-
Washambuliaji wapanda-pikipiki wenye silaha waua watu 60 kaskazini mwa Nigeria
May 29, 2020 06:49Watu 60 Wameuawa na wengine wengi wamejeruhiwa katika shambulizi lililofanywa na kundi la wapanda pikipiki wenye silaha kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Jeshi la Nigeria laangamiza makumi ya magaidi kaskazini mwa nchi
May 24, 2020 06:50Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Nigeria amesema wanajeshi wa nchi hiyo wamefanikiwa kuua wanachama 135 wa magenge ya kigaidi katika majimbo ya Zamfara na Katsina kaskazini magharibi mwa nchi.
-
Naibu wa Sheikh Zakzaky: Kadhia ya Palestina ni ya kidini, kiutu na kiakhlaqi kwa bara Afrika
May 18, 2020 22:55Naibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kadhia ya Palestina si tu suala la kidini, bali pia ni suala la kiutu na kiakhlaqi kwa mataifa ya Afrika.
-
Jeshi la Nigeria lawakomboa raia 72 waliokuwa wakishikiliwa mateka na Boko Haram
May 14, 2020 06:38Jeshi la Nigeria limefanikiwa kuwakomboa raia 72 waliokuwa wakishikiliwa mateka na kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno.
-
Wanamgambo 89 wauawa Nigeria, mateka 5 wanusuriwa
Apr 26, 2020 03:29Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza makumi ya wanamgambo katika operesheni iliyofanyika katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Nigeria: Watu 47 wauawa na 'majambazi' katika jimbo la Katsina
Apr 20, 2020 07:19Vyombo vya usalama nchini Nigeria vimetangaza kuwa, kwa akali watu 47 wameuawa katika shambulio la majambazi wenye silaha dhidi ya vijiji kadhaa katika jimbo la Katsina, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
18 wauawa na askari wanaotekeleza sheria za kudhibiti Corona Nigeria
Apr 16, 2020 23:57Kwa akali watu 18 wameuawa na maafisa usalama nchini Nigeria, waliokuwa katika operesheni za kuteleza sheria za kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Nigeria yatakiwa kumwachia huru Sheikh Zakzaky wakati huu wa corona
Apr 11, 2020 06:45Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) imetoa mwito wa kuachiwa huru kiongozi wake, Sheikh Ibrahim Zakzaky anayekabiliwa na hatari ya kuambukizwa virusi vya corona akiwa kizuzini.
-
Watu 29 wauawa katika shambulio la kigaidi nchini Nigeria
Apr 04, 2020 03:19Kwa akali watu 29 wameuawa katika shambulio la kigaidi nchini Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa.
-
Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa nchini Nigeria
Mar 28, 2020 07:40Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa kwa akali wanachama 100 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameangamizwa katika operesheni dhidi ya ugaidi iliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo.