Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Shajareh: Kuachiwa huru Zakzaky ni kielelezo cha kufeli kampeni ya ukandamizaji ya serikali ya Nigeria

    Shajareh: Kuachiwa huru Zakzaky ni kielelezo cha kufeli kampeni ya ukandamizaji ya serikali ya Nigeria

    Jul 29, 2021 06:34

    Mwanaharakati mashuhuri wa haki za binadamu wa Kiislamu amesema kufutiwa tuhuma zote kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe baada ya mashaka makubwa ya miaka sita, ni kielelezo cha kufeli sera za Abuja za kuwanyanyasa na kuwakandamiza wanaharakati hao.

  • Hukumu ya kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky na mkewe; ushindi kwa mrengo wa subira na mapambano

    Hukumu ya kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky na mkewe; ushindi kwa mrengo wa subira na mapambano

    Jul 29, 2021 05:38

    Mahakama Kuu ya Jimbo la Kaduna nchini Nigeria Jumatano ilifutilia mbali tuhuma zote alizobambikiziwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na mkewe, na kutoa amri ya kuachiliwa kwao mara moja.

  • Mripuko wa kipindupindu waua watu 479 nchini Nigeria

    Mripuko wa kipindupindu waua watu 479 nchini Nigeria

    Jul 28, 2021 06:46

    Mamia ya watu wameripotiwa kuaga dunia kutokana na mripuko wa maradhi ya kipindupindu nchini Nigeria.

  • Waislamu wa Nigeria waadhimisha kumbukizi ya mauaji ya Siku ya Quds

    Waislamu wa Nigeria waadhimisha kumbukizi ya mauaji ya Siku ya Quds

    Jul 26, 2021 07:58

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) wameadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya makumi ya wanachama wenzao waliouawa na wanajeshi wa Nigeria mwaka 2014, wakati wa maandamano ya kulaani ukatili wanaofanyiwa Wapalestina na utawala wa Kizayuni wa Israel, wakati wa Siku ya Kimataifa ya Quds.

  • Hujuma dhidi ya Harakati ya Kiislamu Nigeria zimewafanya mayatima watoto 1,800

    Hujuma dhidi ya Harakati ya Kiislamu Nigeria zimewafanya mayatima watoto 1,800

    Jul 25, 2021 06:56

    Jukwaa la Akademia la Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) limesema hatua ya vyombo vya usalama vya nchi hiyo kuhujumu na kushambulia shughuli za kidini za harakati hiyo imepelekea watoto karibu elfu mbili kuwa mayatima.

  • Wanakijiji 100 waliokuwa wametekwa nyara Nigeria waachiliwa huru

    Wanakijiji 100 waliokuwa wametekwa nyara Nigeria waachiliwa huru

    Jul 21, 2021 03:22

    Polisi ya Nigeria imesema, wanakijiji 100 wa eneo la kaskazini magharibi mwa nchi hiyo waliokuwa wametekwa nyara na magenge ya wabeba silaha wameachiwa huru baada ya mazungumzo iliyofanya na watekaji nyara hao waliokuwa wakiwashikilia watu hao kwa siku 42.

  • Rais Rouhani ataka kuimarishwa ushirikiano na Nigeria katika nyanja za kimataifa

    Rais Rouhani ataka kuimarishwa ushirikiano na Nigeria katika nyanja za kimataifa

    Jul 20, 2021 03:40

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuimarishwa zaidi ushirikiano wa Tehran na Abuja.

  • Watu 45 wauawa na magaidi wenye silaha katika mji wa Faru, Nigeria

    Watu 45 wauawa na magaidi wenye silaha katika mji wa Faru, Nigeria

    Jul 10, 2021 03:08

    Kundi la wanamgambo wenye silaha limeshambulia mji wa Faru wa kaskazini magharibi mwa Nigeria na kuua kwa akali watu 45 na kuwajeruhi makumi ya wengine.

  • Nigeria: Watu wenye silaha wameteka nyara wanafunzi 140 katika jimbo la Kaduna

    Nigeria: Watu wenye silaha wameteka nyara wanafunzi 140 katika jimbo la Kaduna

    Jul 05, 2021 22:04

    Kundi moja la wanamgambo wenye silaha limewateka nyara wanafunzi 140 katika shambulio lililofanya katika shule moja ya sekondari katika jimbo la Kaduna, huko kaskazini magharibi mwa Nigeria usiku wa kuamkia Jumapili iliyopita.

  • Makumi wa wanachama wa Boko Harama waangamizwa na jeshi la Nigeria

    Makumi wa wanachama wa Boko Harama waangamizwa na jeshi la Nigeria

    Jul 03, 2021 08:09

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuangamiza makumi ya magaidi wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS