nyara wanafunzi 140 katika shambulio lililofanya katika shule moja ya sekondari katika jimbo la Kaduna, huko kaskazini magharibi mwa Nigeria usiku wa kuamkia Jumapili iliyopita.
-
Makumi wa wanachama wa Boko Harama waangamizwa na jeshi la Nigeria
Jul 03, 2021 08:09Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuangamiza makumi ya magaidi wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.