-
Nigeria yatishia kuwapiga marufuhu raia wa nchi zinazowazuia Wanigeria kuingia
Aug 22, 2020 03:12Serikali ya Nigeria imetishia kuwapiga marufuku kuingia nchini humo raia wa nchi ambazo zinawazuia Wanigeria kuingia katika nchi hizo kutokana na janga la corona. Hayo yalisemwa jana na Waziri wa usafiri wa anga wa Nigeria, Hadi Sirika.
-
Genge la kigadi la ISWAP lashikilia mateka mamia ya watu kaskazini mwa Nigeria
Aug 20, 2020 02:31Magaidi wa genge linalojiita Dola la Kiislamu la Mkoa wa Afrika Magharibi (The Islamic State West Africa Province) kwa kifupi ISWAP wanawashikilia mateka mamia ya raia wa mji wa Kukawa ulioko katika jimbo Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Wafuasi wa Sheikh Zakzaky waandamana Abuja wakitaka kuachiliwa huru kiongozi wao
Aug 13, 2020 03:41Wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana katika mji mkuu Abuja wakilalamikia kuendelea kushikiliwa kizuizini kiongozi wao pamoja na mkewe.
-
Mafuriko yaua makumi ya watu na wengine wapoteza makazi Abuja, Nigeria
Aug 02, 2020 06:29Mafuriko makubwa yaliyotokea katika kitongoji kimoja cha mji mkuu wa Nigeria, Abuja na mji mwingine wa nchi hiyo, yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 30.
-
UN: Raia milioni 1.8 waliopoteza makazi yao Nigeria wanahitaji ulinzi
Jul 30, 2020 06:13Umoja wa Mataifa umebainisha wasi wasi wake kuhusu usalama wa watu milioni 1.8 waliopoteza makazi yao nchini Nigeria huku ukosefu wa usalama ukiongezeka kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Wanajeshi 23 wa Nigeria wauawa katika hujuma kaskazini mwa nchi
Jul 20, 2020 03:38Magenge ya wabeba silaha wameua wanajeshi wasiopungua 23 nchini Nigeria katika kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Askari 10 wa Nigeria wauawa katika mashambulizi ya kigaidi
Jul 14, 2020 03:29Duru za kiusalama nchini Nigeria zimetangaza habari ya kuuawa wanajeshi kumi wa nchi hiyo katika mashambulizi mawili tofauti ya kigaidi kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Wanajeshi 35 wa Nigeria wauawa katika shambulio la kundi la Boko Haram
Jul 10, 2020 07:17Maafisa usalama nchini Nigeria wametangaza kuwa, idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo waliouawa kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram katika mji wa Maiduguri wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo imeongezeka na kufikia 35.
-
Wanajeshi 23 wa Nigeria wauawa katika shambulio la Boko Haram
Jul 09, 2020 03:09Maafisa usalama nchini Nigeria wametangaza kuwa, wanajeshi 23 wa nchi hiyo wameuawa kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram katika mji wa Maiduguri wa kaskazini madhariki mwa nchi hiyo.
-
Wafuasi wa Sheikh Zakzaky waandamana tena wakitaka kuachiwa huru kiongozi wao
Jul 08, 2020 03:45Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja wakitangaza uungaji mkono wao kwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa harakati hiyo ambaye anaendelea kushikiliwa kizuizini licha ya hali yake mbaya ya afya.