-
Jeshi la Nigeria liliua wanachama 75 wa Boko Haram mwezi Juni
Jul 05, 2020 22:59Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuuawa wanachama 75 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni 17 zilizofanyika baina ya Juni Mosi na Juni 30 mwaka huu.
-
Makumi ya wapiganaji wa Boko Haram wauliwa katika shambulizi la jeshi, Nigeria
Jun 27, 2020 22:07Makumi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameuawa katika shambulizi lililofanywa na jeshi la taifa la Nigeria dhidi ya ngome za kundi hilo huko kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Jeshi la Nigeria lashambulia ngome muhimu ya Boko Haram, laua kadhaa
Jun 20, 2020 02:56Kituo cha Kamandi ya kuendeshea operesheni za kundi la kigaidi la Boko Haram kimeharibiwa na kusambaratishwa kikamilifu katika mashambulizi kadhaa ya anga yaliyofanywa na jeshi la Nigeria, huko kaskazini mwa nchi.
-
Watu 10 wauawa katika shambulizi la silaha nchini Nigeria
Jun 16, 2020 03:42Kwa akali watu 10 wamepoteza maisha baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia vijiji katika jimbo la Benue, kaskazini mwa Nigeria.
-
Raia 40, wanajeshi 20 wauawa katika hujuma nchini Nigeria
Jun 14, 2020 02:34Raia zaidi ya 40 na wanajeshi wasiopungua 20 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Watu 69 wauawa na wanagambo wa Boko Haram Nigeria
Jun 10, 2020 03:31Watu 69 wameauwa katika shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Nigeria yalegeza sheria za kudhibiti corona, yafungua misikiti
Jun 06, 2020 03:32Nigeria imeanza kuondoa zuio na kulegeza sheria kali ilizokuwa imeweka kwa ajili ya kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Covid-19 ulioua mamia ya watu nchi humo.
-
Maandamano ya kulaani ukatili wa polisi ya Marekani yafanyika Kenya, Nigeria
Jun 02, 2020 23:26Miji mikuu ya Kenya na Nigeria jana ilishuhudia maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na mauaji ya George Floyd, raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika aliyeuliwa kikatili na polisi mmoja mzungu katika mji wa Minneapolis, katika jimbo la Minnesota nchini Marekani wiki iliyopita.
-
Genge la wabeba silaha laua 18 Nigeria, laiba maelfu ya mifugo
Jun 01, 2020 05:52Genge la watu waliojizatiti kwa silaha limeshambulia kijiji kimoja huko kaskazini magharibi mwa Nigeria na kuua watu 18 mbali na kuiba maelfu ya mifugo ya wakazi wa kijiji hicho.
-
Watu 241 waliotekwa nyara na Boko Haram Nigeria wanusuriwa
May 29, 2020 23:12Jeshi la Nigeria limewaokoa watu 241 waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram.