-
Waislamu Nigeria waandamana kwa amani, polisi wawakandamiza
Apr 18, 2017 03:41Vikosi vya usalama vya Nigeria kwa mara nyingine tena vimekandamiza maandamano ya amani ya Waislamu wa nchi hiyo.
-
Watoto nusu milioni waakabiliwa na lishe duni kaskazini mashariki mwa Nigeria
Apr 15, 2017 22:21Watoto takribani nusu milioni wanakabiliwa na lishe dunia kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Rais wa Nigeria: Tunaendelea na mazungumzo ili kuwakomboa wasichana wa Chibok
Apr 13, 2017 12:03Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema, serikali yake inaendelea na mazungumzo ili kufanikisha kuachiliwa huru idadi iliyosalia ya wasichana wa shule ya eneo la Chibok waliotekwa nyara na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.
-
Wakristo waungana na Waislamu Nigeria kushinikiza kuachiwa huru Zakzaky
Apr 12, 2017 02:55Kwa mara nyingine tena Waislamu nchini Nigeria wamefanya maandamano ya amani katika mji mkuu wa nchi hiyo, Abuja kushinikiza kuachiwa huru mwanazuoni wa Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Askari wasiopungua watano wauawa Nigeria katika mapigano na wanamgambo
Apr 10, 2017 10:16Askari kadhaa wa jeshi na polisi wameuawa katika mapigano yaliyotokea baina ya vikosi hivyo vya usalama na wanamgambo wanaobeba silaha kusini magharibi mwa Nigeria.
-
Homa ya uti wa mgongo yauwa watu karibu 440 Nigeria
Apr 09, 2017 02:37Idadi ya watu walioaga dunia kwa kushukiwa kuugua homa ya uti wa mgongo imefikia 438, huku maafisa wa nchi hiyo wakianzisha kampeni ya kutoa chanjo ili kudhibiti mlipuko wa homa hiyo.
-
Magaidi wa Boko Haram washadidisha mashambulio nchini Nigeria
Apr 08, 2017 11:18Watu kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulio mawili yaliyofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Waislamu Nigeria wafufua maandamano ya kushinikiza kuachiwa huru Sheikh Zakzaky
Apr 07, 2017 03:06Kwa mara nyingine tena Waislamu nchini Nigeria wamefanya maandamano ya amani katika mji mkuu wa nchi hiyo, kushinikiza kuachiwa huru mwanazuoni wa Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Watoto 336 wameaga dunia Nigeria kutokana na "Meningitis"
Apr 05, 2017 03:08Mamia ya watoto wamepoteza maisha kutokana na homa ya uti wa mgongo nchini Nigeria, huku duru za kiafya zikiarifu kuwa yumkini ugonjwa huo ukasambaa na kuenea katika nchi jirani ya Niger.
-
Mripuko wa "Meningitis" waua watu 269 nchini Nigeria
Mar 29, 2017 09:23Mripuko wa homa ya uti wa mgongo umeua mamia ya watu nchini Nigeria.