Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Makumi ya Wanigeria wafukuzwa Afrika Kusini, uhusiano wa nchi mbili matatani

    Makumi ya Wanigeria wafukuzwa Afrika Kusini, uhusiano wa nchi mbili matatani

    Mar 02, 2017 00:05

    Msaidizi wa ngazi ya juu wa Rais wa Nigeria ametangaza kuwa, serikali ya Afrika Kusini imewafukuza raia 97 wa nchi hiyo kwa tuhuma za kuhusika na uhalifu wa aina mbalimbali.

  • Mawakili wa Zakzaky wamwandikia barua Mwanasheria Mkuu, Waziri

    Mawakili wa Zakzaky wamwandikia barua Mwanasheria Mkuu, Waziri

    Feb 28, 2017 04:19

    Mawakili wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wamemuandikia barua Mwanasheria Mkuu na Waziri wa Sheria wa nchi hiyo, wakishinikiza kuachiwa huru msomi huyo wa Kiislamu pamoja na mkewe.

  • Waislamu Nigeria wawasilisha kilio chao kwa makamu wa rais ili kuwachiliwa Zakzaky

    Waislamu Nigeria wawasilisha kilio chao kwa makamu wa rais ili kuwachiliwa Zakzaky

    Feb 27, 2017 10:58

    Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imewasilisha kilio chake kwa makamu wa rais wa nchi hiyo ili kuachiliwa huru kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Yaqoub El Zakzaky.

  • Kivuko cha mpaka wa Cameroon na Nigeria chafungwa; wasiwasi watanda

    Kivuko cha mpaka wa Cameroon na Nigeria chafungwa; wasiwasi watanda

    Feb 24, 2017 10:40

    Kivuko cha mpaka baina ya nchi mbili jirani za Cameroon na Nigeria kimefungwa kutokana na sababu za kiusalama.

  • Machafuko yachachamaa Nigeria, serikali yapiga marufuku watu kutoka nje

    Machafuko yachachamaa Nigeria, serikali yapiga marufuku watu kutoka nje

    Feb 24, 2017 04:36

    Machafuko ya kikabila yamepamba moto kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuilazimisha serikali ya nchi hiyo kutoa amri ya kutotoka nje kwa masaa 24 katika maeneo yenye machafuko.

  • Jeshi la Nigeria: Tutapeleka kikosi maalumu cha polisi katika maeneo yenye machafuko

    Jeshi la Nigeria: Tutapeleka kikosi maalumu cha polisi katika maeneo yenye machafuko

    Feb 23, 2017 09:45

    Jeshi la polisi nchini Nigeria limetangaza azma yake ya kupeleka kikosi maalumu cha polisi kwa ajili ya kusimamia amani katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • UN: Mamilioni ya watu wanakabiliwa na baa la njaa Nigeria, Ziwa Chad

    UN: Mamilioni ya watu wanakabiliwa na baa la njaa Nigeria, Ziwa Chad

    Feb 22, 2017 23:33

    Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa, zaidi ya watu milioni saba wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa katika eneo lililokumbwa na machafuko la kaskazini mwa Nigeria na kandokando ya Ziwa Chad.

  • Kudhoofika nguvu ya magaidi nchini Nigeria

    Kudhoofika nguvu ya magaidi nchini Nigeria

    Feb 22, 2017 04:41

    Waziri wa Ulinzi wa Nigeria amesema kuwa kundi la Boko Haram limedhoofika baada ya kuundwa kikosi cha kijeshi cha pamoja cha mataifa kadhaa cha kupambana na hujuma za kundi hilo.

  • Amnesty yaikosoa serikaliya Nigeria kwa kutozingatia sheria

    Amnesty yaikosoa serikaliya Nigeria kwa kutozingatia sheria

    Feb 19, 2017 23:20

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeikosoa vikali serikali ya Nigeria kwa kutoheshimu sheria.

  • Huenda Sheikh Zakzaky akafunguliwa mashtaka katika jimbo la Kaduna

    Huenda Sheikh Zakzaky akafunguliwa mashtaka katika jimbo la Kaduna

    Feb 18, 2017 12:55

    Duru za kuaminika nchini Nigeria zimeripoti kuwa huenda kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky akafunguliwa mashtaka katika jimbo la kaskazini la Kaduna.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS