Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Spika wa Bunge la Iran kuelekea Pakistan leo

    Spika wa Bunge la Iran kuelekea Pakistan leo

    Dec 23, 2017 04:17

    Dakta Ali Larijani, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo anatarajiwa kuuongoza ujumbe wa Kibunge wa Iran kuelekea Pakistan kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa kujadili namna ya kukabiliana na ugaidi.

  • Ukosoaji wa Bunge la Pakistan kwa serikali kwa kujiunga na muungano vamizi ulioasisiwa na Saudia dhidi ya Yemen

    Ukosoaji wa Bunge la Pakistan kwa serikali kwa kujiunga na muungano vamizi ulioasisiwa na Saudia dhidi ya Yemen

    Dec 16, 2017 21:54

    Wawakilishi wa bunge la taifa la Pakistan wamekosoa kushiriki Islamabad kwenye muungano chokozi ulioanzishwa na utawala wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen.

  • Serikali ya Pakistan yaendelea kuwazuia Waislamu kwenda Karbala kwa ajili ya Arobain ya Imam Hussein (as)

    Serikali ya Pakistan yaendelea kuwazuia Waislamu kwenda Karbala kwa ajili ya Arobain ya Imam Hussein (as)

    Nov 03, 2017 04:33

    Habari kutoka Pakistan zinaarifu kwamba, serikali za majimbo kadhaa ya nchi hiyo zimeendelea kuwazuia Waislamu kwenda Karbala, Iraq kwa ajili ya kushiriki katika kumbukumbu za Arubaini ya Imam Hussein (as), mjukuu wa Mtume Muhammad (saw).

  • Mahakama ya Pakistan yaagiza kukamatwa Waziri Mkuu wa zamani

    Mahakama ya Pakistan yaagiza kukamatwa Waziri Mkuu wa zamani

    Oct 26, 2017 04:32

    Mahakama moja nchini Pakistan imetoa waranti wa kukamatwa Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Nawaz Sharif, baada ya kukosa kufika mahakamani kusikiliza kesi ya ufisadi inayomwandama.

  • Alkhamisi 26 Oktoba, 2017

    Alkhamisi 26 Oktoba, 2017

    Oct 26, 2017 01:30

    Leo ni Alkhamisi tarehe 6 Safar 1439 Hijria sawa na Oktoba 26, 2017.

  • Mahakama ya Pakistan yamsomea rasmi mashtaka ya ufisadi Nawaz Sharif na familia yake

    Mahakama ya Pakistan yamsomea rasmi mashtaka ya ufisadi Nawaz Sharif na familia yake

    Oct 19, 2017 12:44

    Mahakama ya Pakistan leo imesikiliza rasmi kesi ya mashtaka ya ufisadi inayomkabili aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo Muhammad Nawaz Sharif na familia yake, ambayo inaweza kupelekea kiongozi huyo kuhukumiwa kifungo jela.

  • Rais Rouhani: Matatizo ya Mashariki ya Kati yakiwemo ya Afghanistan ni ya kutatuliwa kieneo

    Rais Rouhani: Matatizo ya Mashariki ya Kati yakiwemo ya Afghanistan ni ya kutatuliwa kieneo

    Sep 12, 2017 00:10

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matatizo ya Mashariki ya Kati yakiwemo yale yanayoikabili Afghanistan yanaweza kupatiwa ufumbuzi kieneo na kwamba, katu matatizo hayo hayawezi kutatuliwa na maajinabi na madola kutoka nje ya eneo hili.

  • Waislamu Pakistan: Islamabad ijikomboe na utumwa na kuwa tegemezi kwa Marekani

    Waislamu Pakistan: Islamabad ijikomboe na utumwa na kuwa tegemezi kwa Marekani

    Aug 29, 2017 10:26

    Katibu Mkuu wa Majlisi ya Umoja wa Waislamu katika jimbo la Sindh nchini Pakistan, ameionya serikali ya nchi hiyo kuwa macho na njama chafu za Marekani.

  • Kuongezeka harakati za kundi la Daesh (ISlS) nchini Pakistan

    Kuongezeka harakati za kundi la Daesh (ISlS) nchini Pakistan

    Aug 14, 2017 03:56

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (lSlS) limetangaza kwamba limehusika na mripuko wa bomu katika mji wa Quetta nchini Pakistan.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan ajiuzulu kufuatia uamuzi wa mahakama

    Waziri Mkuu wa Pakistan ajiuzulu kufuatia uamuzi wa mahakama

    Jul 28, 2017 09:41

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Nawaz Sharif amejiuzulu wadhifa wake baada ya Mahakama ya Juu nchini humo kumuengua madarakani kutokana na kashfa ya ufisadi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS