Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Kuzidi kuharibika uhusiano wa Marekani na Pakistan

    Kuzidi kuharibika uhusiano wa Marekani na Pakistan

    Nov 21, 2019 23:45

    Siku chache zilizopita, Pakistan haikuruhusu ndege moja ya kijeshi ya Marekani kutumia anga yake ikiwa ni katika kile kinachoonekana ni kuzidi kuharibika uhusiano wa Washington na Islamabad.

  • India yafunga kanali za televisheni za Kiislamu Kashmir

    India yafunga kanali za televisheni za Kiislamu Kashmir

    Nov 18, 2019 08:04

    India imepiga marufuku kurushwa matangazo ya kanali za televisheni za nchi za Kiislamu zikiwemo Iran, Uturuki na Malaysia katika eneo la Kashmir iliyo chini ya udhibiti wa serikali ya New Delhi.

  • Wapinzani wa serikali nchini Pakistan watangaza mpango wa pili wa kuendeleza maandamano

    Wapinzani wa serikali nchini Pakistan watangaza mpango wa pili wa kuendeleza maandamano

    Nov 14, 2019 04:00

    Chama cha Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu (Jamiat Ulema-e-Islam) nchini Pakistan ambacho kinaipinga serikali ya sasa ya Imran Khan, Waziri Mkuu wa nchi hiyo, kimetangaza mpango wa pili katika kumuwekea mashinikizo zaidi waziri mkuu huyo ili ajiuzulu.

  • Pakistan yaitaka India ikomeshe ukandamizaji wa askari wake dhidi ya wakazi wa Kashmir

    Pakistan yaitaka India ikomeshe ukandamizaji wa askari wake dhidi ya wakazi wa Kashmir

    Nov 09, 2019 04:27

    Mkuu wa eneo la Kashmir lililo chini ya udhibiti wa Pakistan, ameitahadharisha serikali ya India kutokana na ukandamizaji wa askari wa nchi hiyo kuwalenga wakazi wa eneo la Kashmir lililo chini ya udhibiti wa New Delhi.

  • Ukosoaji wa Pakistan dhidi ya serikali ya Marekani

    Ukosoaji wa Pakistan dhidi ya serikali ya Marekani

    Nov 07, 2019 03:29

    Pakistan imeyakosoa vikali madai ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani kwamba, Islamabad haina uwezo wa kupambana na ugaidi na kuyataja matamshi hayo kuwa siyo ya kukubalika hata kidogo.

  • Pakistan yalaani hatua ya India ya kuligawa eneo la Kashmir katika sehemu mbili

    Pakistan yalaani hatua ya India ya kuligawa eneo la Kashmir katika sehemu mbili

    Nov 01, 2019 08:20

    Serikali ya Pakistan imelaani hatua ya India ya kuligawa eneo la Jammu na Kashmir katika sehemu mbili.

  • Rais Rouhani: Tehran na Islamabad zinataka masuala ya kieneo yatatuliwe kwa njia ya mazungumzo

    Rais Rouhani: Tehran na Islamabad zinataka masuala ya kieneo yatatuliwe kwa njia ya mazungumzo

    Oct 13, 2019 08:54

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran na Islamabad zinaamini kuwa, masuala ya kieneo yanapaswa kutatuliwa kwa njia ya mazungumzo baina ya nchi mbalimbali.

  • Onyo la kamanda wa jeshi la India kwa Pakistan

    Onyo la kamanda wa jeshi la India kwa Pakistan

    Sep 25, 2019 04:34

    Kamanda wa jeshi la India ameituhumu serikali ya Pakistan kuwa inaunga mkono ugaidi.

  • Pakistan yaitaka Saudia kujiepusha na hatua yoyote itakayotishia usalama wa eneo

    Pakistan yaitaka Saudia kujiepusha na hatua yoyote itakayotishia usalama wa eneo

    Sep 23, 2019 23:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema kuwa, nchi hiyo imeitaka Saudi Arabia kuchukua tahadhari kutokana na uamuzi wowote wa haraka ambao unaweza kutishia usalama na amani ya eneo.

  • Pakistan: Wamarekani sio watu wa kuaminika

    Pakistan: Wamarekani sio watu wa kuaminika

    Sep 23, 2019 23:20

    Waziri wa Reli nchini Pakistan amesema kuwa, Wamarekani sio watu wa kuaminika kwa namna yoyote ile kwa kuwa huko nyuma pia waliihadaa Pakistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS