Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Mkutano wa al-Azhar: Baytul-Muqaddas ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Mkutano wa al-Azhar: Baytul-Muqaddas ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Jan 19, 2018 00:44

    Washiriki wa mkutano wa kimataifa wa kuunga mkono Quds uliofanyika katika Chuo Kikuu cha al-Azhar huko Cairo Misri umesisitiza umuhimu wa kutangazwa Baytul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa milele wa Palestina.

  • Abbas: Quds inaweza kuwa lango la amani au vita, Trump achague

    Abbas: Quds inaweza kuwa lango la amani au vita, Trump achague

    Jan 17, 2018 23:03

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amesema mji wa Baitul Muqaddad unaweza kuwa lango la kupatikana amani au kuibua vita, na Marekani ina khiari ya kuchagua njia inayoitaka.

  • Marekani yakosolewa kwa kuipunguzia msaada UNRWA

    Marekani yakosolewa kwa kuipunguzia msaada UNRWA

    Jan 17, 2018 11:33

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwashughulikia wakimbizi wa Kipalestina limekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuipunguzia msaada tasisi hiyo kwa zaidi ya asilimia 50.

  • Israel yaunga mkono rasmi ugaidi

    Israel yaunga mkono rasmi ugaidi

    Jan 14, 2018 10:31

    Mkuu wa kamati ya kushughulikia suala la mateka na Wapalestina wanaoachiliwa huru amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unawasaidia kifedha Wazayuni wanaofanya jinai dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Spika wa Baraza la Wawakilishi Indonesia: Quds daima itaendelea kuwa ni mali ya Palestina

    Spika wa Baraza la Wawakilishi Indonesia: Quds daima itaendelea kuwa ni mali ya Palestina

    Jan 14, 2018 01:06

    Kaimu Spika wa Baraza la Wawakilishi la Indonesia amesisitiza udharura wa kuchukuliwa hatua za kurejesha haki za taifa la Palestina na kusema bayana kwamba, daima Beitul-Muqaddas itaendelea kuwa mali ya Palestina.

  • Kazem Jalali: Palestina inapaswa kubakia kuwa kadhia muhimu zaidi katika jumuiya ya mabunge ya OIC

    Kazem Jalali: Palestina inapaswa kubakia kuwa kadhia muhimu zaidi katika jumuiya ya mabunge ya OIC

    Jan 13, 2018 10:45

    Mkuu wa mkutano wa 39 wa Kamati ya Utendaji Jumuiya ya Mabunge ya Nchi za Kiislamu wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) amesisitiza kuwa, kadhia ya Palestina inapaswa kuwa suala linalopewa kipaumbele zaidi katika utendaji wa Jumuiya ya Mabunge ya Nchi za Kiislamu.

  • Wakristo waendelea kuilaani Israel, waiambia Yerusalemu si mji wenu

    Wakristo waendelea kuilaani Israel, waiambia Yerusalemu si mji wenu

    Jan 13, 2018 04:19

    Askofu Mkuu wa Kanisa la Rome Orthodox linalojulikana kwa jina rasmi la Orthodox Catholic Church katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni, kwa mara nyingine tena amelaani jinai za Israel dhidi ya Wakristo na Waislamu na kusema kuwa, mji wa Quds (Yerusalemu) ni mali ya Wapalestina si mji wa Wazayuni.

  • Netanyahu: Makao ya Bunge na Serikali ya Israel yatakuwa Baitul Muqaddas

    Netanyahu: Makao ya Bunge na Serikali ya Israel yatakuwa Baitul Muqaddas

    Jan 11, 2018 12:56

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema makao ya bunge na serikali ya utawala huo haramu yatahamishiwa mji wa Baitul Muqaddas.

  • EU kufanya mkutano wa dharura wa wafadhili wa Palestina

    EU kufanya mkutano wa dharura wa wafadhili wa Palestina

    Jan 11, 2018 04:21

    Umoja wa Ulaya na Norway zinatazamiwa kufanya kikao cha dharura cha nchi wafadhili wa Palestina karibuni hivi, baada ya Marekani kutishia kuikatia misaada taasisi ya Umoja wa Mataifa inayoshuughulikia wakimbizi wa Kipalestina.

  • Iran na Misri zatoa wito wa kuendelea kuungwa mkono Palestina

    Iran na Misri zatoa wito wa kuendelea kuungwa mkono Palestina

    Jan 09, 2018 12:28

    Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesisitizia umuhimu wa kuendelea kuungwa mkono kadhia ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS