Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Oman

  • Magari yaliyotengenezwa nchini Iran kuanza kuuzwa nchini Oman

    Magari yaliyotengenezwa nchini Iran kuanza kuuzwa nchini Oman

    Dec 31, 2017 04:30

    Mkuu wa kitengo cha biashara katika ubalozi wa Iran mjini Muscat amesema magari yaliyotegenezwa katika viwanda vya Iran sasa yataanza kuuzwa katika soko la Oman.

  • Hossein Amir-Abdollahian: Iran inakitetea kibla cha kwanza cha Waislamu

    Hossein Amir-Abdollahian: Iran inakitetea kibla cha kwanza cha Waislamu

    Dec 11, 2017 04:44

    Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, Iran daima imekuwa mtetezi wa haki za wananchi madhulumu wa Palestina na kibla cha kwanza cha Waislamu na itaendelea kufanya hivyo.

  • Zarif asema Iran na Oman zina uhusiano mzuri na wa karibu

    Zarif asema Iran na Oman zina uhusiano mzuri na wa karibu

    Oct 02, 2017 11:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uhusiano wa Iran na Oman katika sekta za siasa, uchumi, usalama na masuala ya eneo ni mzuri na ni wa karibu.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Muscat Oman

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Muscat Oman

    Oct 02, 2017 00:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran leo subuhi ameondoka Tehran na kuelekea ziarani mjini Muscat Oman kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo na Qatar.

  • Uhusiano wa kibiashara wa Iran na Oman wazidi kuimarika

    Uhusiano wa kibiashara wa Iran na Oman wazidi kuimarika

    Jul 05, 2017 03:43

    Naibu wa Mkuu wa Shirika la Ustawi wa Kibiashara la Iran anayehusika na masuala ya Kiarabu na Kiafrika amesema kuwa, uhusiano wa kibiashara baina ya Tehran na Muscat Oman umeimarika sana katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.

  • Kuimarishwa uhusiano wa Iran, Oman, Kuwait na Qatar nje ya duara la matakwa ya Saudia

    Kuimarishwa uhusiano wa Iran, Oman, Kuwait na Qatar nje ya duara la matakwa ya Saudia

    May 30, 2017 00:01

    Baada ya kupita takribani siku kumi tangu kilipofanyika kikao cha kipropaganda cha Waarabu na Marekani mjini Riyadh, Saudi Arabia, kwa lengo la kuasisi muungano bandia dhidi ya Iran, Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Yusuf Bin Alawi amesema uhusiano wa Muscat na Tehran umejengeka kwa msingi wa ukweli na urafiki na kusisitiza kuwa baadhi ya matukio ya kieneo hayawezi kuathiri uhusiano wa Iran na Oman.

  • Iran na Oman zaanza maneva ya uokoaji katika lango la Hormuz

    Iran na Oman zaanza maneva ya uokoaji katika lango la Hormuz

    Apr 10, 2017 09:11

    Vikosi vya majini vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman vimeanza maneva ya pamoja ya utafutaji na uokoaji katika maeneo ya mashariki ya Lango la Hormuz na katika maeneo ya kaskazini mwa Bahari ya Hindi.

  • Uhusiano wa Iran na Oman wazidi kuimarika, Rais Rouhani atembelea Muscat

    Uhusiano wa Iran na Oman wazidi kuimarika, Rais Rouhani atembelea Muscat

    Feb 15, 2017 12:29

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuna ulazima wa kuimarishwa ushirikiano wa pande zote baina ya nchi za eneo hili, kama ambavyo kuna wajibu pia wa kupewa kipaumbele suala la kusimamisha vita na kusaidiwa wananchi wa Yemen.

  • Rouhani: Iran inataka kuboresha uhusiano na eneo zima

    Rouhani: Iran inataka kuboresha uhusiano na eneo zima

    Feb 15, 2017 04:34

    Rais wa Iran amesema kuwa nchi hii inataka kuboresha uhusiano katika eneo zima la Ghuba ya Uajemi na kwamba lengo la mwisho la Tehran ni kuona amani na uthabiti zaidi inakuwepo katika eneo hili na nchi zote zinastawi.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman aikosoa Saudia kwa kushupalia vita

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman aikosoa Saudia kwa kushupalia vita

    Feb 15, 2017 00:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Yusuf bin Alawi ameikosoa Saudi Arabia kutokana na kushupalia utumiaji njia za kijeshi badala ya diplomasia kwa ajili ya kutatua migogoro ya eneo la Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS