Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Polisi ya India yawatia mbaroni watu waliowashambulia wanafunzi wa Nigeria wanaosoma nchini humo

    Polisi ya India yawatia mbaroni watu waliowashambulia wanafunzi wa Nigeria wanaosoma nchini humo

    Mar 29, 2017 03:14

    Polisi ya India imetangaza kuwatia mbaroni watu sita waliowashambulia wanafunzi raia wa Nigeria wanaosoma nchini humo.

  • Askofu Mkuu Nigeria: Mitazamo ya kundi la Boko Haram haina uhusiano na Uislamu

    Askofu Mkuu Nigeria: Mitazamo ya kundi la Boko Haram haina uhusiano na Uislamu

    Mar 25, 2017 12:03

    Askofu Mkuu nchini Nigeria amesisitiza udharura wa kufanyika mazungumzo kati ya wafuasi wa dini za mbinguni na kusema kuwa, ni muhimu sana kuzitofautisha na dini ya Uislamu fikra za kigaidi kama zile za kundi la Boko Haram.

  • Wimbi la mashambulizi ya kigaidi laua na kujeruhi 28 Maiduguri, Nigeria

    Wimbi la mashambulizi ya kigaidi laua na kujeruhi 28 Maiduguri, Nigeria

    Mar 22, 2017 11:36

    Kwa akali watu wanane wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika wimbi la hujuma za kigaidi lililoutikisa mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa Nigeria mapema leo.

  • Miripuko mitatu yaua watu kadhaa karibu na mji wa Maiduguri, Nigeria

    Miripuko mitatu yaua watu kadhaa karibu na mji wa Maiduguri, Nigeria

    Mar 19, 2017 13:00

    Hali ya taharuki imeukumba mji wa Maiduguri, kufuatia miripuko mitatu ya kigaidi iliyotokea karibu na mji huo na kuua watu kadhaa na wengne kujeruhiwa.

  • Magaidi wawili wanawake wauawa kaskazini mwa Nigeria

    Magaidi wawili wanawake wauawa kaskazini mwa Nigeria

    Mar 12, 2017 14:57

    Magaidi wawili wanawake wanaoaminika ni wanachama wa kundi la wakufurishaji la Boko Haram wameuawa katika mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Baada ya livu ndefu ya matibabu UK, Rais wa Nigeria kurejea nchini leo

    Baada ya livu ndefu ya matibabu UK, Rais wa Nigeria kurejea nchini leo

    Mar 10, 2017 00:37

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria anatazamiwa kurejea nchini humo leo baada ya mapumziko yake ya matibabu nchini Uingereza yaliyoongezewa muda.

  • Nigeria yawataka raia wake kutosafiri nchini Marekani

    Nigeria yawataka raia wake kutosafiri nchini Marekani

    Mar 07, 2017 03:51

    Serikali ya Nigeria imewataka raia wake kujiepusha kusafiri Marekani katika kipindi hiki hadi pale Washington itakapoweka wazi na kutoa ufafanuzi kuhusu sera zake za kigeni.

  • Wakimbizi waandamana nchini Nigeria kulalamikia mazingira magumu

    Wakimbizi waandamana nchini Nigeria kulalamikia mazingira magumu

    Mar 06, 2017 10:26

    Wanawake wakimbizi wa Nigeria wamefanya maandamano wakati wawakilishi wa baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa walipokuwa wanatembelea kambi yao ya wakimbizi.

  • Watu kadhaa wauawa katika miripuko Maiduguri, Nigeria

    Watu kadhaa wauawa katika miripuko Maiduguri, Nigeria

    Mar 04, 2017 04:12

    Polisi nchini Nigeria imesema watu kadhaa waliuawa katika wimbi la mashambulizi ya mabomu katika mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo jana Ijumaa.

  • Ripoti: Maelfu ya raia wamekuwa wakimbizi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Ripoti: Maelfu ya raia wamekuwa wakimbizi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Mar 02, 2017 04:19

    Maelfu ya raia katika vijiji vya kaskazini mashariki mwa Nigeria wamelazimika kuwa wakimbizi wakihofia hujuma na mashambulio ya kundi la kigaidi la Boko Haram.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS