Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wazayuni wazidi kupapurana, sasa mawaziri wawashambulia majenerali wa kijeshi kuhusu Ghaza

    Wazayuni wazidi kupapurana, sasa mawaziri wawashambulia majenerali wa kijeshi kuhusu Ghaza

    May 22, 2021 02:04

    Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni limelilaumu jeshi la utawala huo kwa kuboronga katika vita vilivyoisha juzi usiku vya Ukanda wa Ghaza.

  • Baada ya kushindwa Ghaza, sasa Wazayuni walana wao kwa wao

    Baada ya kushindwa Ghaza, sasa Wazayuni walana wao kwa wao

    May 21, 2021 07:49

    Baada ya kushindwa katika vita vya siku 11 baina yao na wanamapambano wa Palestina, sasa wakuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamenza kupapurana wao kwa wao.

  • Hizbullah: Vita vya

    Hizbullah: Vita vya "Seif al-Quds" vimeonyesha kuwa, Israel ni dhaifu kuliko nyumba ya buibui

    May 21, 2021 03:46

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, vita vya "Seif al-Quds" vimeonyesha kuwa, utawala haramu wa Israel ni dhaifu kuliko hata nyumba ya buibui.

  •  Zarif: Uvamizi  wa Israel umethibitisha kwamba, kuanzisha uhusiano na Israel hakuna faida

    Zarif: Uvamizi wa Israel umethibitisha kwamba, kuanzisha uhusiano na Israel hakuna faida

    May 21, 2021 03:46

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza haki ya Wapalestina ya kujitetea mbele ya dhulma na ukandamizaji wa utawala wa kiapathaidi wa Israel na kusema kuwa, kuporwa na kughusubiwa kitongoji kingine cha Waarabu pambizoni mwa Msikiti wa al-Aqswa kumethibitisha kwamba, kuanzisha uhusiano wa kawaida baadhi ya nchi za Kiarabu na Israel hakuna faida yoyote.

  • Ndege za kivita na mizinga ya utawala wa Kizayuni yaendelea kuteketeza roho za Wapalestina Gaza

    Ndege za kivita na mizinga ya utawala wa Kizayuni yaendelea kuteketeza roho za Wapalestina Gaza

    May 19, 2021 03:17

    Kwa mara nyingine tena, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeendeleza jinai zake dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina kwa kushambulia maeneo kadhaa ya Ukanda wa Gaza kwa makombora ya mizinga na ya ndege za kivita.

  • Palestina: Haiyumkiniki kuendelea kuishi chini ya utawala wa ubaguzi wa Apathaidi wa Kizayuni wa Israel

    Palestina: Haiyumkiniki kuendelea kuishi chini ya utawala wa ubaguzi wa Apathaidi wa Kizayuni wa Israel

    May 19, 2021 02:00

    Mwakilishi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema, hakuna uwezekano wa kuendelea kuishi chini ya utawala wa Kizayuni wa ubaguzi wa Apathaidi.

  • Ripoti ya New York Times kuhusu kuongezeka duniani malalamiko dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Ripoti ya New York Times kuhusu kuongezeka duniani malalamiko dhidi ya utawala wa Kizayuni

    May 19, 2021 00:05

    Gazeti la New York Times limechapisha ripoti inayoonyesha kuongezeka ulimwenguni malalamiko na maandamano yaliyo dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia jinai na mashambulio yake ya kinyama dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.

  • Putin ataka mashambulio ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina yasimamishwe mara moja

    Putin ataka mashambulio ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina yasimamishwe mara moja

    May 18, 2021 09:20

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametaka mashambulio ya kinyama yanayotekelezwa na utawala wa kigaidi wa Israel dhidi ya Wapalestina yasimamishwe mara moja.

  • Haniya: Mapambano ya kukomboa Palestina yamefika nukta muhimu katika historia

    Haniya: Mapambano ya kukomboa Palestina yamefika nukta muhimu katika historia

    May 17, 2021 08:32

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema mapambano ya sasa Ghaza ni nutka ya kihistoria ambayo inathibitisha kuwa mapambano na muqawama ndio njia pekee ya kukomboa ardhi za Palestina na kurejesha haki za taifa hilo.

  • Asasi za Kiislamu Marekani zasusia dhifa ya Idi White House kulalamikia uungaji mkono wa Washington kwa jinai za Israel

    Asasi za Kiislamu Marekani zasusia dhifa ya Idi White House kulalamikia uungaji mkono wa Washington kwa jinai za Israel

    May 16, 2021 23:05

    Jumuiya na asasi za Kiislamu nchini Marekani zimesusa kuhudhuria dhifa ya kila mwaka ya Idul-Fitri inayoandaliwa na Ikulu ya White House kulalamikia uungaji mkono wa serikali ya nchi hiyo kwa jinai za kinyama za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wakiwemo wa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS