-
Watoto milioni 3 katika hatari ya kufa njaa Sudan Kusini
Jul 28, 2023 12:05Maafisa wa serikali ya Sudan Kusini wamesema mamilioni ya watoto nchini humo wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na mgogoro wa njaa unaolikabili taifa hilo changa zaidi barani Afrika.
-
Mamilioni ya watoto wa Yemen wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa
Jul 19, 2023 08:00Zaidi ya watoto milioni 6 nchini Yemen wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa na kwamba, wanahitajia misaada ya haraka ya chakula na dawa.
-
UN: Kuongezeka kwa njaa duniani ni matokeo ya Corona na vita
Jul 14, 2023 08:02Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba migogoro mingi, ikiwa ni pamoja na vita na maambukizi ya virusi vya Corona, imezidisha idadi ya watu wenye njaa duniani.
-
UN: Mamilioni katika hatari ya kufa njaa Sudan, Haiti, Burkina Faso, Mali
May 29, 2023 10:31Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa yameonya kuwa, mamilioni ya watu wapo katika hatari ya kufa njaa katika nchi za Sudan, Haiti, Burkina Faso, na Mali.
-
NGO's: Mtu mmoja hufariki dunia kwa njaa kila baada ya sekunde 36 kuanzia Sahel hadi Pembe ya Afrika
Apr 28, 2023 11:27Umoja wa Mataifa na mashirika yasiyo ya kiserikali yametangaza kwamba mtu mmoja hufariki dunia kwa njaa kila baada ya sekunde 36 katika nchi za Ethiopia, Kenya na Somalia, huku watu milioni 18.6 wakikabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula katika eneo la Sahel barani Afrika.
-
Ripoti: Ukame uliua watu zaidi ya 40,000 nchini Somalia 2022
Mar 22, 2023 02:18Utafiti uliofanywa na Wizara ya Afya ya Uswisi, Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) umeonyesha kuwa, ukame ambao ni mrefu zaidi kuwahi kurekodiwa nchini Somalia umesababisha makumi ya maelfu ya watu kupoteza maisha.
-
Indhari ya UN: Njaa inatishia maisha ya mamilioni ya Wasyria
Jan 29, 2023 07:48Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetahadharisha kuhusu hatari inayotishia maisha ya mamilioni ya wananchi wa Syria kutokana na ukosefu wa chakula na njaa.
-
Afrika mhanga wa matokeo na taathira ya migogoro ya kimataifa
Oct 17, 2022 05:48Akthari ya mataifa ya Afrika ambayo katika miongo ya hivi karibuni yalifanya hima kubwa ya kujenga miundomsingi yao ya kiuchumi kwa minajili ya kuboresha hali ya uchumi wao, filihali yanahesabiwa kuwa wahanga wakubwa zaidi wa matukio ya sasa ulimwenguni.
-
Njaa yaua watu 900 katika eneo la Karamoja, Uganda
Jul 26, 2022 07:54Mamia ya watu wamepoteza maisha kutokana na makali ya njaa katika eneo la Karamoja, kaskazini mwa Uganda.
-
Wakenya waipongeza serikali kwa kupunguza bei ya unga wa ugali
Jul 19, 2022 12:31Wakenya wamefurahia hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi. Baadhi ya Wakenya wamejitokeza kwenye mitandao ya kijamii kushukuru hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi.