Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Mataifa ya Kiislamu yaandamana kupinga US kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Mataifa ya Kiislamu yaandamana kupinga US kuuhamishia ubalozi wake Quds

    May 12, 2018 02:54

    Maelfu ya watu wameshiriki maandamano ya kupinga hatua ya kiuhasama ya Marekani ya kuuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu, kutoka Tel Aviv.

  • Kuchukua wigo mpana zaidi malalamiko ya Wapalestina dhidi ya njama za Trump huko Beitul-Muqaddas

    Kuchukua wigo mpana zaidi malalamiko ya Wapalestina dhidi ya njama za Trump huko Beitul-Muqaddas

    May 10, 2018 07:21

    Ripoti mbalimbali kutoka Palestina zinaonyesha juu ya kushadidi upinzani na malalamiko ya vyama na makundi mbalimbali ya Kipalestina dhidi ya uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya mji wa Beitul-Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Utawala wa Kizayuni, tokea kudumisha jinai hadi kusitisha mpango wa uanachama katika Baraza la Usalama

    Utawala wa Kizayuni, tokea kudumisha jinai hadi kusitisha mpango wa uanachama katika Baraza la Usalama

    May 07, 2018 02:15

    Utawala wa Kizayuni wa Israel Ijumaa iliyopita ulilegeza kamba na kutupilia mbali mpango wake wa kuchuana na nchi mbili za Ulaya kuwania uanachama usio wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Sambamba na uamuzi huo, utawala wa Kizayuni umeendeleza jinai zake dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Mlipuko waua Wapalestina 6 Ukanda wa Gaza, Israel yalaumiwa

    Mlipuko waua Wapalestina 6 Ukanda wa Gaza, Israel yalaumiwa

    May 06, 2018 02:55

    Wapalestina wasiopungua sita wanachama wa harakakati ya muqawama ya Palestina Hamas wameuawa katika mripuko wa bomu ulioukumba Ukanda wa Gaza jana Jumamosi.

  • Imarati na Bahrain kushiriki sherehe za miaka 70 ya kuundwa utawala pandikizi wa Israel

    Imarati na Bahrain kushiriki sherehe za miaka 70 ya kuundwa utawala pandikizi wa Israel

    May 03, 2018 23:38

    Bahrain na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimetangaza kuwa zitashiriki katika mashindano ya pikipiki yaliyoitishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel yanayoanza leo Ijumaa.

  • Syria yataka kusitishwa jinai za kivita za muungano vamizi unaoongozwa na Marekani

    Syria yataka kusitishwa jinai za kivita za muungano vamizi unaoongozwa na Marekani

    May 03, 2018 02:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imemtumia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa kiduru wa Baraza la Usalama la umoja huo ikitaka kusitishwa jinai za kivita zinazofanywa na muungano eti wa kimataifa chini ya uongozi wa Marekani dhidi ya taifa la Syria.

  • Mapatano ya Karne; mpango wa kuifuta Palestina

    Mapatano ya Karne; mpango wa kuifuta Palestina

    May 02, 2018 03:37

    Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani yay Palestina amesisitiza kuwa, Beitul-Muqaddas ni mji mkuu wa abadi na milele wa Palestina.

  • "Maandamano ya Haki ya Kurejea" nembo endelevu ya Wapalestina

    Apr 29, 2018 03:01

    Yahya Sinwar Mwanachama wa Ngazi za Juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesisitiza kuhusu kuendelea "Maandamano ya Haki ya Kurejea" na kusema: "Maandamano makubwa ya Wapalestina katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza na ardhi za Palestina zilizokaliwa kwa mabavu na utawala bandia wa Israel mwaka 1948 ni ishara ya kufungamana na haki ya wakimbizi wa Kipalestina kurejea katika ardhi zao.

  • Baraza la Taifa la Palestina kukutana ili kuamua kuhitimisha uhusiano na Israel

    Baraza la Taifa la Palestina kukutana ili kuamua kuhitimisha uhusiano na Israel

    Apr 28, 2018 23:06

    Baraza la Taifa la Palestina (PNC) linatazamiwa kukutana ili kujadili uamuzi wa kusitisha msimamo wa kuutambua rasmi utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Baraza la Usalama latakiwa kuichukulia hatua Israel kwa kuwaua Wapalestina

    Baraza la Usalama latakiwa kuichukulia hatua Israel kwa kuwaua Wapalestina

    Apr 28, 2018 03:07

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la umoja huo liuchukulie hatua mara moja utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuendelea kuwaua shahidi Wapalestina wanaofanya maandamano ya amani katika mpaka wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS