Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Utawala wa Kizayuni wakiri kuwauwa kwa umati Wapalestina

    Utawala wa Kizayuni wakiri kuwauwa kwa umati Wapalestina

    Jan 08, 2018 04:46

    Polisi ya utawala wa Kizayuni imetangaza kuwa Wapalestina 201 ambao kuanzia mwezi Oktoba mwaka 2015 walishiriki katika oparesheni dhidi ya utawala huo wameuliwa hadharani.

  • Maulamaa wa Palestina: Iran inaunga mkono kadhia ya Palestina

    Maulamaa wa Palestina: Iran inaunga mkono kadhia ya Palestina

    Jan 05, 2018 00:55

    Baraza la Maulamaa wa Kiislamu huko Palestina limetangaza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ikiunga mkono kwa hali na mali kadhia ya Palestina.

  • Serikali ya Palestina yatakiwa kubatilisha mapatano na Israel kwa ajili ya Quds

    Serikali ya Palestina yatakiwa kubatilisha mapatano na Israel kwa ajili ya Quds

    Jan 03, 2018 00:32

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaka serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina inayoongozwa na Mahmoud Abbas kujiondoa katika Mapatano ya Oslo baina yake na utawala haramu wa Israel kama njia ya kulalamikia hatua ya Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupitisha muswada wa kudhibiti kikamilifu Quds Tukufu (Jerusalem).

  • Kuitetea Palestina ndiko kumefanya maadui wachochee ghasia Iran

    Kuitetea Palestina ndiko kumefanya maadui wachochee ghasia Iran

    Jan 03, 2018 00:31

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni Wanamuqawama sambamba na kulaani machafuko yanayoendelea kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo hapa nchini Iran, amesisitiza kuwa maadui Wamagharibi ndio waliochochea ghasia hizi kutokana na msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu wa kuitetea Palestina na kuunga mkono harakati za muqawama.

  • Israel: Vita vijavyo kati yetu na HAMAS vitatudhoofisha kwa ndani

    Israel: Vita vijavyo kati yetu na HAMAS vitatudhoofisha kwa ndani

    Jan 02, 2018 04:02

    Waziri wa Makazi wa Utawala Haramu wa Israel, Yoav Galant amesema kuwa uwezo wa shabaha wa makombora ya Brigedi ya Izzudeen Qassam tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, utaidhoofisha Israel kwa ndani.

  • Mahmoud Abbas: Wapalestina watabaki katika ardhi yao mpaka Palestina ikombolewe

    Mahmoud Abbas: Wapalestina watabaki katika ardhi yao mpaka Palestina ikombolewe

    Jan 01, 2018 04:42

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesisitiza kwamba: Wapalestina wataendelea kubaki katika aradhi yao hadi Palestina itakapokombolewa.

  • Salah Zawawi asifu utendaji na mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu Palestina

    Salah Zawawi asifu utendaji na mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu Palestina

    Dec 31, 2017 11:20

    Balozi wa Palestina hapa mjini Tehran amesifu utendaji na mtazamo wa Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusiana na Palestina na makundi ya harakati ya Palestina.

  • Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa: Mji mkuu wa Palestina ni Quds Tukufu

    Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa: Mji mkuu wa Palestina ni Quds Tukufu

    Dec 31, 2017 00:00

    Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa amesisitiza kuwa, ulilmwengu unapaswa kufahamu kuwa, Quds Tukufu (Jerusalem) ni mji mkuu wa Palestina.

  • Kikao cha Bunge la Nchi za Kiarabu kwa jina la Palestina, kwa maslahi ya Israel

    Kikao cha Bunge la Nchi za Kiarabu kwa jina la Palestina, kwa maslahi ya Israel

    Dec 29, 2017 11:56

    Bunge la Nchi za Kiarabu lilikutana jana Alkhamisi katika mji mkuu wa Misri, Cairo kwa kaulimbiu ya: Quds, Mji Mkuu wa Milele wa Palestina. Hata hivyo kikao hicho kilibadilika na kuwa mahfali na medani na nchi zinazouunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Zaidi ya Wapalestina 6,000 wametiwa nguvuni 2017; wanawake na watoto wanateswa kwenye jela za Israel

    Zaidi ya Wapalestina 6,000 wametiwa nguvuni 2017; wanawake na watoto wanateswa kwenye jela za Israel

    Dec 28, 2017 13:02

    Kituo maalumu cha Palestina kinachoshughulikia masuala ya mateka kimetangaza kuwa zaidi ya Wapalestina elfu sita wametiwa nguvuni na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mwaka huu unaomalizika wa 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS