Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

njaa

  • Watoto milioni 3 katika hatari ya kufa njaa Sudan Kusini

    Watoto milioni 3 katika hatari ya kufa njaa Sudan Kusini

    Jul 28, 2023 12:05

    Maafisa wa serikali ya Sudan Kusini wamesema mamilioni ya watoto nchini humo wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na mgogoro wa njaa unaolikabili taifa hilo changa zaidi barani Afrika.

  • Mamilioni ya watoto wa Yemen wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa

    Mamilioni ya watoto wa Yemen wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa

    Jul 19, 2023 08:00

    Zaidi ya watoto milioni 6 nchini Yemen wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa na kwamba, wanahitajia misaada ya haraka ya chakula na dawa.

  • UN: Kuongezeka kwa njaa duniani ni matokeo ya Corona na vita

    UN: Kuongezeka kwa njaa duniani ni matokeo ya Corona na vita

    Jul 14, 2023 08:02

    Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba migogoro mingi, ikiwa ni pamoja na vita na maambukizi ya virusi vya Corona, imezidisha idadi ya watu wenye njaa duniani.

  • UN: Mamilioni katika hatari ya kufa njaa Sudan, Haiti, Burkina Faso, Mali

    UN: Mamilioni katika hatari ya kufa njaa Sudan, Haiti, Burkina Faso, Mali

    May 29, 2023 10:31

    Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa yameonya kuwa, mamilioni ya watu wapo katika hatari ya kufa njaa katika nchi za Sudan, Haiti, Burkina Faso, na Mali.

  • NGO's: Mtu mmoja hufariki dunia kwa njaa kila baada ya sekunde 36 kuanzia Sahel hadi Pembe ya Afrika

    NGO's: Mtu mmoja hufariki dunia kwa njaa kila baada ya sekunde 36 kuanzia Sahel hadi Pembe ya Afrika

    Apr 28, 2023 11:27

    Umoja wa Mataifa na mashirika yasiyo ya kiserikali yametangaza kwamba mtu mmoja hufariki dunia kwa njaa kila baada ya sekunde 36 katika nchi za Ethiopia, Kenya na Somalia, huku watu milioni 18.6 wakikabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula katika eneo la Sahel barani Afrika.

  • Ripoti: Ukame uliua watu zaidi ya 40,000 nchini Somalia 2022

    Ripoti: Ukame uliua watu zaidi ya 40,000 nchini Somalia 2022

    Mar 22, 2023 02:18

    Utafiti uliofanywa na Wizara ya Afya ya Uswisi, Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) umeonyesha kuwa, ukame ambao ni mrefu zaidi kuwahi kurekodiwa nchini Somalia umesababisha makumi ya maelfu ya watu kupoteza maisha.

  • Indhari ya UN: Njaa inatishia maisha ya mamilioni ya Wasyria

    Indhari ya UN: Njaa inatishia maisha ya mamilioni ya Wasyria

    Jan 29, 2023 07:48

    Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetahadharisha kuhusu hatari inayotishia maisha ya mamilioni ya wananchi wa Syria kutokana na ukosefu wa chakula na njaa.

  • Afrika mhanga wa matokeo na taathira ya migogoro ya kimataifa

    Afrika mhanga wa matokeo na taathira ya migogoro ya kimataifa

    Oct 17, 2022 05:48

    Akthari ya mataifa ya Afrika ambayo katika miongo ya hivi karibuni yalifanya hima kubwa ya kujenga miundomsingi yao ya kiuchumi kwa minajili ya kuboresha hali ya uchumi wao, filihali yanahesabiwa kuwa wahanga wakubwa zaidi wa matukio ya sasa ulimwenguni.

  • Njaa yaua watu 900 katika eneo la Karamoja, Uganda

    Njaa yaua watu 900 katika eneo la Karamoja, Uganda

    Jul 26, 2022 07:54

    Mamia ya watu wamepoteza maisha kutokana na makali ya njaa katika eneo la Karamoja, kaskazini mwa Uganda.

  • Wakenya waipongeza serikali kwa kupunguza bei ya unga wa ugali

    Wakenya waipongeza serikali kwa kupunguza bei ya unga wa ugali

    Jul 19, 2022 12:31

    Wakenya wamefurahia hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi. Baadhi ya Wakenya wamejitokeza kwenye mitandao ya kijamii kushukuru hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS