-
11 wauawa katika makabiliano baina ya jeshi la Nigeria na Boko Haram
Feb 17, 2017 10:57Kwa akali watu 11 wameuawa katika makabiliano kati ya vikosi vya serikali na wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram mapema leo katika mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi mwa Nigeria.
-
Marekani yaahidi kuipatia silaha Nigeria
Feb 14, 2017 04:10Serikali ya Nigeria imo mbioni kutafuta msaada wa silaha kwa Marekani.
-
Wanigeria waandamana dhidi ya serikali kulalamikia hali mbaya ya uchumi nchini
Feb 10, 2017 01:00Maelfu ya wananchi nchini Nigeria wamefanya maandamano katika kulalamikia siasa mbovu za kiuchumi zinazotekelezwa na serikali ya Rais Muhammadu Buhari wa nchi hiyo.
-
Njaa yawanyemelea maelfu Nigeria kutokana na ugaidi wa Boko Haram
Feb 09, 2017 00:36Maelfu ya watu wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa nchini Nigeria kutokana na mashambulizi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Harakati ya Kiislamu ya Nigeria yaionya serikali ya Buhari kwa kukwamisha kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky
Feb 04, 2017 12:44Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeitahadharisha serikali ya Rais Muhammad Buhari wa nchi hiyo kutokana na ukwamishaji unaofanya kuhusiana na suala la kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Nigeria yaahidi kuwapatia malipo yaliyocheleweshwa wanamgambo wa zamani wa Niger Delta
Feb 03, 2017 04:15Serikali ya Nigeria imesema, karibuni hivi italipa fedha zote za malipo yaliyocheleweshwa inazodaiwa na wanamgambo wa zamani waliojiorodhesha kupatiwa msamaha uliotolewa mwaka 2009 kwa waasi wa eneo lenye utajiri wa mafuta la Niger Delta kusini mwa nchi hiyo.
-
Wanajeshi wa Nigeria waliotumwa Gambia kurejea nyumbani karibuni
Feb 03, 2017 04:08Askari wa jeshi la Nigeria waliokuwa wametumwa nchini Gambia ili kuhakikisha usalama katika mchakato wa kushika madaraka serikali mpya ya nchi hiyo wanatazamiwa kurejea nchini mwao hivi karibuni.
-
Jeshi la Nigeria lazidi kusonga mbele katika ngome za kundi la Boko Haram
Feb 03, 2017 00:18Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, limeendelea kusonga mbele na kupata mafanikio makubwa katika operesheni zake dhidi ya kundi la kigaidi la wanamgambo wa Boko Haram.
-
Wanawake Waislamu Nigeria walaani kukandamizwa hijabu
Feb 02, 2017 10:31Muungano wa makundi ya wanawake kwa jina la "Hijab Rights Advocacy Initiative" wa nchini Nigeria jana ulilaani kile ulichokitaja kuwa kuendelea kukandamizwa wanawake wanaovaa vazi la stara la hijabu, na kulitaka bunge la nchi hiyo kubuni sheria ili kukomesha unyanyasaji huo wa wanawake wanaovaa hijabu.
-
Wafanyakazi 5 wa UN wauawa mpakani mwa Cameroon-Nigeria
Feb 02, 2017 02:27Wafanyakazi watano wa Umoja wa Mataifa wameuawa katika mazingira ya kutatanisha na watu wasiojulikana katika mpaka wa Cameroon na Nigeria.