Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Malalamiko ya wananchi wa Pakistan dhidi ya kuendelea mashambulio ya kigaidi dhidi ya Mashia

    Malalamiko ya wananchi wa Pakistan dhidi ya kuendelea mashambulio ya kigaidi dhidi ya Mashia

    Jun 27, 2017 03:11

    Kufuatia kuendelea mashambulio ya kigaidi dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Ahlul-Baiti (Shia) katika mji wa Parachinar nchini Pakistan, wananchi wa nchi hiyo wakiwemo wa mji huo, Islamabad na miji mingine wamefanya maandamano na mikusanyiko ambapo sambamba na kulaani mashambulio hayo ya kigaidi wametoa wito wa kudhamiwa usalama Waislamu wa Kishia.

  • Maulama wa Suni Pakistan: Nchi yetu sio bustani ya Saudia na Marekani

    Maulama wa Suni Pakistan: Nchi yetu sio bustani ya Saudia na Marekani

    Jun 06, 2017 03:17

    Mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Kisuni nchini Pakistan amesema kuwa, nchi hiyo sio eneo la kijifaragua la Marekani na Saudi Arabia.

  • Waislamu Pakistan: Mkutano wa Riyadh na Trump ulikuwa wa kupanga njama chafu dhidi ya Uislamu

    Waislamu Pakistan: Mkutano wa Riyadh na Trump ulikuwa wa kupanga njama chafu dhidi ya Uislamu

    May 23, 2017 10:52

    Kiongozi wa Jumuiya ya 'Ahlu Hurm' ya nchini Pakistan amekosoa vikali safari ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Saudia na kikao cha hivi karibuni katika mji mkuu wa nchi hiyo Riyadh, na kusema kuwa kikao hicho kimebainisha wazi kwamba baadhi ya nchi hazifungamani na mafundisho ya dini ya Uislamu, bali zinafungamana na dini ambayo msemaji wake ni Rais Trump.

  • Abdolreza Rahmani Fazli: Pakistan imeahidi kudumisha usalama katika mipaka yake na Iran

    Abdolreza Rahmani Fazli: Pakistan imeahidi kudumisha usalama katika mipaka yake na Iran

    May 06, 2017 09:02

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Pakistan imeahidi kudumisha amani na usalama katika mipaka yake na Iran kwa shabaha ya kuzuia harakati za makundi ya kigaidi katika maeneo hayo.

  • Iran ina haki ya kujibu jinai ya magaidi walioua askari wa mpakani

    Iran ina haki ya kujibu jinai ya magaidi walioua askari wa mpakani

    Apr 29, 2017 03:08

    Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amesema Jamhuri ya Kiislamu ina haki ya kutoa jibu kali kwa jinai ya magaidi ambao waliwaua askari wa kulinda mpaka katika eneo la kusini mashariki katika mpaka wa Iran na Pakistan.

  • Kongamano la kimataifa kwa ajili ya kupambana na ugaidi lafanyika Pakistan

    Kongamano la kimataifa kwa ajili ya kupambana na ugaidi lafanyika Pakistan

    Apr 15, 2017 23:44

    Kongamano la pili la kimataifa lililopewa jina la 'Ujumbe wa Uislamu' kwa ajili ya kupambana na ugaidi, kufurutu mipaka na ukatili unaotokana na tofauti, limefanyika nchini Pakistan kwa kuhudhuriwa na maelfu ya maulama wa ndani na nje ya nchi hiyo.

  • Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya US na Saudia dhidi ya Syria na Yemen

    Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya US na Saudia dhidi ya Syria na Yemen

    Apr 12, 2017 09:34

    Maelfu ya Wapakistan wameandamana mbele ya kituo cha waandishi wa habari mjini Islamabad, mji mkuu wa nchi hiyo katika kulaani ushirikiano wa Marekani na Saudia wa kufanya mashambulizi nchini Syria na Yemen na kuyataja mashambulizi hayo kuwa ni jinai ya kivita.

  • OIC yasema mgogoro wa Syria unahitaji suluhisho la kisiasa

    OIC yasema mgogoro wa Syria unahitaji suluhisho la kisiasa

    Apr 11, 2017 10:57

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiisalmu (OIC) amesema njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria ni mazungumzo na mikakati ya kisiasa.

  • Maelfu ya Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya kigaidi katika maeneo ya Waislamu wa Shia

    Maelfu ya Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya kigaidi katika maeneo ya Waislamu wa Shia

    Apr 01, 2017 11:40

    Maelfu ya raia wa Pakistan wamefanya maandamano makubwa ya kulaani mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni yaliyotokea katika eneo la Parachinar la Waislamu wa Shia nchini humo.

  • Upinzani dhidi ya kushiriki Pakistan katika muungano wa vita vya Saudia huko Yemen, waongezeka

    Upinzani dhidi ya kushiriki Pakistan katika muungano wa vita vya Saudia huko Yemen, waongezeka

    Apr 01, 2017 03:16

    Wimbi la upinzani wa suala la kujiunga Pakistan katika muungano wa kijeshi wa kimaonyesho unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen bado linaendelea kuongezeka nchini Pakistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS