-
Watu 755,000 wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula Sudan
Jun 28, 2024 03:52Wataalamu na maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa wameonya kuwa, mapigano yanayoendelea nchini Sudan baina ya wanajeshi wa serikali na wanamgambo wa Vikosi vya Msaada wa Haraka RSF yatapelekea watu 755,000 kuwajihiwa na baa la njaa na uhaba mkubwa wa chakula katika miezi michache ijayo.
-
Shirika la kimataifa la usalama wa chakula: Sudan inahitaji hatua za haraka kukabiliana na njaa
Mar 30, 2024 07:21Shirika la usalama wa chakula duniani linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa (IPC) lilionya jana Ijumaa kuhusu haja ya kuchukuliwa hatua za haraka "kuzuia kushamiri vifo, kuporomoka kabisa kwa njia za kujipatia riziki na kuepusha janga la njaa nchini Sudan."
-
UN: Sudan kukumbwa na mgogoro mbaya zaidi wa kibinadamu duniani
Mar 21, 2024 10:12Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imeonya kuwa, mapigano makali ya karibu mwaka mmoja sasa kati ya makundi mawili hasimu, yaani Jeshi la Sudan (SAF) na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) yameiweka nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika katika ncha ya kutumbukia kwenye mgogoro mbaya zaidi wa njaa duniani.
-
FAO: Nchi 33 za Afrika zinahitaji msaada wa chakula kutoka nje
Mar 16, 2024 07:20Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limesema katika ripoti yake mpya kwamba, nchi 45 duniani, zikiwemo 33 za Afrika zinahitaji msaada wa dharura wa chakula kutoka nje.
-
Le Monde: Hakuna matumaini ya kukomeshwa vita hivi karibuni nchini Sudan
Feb 11, 2024 12:07Ripoti iliyochapishwa na gazeti la Ufaransa la Le Monde imesema kwamba, baada ya zaidi ya miezi 9 ya vita kati ya Jeshi la Sudan linaloongozwa na Abdel Fattah al-Burhan na Vikosi vya Msaada wa Haraka chini ya uongozi wa Mohamed Hamdan Dagalo, hakuna uwezekano wa kumalizika vita hivyo karibuni.
-
Sudan yakanusha taarifa za UN kuhusu Al-Burhan kukubali kukutana na Hemedti nchini Uswisi
Feb 09, 2024 08:10Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Sudan jana Alhamisi ilikanusha taarifa iliyotolewa na Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, Martin Griffiths, ambaye alidokeza kuwa Rais wa Baraza Kuu la Utawala nchini Sudan, Jenerali Abdel Fattah Al-Burhan, amekubali kukutana na Kamanda wa Kikosi cha Msaada wa Haraka, Mohamed Hamdan Dagalo (Hemedti), nchini Uswisi, kwa madhumuni ya kuwezesha kuwasili kwa misaada kwa watu walioathirika na vita huko Sudan.
-
UN: Nusu ya wakazi wa Gaza katika hatari ya kufa njaa
Dec 15, 2023 10:38Afisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa, asilimia 50 ya wakazi wa eneo la Palestina la Ukanda wa Gaza linalokaliwa kwa mabavu wapo hatari ya kupoteza maisha kutokana na makali ya njaa.
-
Njaa yaua watu 176 eneo la Tigray, Ethiopia
Dec 14, 2023 03:10Watu wasiopungua 176 wameaga dunia katika eneo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia kutokana na njaa iliyosababishwa na ukame ambao umeendelea kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.
-
Ripoti: Karibu robo milioni ya watu wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula
Sep 15, 2023 11:50Takriban watu milioni 238 wanasumbuliwa na viwango vya juu vya ukosefu wa usalama (utoshelevu) wa chakula katika nchi 48 duniani.
-
Mamilioni wahama makazi yao Somalia kutokana na ukame, migogoro
Sep 01, 2023 03:05Robo ya wananchi wote wa Somalia wamelazimika kuyahama makazi yao kutokana na ukame na migogoro.