Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Kwa mara nyingine mahakama ya Nigeria yataka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Kwa mara nyingine mahakama ya Nigeria yataka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Feb 01, 2017 12:12

    Mahakama Kuu ya Shirikisho la Nigeria, kwa mara nyingine tena imetoa amri ya kuachiliwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo na mke wake.

  • Kuendelea ukandamizaji wa askari wa Nigeria dhidi ya wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Kuendelea ukandamizaji wa askari wa Nigeria dhidi ya wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jan 29, 2017 09:01

    Kwa mara nyingine na katika hatua ya ukandamizaji, polisi ya Nigeria imeshambulia maandamano ya wafuasi wa Sheikh Ibrahim Yaaqub Zakzaky, kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.

  • WFP: Raia milioni 1.8 wanakabiliwa na hatari ya njaa kaskazini mashariki mwa Nigeria

    WFP: Raia milioni 1.8 wanakabiliwa na hatari ya njaa kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Jan 29, 2017 00:22

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa, hali ya kimaisha ya wakazi wa kaskazini mashariki mwa Nigeria inatia wasiwasi mno.

  • Nigeria: Hatuungi mkono wazo la nchi za Afrika kujiondoa ICC kwa pamoja

    Nigeria: Hatuungi mkono wazo la nchi za Afrika kujiondoa ICC kwa pamoja

    Jan 27, 2017 11:06

    Serikali ya Nigeria imesema haiungi mkono pendekezo linalotaka nchi wanachama wa Umoja wa Afrika AU kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kwa pamoja.

  • Polisi Nigeria wawafyatulia mabomu ya kutoa machozi wafuasi wa Sheikh Zakzaky

    Polisi Nigeria wawafyatulia mabomu ya kutoa machozi wafuasi wa Sheikh Zakzaky

    Jan 26, 2017 10:22

    Maafisa usalama nchini Nigeria wamewafyatulia mabomu ya kutoa machozi wafuasi wa kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky ambaye anaendelea kuzuiliwa kinyume cha sheria.

  • EU yataka kuachiliwa huru mara moja Sheikh Zakzaky nchini Nigeria

    EU yataka kuachiliwa huru mara moja Sheikh Zakzaky nchini Nigeria

    Jan 25, 2017 01:12

    Umoja wa Ulaya umewataka viongozi wa Nigeria kuheshimu amri ya mahakama ya kumwachilia huru mara moja kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.

  • Abuja: Wanawake wa Boko Haram wanatumia vitoto vichanga katika mashambulizi ya kigaidi

    Abuja: Wanawake wa Boko Haram wanatumia vitoto vichanga katika mashambulizi ya kigaidi

    Jan 24, 2017 23:30

    Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa, baadhi ya wanawake wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wanatumia watoto wachanga wanaonyonya kwa ajili ya kuwahadaa askari usalama na kufanya mashambulizi ya kigaidi.

  • Harakati ya Kiislamu Nigeria yalaani ukiukaji wa haki za binadamu nchini humo

    Harakati ya Kiislamu Nigeria yalaani ukiukaji wa haki za binadamu nchini humo

    Jan 24, 2017 11:28

    Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imelaani ukiukaji wa haki za binadamu unaofanywa na serikali ya nchi hiyo hususan haki za kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Boko Haram yaendelea kutumia watoto kwenye hujuma zao Nigeria

    Boko Haram yaendelea kutumia watoto kwenye hujuma zao Nigeria

    Jan 24, 2017 04:36

    Maafisa wa serikali ya Nigeria wameelezea wasi wasi wao kuhusu hatua ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Harm kukithirisha mbinu ya kutumia watoto wadogo katika harakati zao za kigaidi ikiwemo kutekeleza mashambulizi ya mabomu.

  • Magaidi wa Boko Haram washambulia Niger na kuua askari wawili

    Magaidi wa Boko Haram washambulia Niger na kuua askari wawili

    Jan 22, 2017 12:44

    Magaidi wa Boko Haram wametekeleza shambulizi la kushtukiza katika kituo kimoja cha kijeshi nchini Niger na kuua wanajeshi wawili. Kwa mujibu wa maafisa wa serikali ya Niger, shambulizi hilo limejiri katika kituo cha kijeshi kilichoko mjini Geskerou katika eneo la Diffa kusini mashariki mwa nchi hiyo. Katika shambulizi hilo magaidi hao wa Boko Haram ambao waliingia Niger wakitokea Nigeria, waliteketeza pia magari matatu ya jeshi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS