Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Kongamano la kimataifa kwa ajili ya kupambana na ugaidi lafanyika Pakistan

    Kongamano la kimataifa kwa ajili ya kupambana na ugaidi lafanyika Pakistan

    Apr 15, 2017 23:44

    Kongamano la pili la kimataifa lililopewa jina la 'Ujumbe wa Uislamu' kwa ajili ya kupambana na ugaidi, kufurutu mipaka na ukatili unaotokana na tofauti, limefanyika nchini Pakistan kwa kuhudhuriwa na maelfu ya maulama wa ndani na nje ya nchi hiyo.

  • Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya US na Saudia dhidi ya Syria na Yemen

    Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya US na Saudia dhidi ya Syria na Yemen

    Apr 12, 2017 09:34

    Maelfu ya Wapakistan wameandamana mbele ya kituo cha waandishi wa habari mjini Islamabad, mji mkuu wa nchi hiyo katika kulaani ushirikiano wa Marekani na Saudia wa kufanya mashambulizi nchini Syria na Yemen na kuyataja mashambulizi hayo kuwa ni jinai ya kivita.

  • OIC yasema mgogoro wa Syria unahitaji suluhisho la kisiasa

    OIC yasema mgogoro wa Syria unahitaji suluhisho la kisiasa

    Apr 11, 2017 10:57

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiisalmu (OIC) amesema njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria ni mazungumzo na mikakati ya kisiasa.

  • Maelfu ya Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya kigaidi katika maeneo ya Waislamu wa Shia

    Maelfu ya Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya kigaidi katika maeneo ya Waislamu wa Shia

    Apr 01, 2017 11:40

    Maelfu ya raia wa Pakistan wamefanya maandamano makubwa ya kulaani mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni yaliyotokea katika eneo la Parachinar la Waislamu wa Shia nchini humo.

  • Upinzani dhidi ya kushiriki Pakistan katika muungano wa vita vya Saudia huko Yemen, waongezeka

    Upinzani dhidi ya kushiriki Pakistan katika muungano wa vita vya Saudia huko Yemen, waongezeka

    Apr 01, 2017 03:16

    Wimbi la upinzani wa suala la kujiunga Pakistan katika muungano wa kijeshi wa kimaonyesho unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen bado linaendelea kuongezeka nchini Pakistan.

  • Iran yalaani shambulizi ya kigaidi karibu na Husainiya ya Imambargah

    Iran yalaani shambulizi ya kigaidi karibu na Husainiya ya Imambargah

    Apr 01, 2017 03:12

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililotokea katika eneo la Parachinar na kuua makumi ya watu waliokuwa wamekwenda kutelekeza ibada ya Swala ya Ijumaa.

  • 'Makundi ya Lashkar-e-Jhangvi na Sipah-e-Sahaba ni wasaidizi wa ISIS nchini Pakistan'

    'Makundi ya Lashkar-e-Jhangvi na Sipah-e-Sahaba ni wasaidizi wa ISIS nchini Pakistan'

    Mar 21, 2017 00:17

    Katibu mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu katika jimbo la Sindh nchini Pakistan amesema kuwa, makundi ya Lashkar-e-Jhangvi na Sipah-e-Sahaba ni wasaidizi wakuu wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) nchini humo.

  • Rouhani: ECO itakuwa ufunguo wa maelewano ya Mashariki na Magharibi

    Rouhani: ECO itakuwa ufunguo wa maelewano ya Mashariki na Magharibi

    Mar 01, 2017 03:49

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, mataifa yanayostawi kiuchumi barani Asia yataufanya uchumi wa dunia utoke Magharibi na kuelekea Mashariki na mabadiliko hayo yatapelekea bara hilo kuwa mbele katika karne ya 21.

  • Maelfu ya Wapakistani waandamana kulaani jinai za Marekani na makundi ya kigaidi

    Maelfu ya Wapakistani waandamana kulaani jinai za Marekani na makundi ya kigaidi

    Feb 18, 2017 12:43

    Maelfu ya Wapakistani wamefanya maandamano makubwa katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kulalamikia jinai za Marekani na makundi ya kigaidi ya Jamaat al-Ahrar, Daesh, Lashgar Jahangui na Sepah Sahabah, ambayo yamekuwa yakihusika na mauaji ndani ya taifa hilo.

  • Iran yalaani mauaji ya watu 80 katika Haram ya Sufi nchini Pakistan

    Iran yalaani mauaji ya watu 80 katika Haram ya Sufi nchini Pakistan

    Feb 17, 2017 11:29

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana Alkhamisi katika mkoa wa Sindh nchini Pakistan, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS