-
Pakistan yalaani hatua ya India ya kuligawa eneo la Kashmir katika sehemu mbili
Nov 01, 2019 08:20Serikali ya Pakistan imelaani hatua ya India ya kuligawa eneo la Jammu na Kashmir katika sehemu mbili.
-
Rais Rouhani: Tehran na Islamabad zinataka masuala ya kieneo yatatuliwe kwa njia ya mazungumzo
Oct 13, 2019 08:54Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran na Islamabad zinaamini kuwa, masuala ya kieneo yanapaswa kutatuliwa kwa njia ya mazungumzo baina ya nchi mbalimbali.
-
Onyo la kamanda wa jeshi la India kwa Pakistan
Sep 25, 2019 04:34Kamanda wa jeshi la India ameituhumu serikali ya Pakistan kuwa inaunga mkono ugaidi.
-
Pakistan yaitaka Saudia kujiepusha na hatua yoyote itakayotishia usalama wa eneo
Sep 23, 2019 23:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema kuwa, nchi hiyo imeitaka Saudi Arabia kuchukua tahadhari kutokana na uamuzi wowote wa haraka ambao unaweza kutishia usalama na amani ya eneo.
-
Pakistan: Wamarekani sio watu wa kuaminika
Sep 23, 2019 23:20Waziri wa Reli nchini Pakistan amesema kuwa, Wamarekani sio watu wa kuaminika kwa namna yoyote ile kwa kuwa huko nyuma pia waliihadaa Pakistan.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan: Njia ya mashahidi wa Karbala, lazima iendelezwe
Sep 11, 2019 07:38Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan sambamba na kuashiria kumalizika kwa marasimu ya kidini ya kumi la kwanza la mwezi wa Muharram nchini Pakistan, amesema kuwa raia wa nchi hiyo hususan Waislamu wa jimbo la Kashmir, ni lazima waendeleze ujumbe wa mashahidi wa Karbala.
-
India yawazuia Waislamu wa Kashmir kumuomboleza Imam Hussein AS
Sep 09, 2019 01:38India imetangaza sheria ya kutotoka nje katika baadhi ya maeneo ya Kashmir, sambamba na kuwapiga marufuku Waislamu wa madhehebu ya Shia katika eneo hilo inalolidhibiti kushiriki katika marasimu yoyote ya kidini.
-
Ayatullah Hamedani awataka Waislamu wa Kashmir waendeleze muqawama
Sep 08, 2019 07:48Mwanachuoni mashuhuri hapa nchini Iran sambamba na kusisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuwaunga mkono Waislamu wanaodhulumiwa wa eneo la Kashmir, amewataka Wakashmir waendelee kusimama kidete na kudumisha moyo wa muqawama.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan aapa kutoa jibu kali kwa India kuhusu Kashmir
Sep 06, 2019 22:02Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amesema serikali yake itatoa jibu kali zaidi linalowezekana katika kukabiliana na hatua za India huko Kashmir, lakini akasisitiza kuwa, nchi yake haitaki vita na India.
-
Jeshi la Pakistan: Vita vitaibuka kutokana na hatua za India huko Kashmir
Sep 05, 2019 00:05Jeshi la Pakistan limetahadharisha kuwa hatua ambazo India imechukua huko Kashmir zinaweza kuchochea vita katika eneo.